Vatican inamiliki dunia

mmmmm
 
Kwasasa ngj nipumzike nitaleta nyama
 
Watakuja hapa na kukuambia these are conspiracy theories, lakini uko sahihi 100%,na infact kama kweli wewe ni Jesuit Master,than you know what is going on behind the curtain in Catholicism,and they should believe you.

Mimi naongeza,tena bila kupepesa macho:everything about Catholicism points to Lucifer.Upo ushahidi usiopingika,tena plenty.Haya yote yanayoendelea yako expected.There is nothing new.Islam infact is a product of Catholicism. Naweza nisieleweke katika hili,lakini a close scrutiny between Islam and Catholicism shows that there are a lot of similarities.Infact they have the same roots!

Sasa kinachoendelea ni nini?The Papacy is in the process of amalgamating all religions into one,which will worship Lucifer under the pseudonym of the Antichrist.

Taarifa lilizopo ni kwamba he is not meeting any resistance from the more secular religions,and others kama Islam,Hindu,Pagan religions,religions which have orientation to Satanism and those which have similarities to the expected World religion.

A lot of resistance is expected to come mostly from the Evangelicals,but the NWO is working on this.

There is a lot going on behind the scenes so that the World can have a One World Government,one Electronic Currency and one religion.What you see the Pope doing in the Moslem World is part of this process.
 
Sio conspiracy theories tu, ni debunked.
China, Urusi, India, Japan, Vietnam, North Korea, Malaysia ni zaid ya nusu ya dunia na kwa 98% hawana habari na kitu kinaitwa Ukatoliki.
 
Sio conspiracy theories tu, ni debunked.
China, Urusi, India, Japan, Vietnam, North Korea, Malaysia ni zaid ya nusu ya dunia na kwa 98% hawana habari na kitu kinaitwa Ukatoliki.
They do not need to have anything to do with Catholicism Yoda, because that will disappear.However they will easily accept the One World Religion because it will be very similar to what they already have.Communists and Socialists will be the easiest to join the World Religion!
 
M
 
Sio conspiracy theories tu, ni debunked.
China, Urusi, India, Japan, Vietnam, North Korea, Malaysia ni zaid ya nusu ya dunia na kwa 98% hawana habari na kitu kinaitwa Ukatoliki.
Amna nchi uliyoitaja haina wakatoliki More than 1 % wakatoliki ni wengi compare na Taifa lolote duniania
 
Hakika mkuu, unabii unazidi kutimia kuhusu nyakati zetu, tena kwa kasi sana. Vatikano ndiye haswa Babeli mkuu.

UFUNUO 17

1 Mmoja wa wale malaika saba waliokuwa na bakuli akaja, akaniambia, “Njoo, nami nitakuonesha adhabu aliyopewa yule mzinzi mkuu, mji ule uliojengwa juu ya maji mengi.
2 Wafalme wa dunia wamefanya uzinzi pamoja naye; na wakazi wa dunia wamelewa divai ya uzinzi wake.
3 Kisha, nikakumbwa na Roho mpaka jangwani. Huko nikamwona mwanamke ameketi juu ya mnyama mwekundu. Mnyama huyo alikuwa ameandikwa kila mahali majina ya makufuru; alikuwa na vichwa saba na pembe kumi.
4 Mwanamke huyo alikuwa amevaa vazi la rangi ya zambarau na nyekundu; alikuwa amejipamba kwa dhahabu, mawe ya thamani na lulu. Mkononi mwake alishika kikombe cha dhahabu ambacho kilikuwa kimejaa machukizo na mambo machafu yanayoonesha uzinzi wake.
5 Alikuwa ameandikwa juu ya paji la uso wake jina la fumbo “Babeli mkuu, mama wa wazinzi na wa mambo yote ya kuchukiza sana duniani.
6 Nikamwona huyo mwanamke amelewa damu ya watu wa Mungu, na damu ya watu waliouawa kwa sababu ya kumshuhudia Yesu.
 
Da
 
Hii mistari inaieleza the Papacy exactly mkuu,ila sijui kwa nini Wakatoliki wenyewe hawaoni.Nadhani Shetani amepofusha fikra zao.
 
Hu
Huu uzi ni balaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…