Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
WaitingMwendelezo leo
Fanya kweli mzee
Ana Mambo mengi pia ni mtu makini sana kwenye nyuzi zake.Huyu haeleweki
alama ya msalaba ilikuwa inatumika kama alama ya miungu gan?Embu jiulize kwanini wana tumia msalaba kama nembo yao? Ni jambo la kushangaza, na ni ukweli usioweza kuulizwa, kwamba kabla ya kuzaliwa kwa Kristo, na tena hata katika sehemu ambazo hazijawahi kuguswa na mafundisho ya kanisa, alama ya msalaba ilikuwa inatumika kama ni alama takatifu kwa miungu mitatu ya kipagani. Iweje hivi leo iwe nembo kuu ya ukristo?
hapa jf ukija kichwa kichwa kuna matango utalishwa hadi utasahau kupika kwenuSwali nzuri
HauelewekiNAYO HAINA NGUVU MIAKA YOTE ILA HOVYO RELIGIOUS HUMANISM NDO NZURIView attachment 1621119
story ambazo hazina mashiko kibiblia ndo zinachekesha. mfano story ya xmass na pasaka yenu hii mnayoita easterStory za kisabato huwa zinachekesha sana
sikukuu ipi mkuuKaribu sikukuu hapa kilwa
asante mkuuKula mmbwa