Vatican inamiliki dunia

Vatican inamiliki dunia

Full Stop and Long Break....

Mkuu Sanctus....
Tazama video hii Rais wa Wasabato akitoa mwaliko wa kusherekea Xmas.....

Hii inanikumbusha nondo zako za nyuma za Za Ellen G White kutaza waumini wake wasivae gold na almas, angali yeye alikuwa akivivaa sana.....

Ona kenge huku wameshupalia Xmas ni upagani angali Huko Marekani Rais wao anasherekea..




Na
Ona kenge huku wameshupalia Xmas ni upagani angali Huko Marekani Rais wao anasherekea..

Mkuu,Wanaoleta shida ni hawa wadogo wadogo na wenye uelewa Mdogo. Na ukweli ni kwamba hao viongozi wao huwa wanaelewa jinsi mambo yalivyo ila inabidi wakae kimya maana wakionyesha vinginevyo watakosa sadaka.


Hata siku ya Boxing day, pale Mlimani City, kwenye Hafla ya Chakula baina ya Makonda na Viongozi Wa dini,Askofu Wa Wasabato, aliwatakia watu maadhimisho ya Xmass njema na kusalimia kwa salamu ya "Tumsifu Yesu Kristo". Je,kwa mtu ambaye yeye tayari ni MTEULE kama Msabato anawezaje kutumia salamu za wapagani na kuwatakia maadhimisho ya kipagani?
 
Na


Mkuu,Wanaoleta shida ni hawa wadogo wadogo na wenye uelewa Mdogo. Na ukweli ni kwamba hao viongozi wao huwa wanaelewa jinsi mambo yalivyo ila inabidi wakae kimya maana wakionyesha vinginevyo watakosa sadaka.


Hata siku ya Boxing day, pale Mlimani City, kwenye Hafla ya Chakula baina ya Makonda na Viongozi Wa dini,Askofu Wa Wasabato, aliwatakia watu maadhimisho ya Xmass njema na kusalimia kwa salamu ya "Tumsifu Yesu Kristo". Je,kwa mtu ambaye yeye tayari ni MTEULE kama Msabato anawezaje kutumia salamu za wapagani na kuwatakia maadhimisho ya kipagani?
Noma
 
Full Stop and Long Break....

Mkuu Sanctus....
Tazama video hii Rais wa Wasabato akitoa mwaliko wa kusherekea Xmas.....

Hii inanikumbusha nondo zako za nyuma za Za Ellen G White kutaza waumini wake wasivae gold na almas, angali yeye alikuwa akivivaa sana.....

Ona kenge huku wameshupalia Xmas ni upagani angali Huko Marekani Rais wao anasherekea..



Namshukuru sana Mungu kwa tukio hili la Wasabato kuonekana wakianza kuitambua Xmass. Kumbe kelele zote zile za kusema tunaadhimisha Upagani,ni WIVU tu. Wanaona wivu kwamba katika hili tuliwapiga Bao.

Video hii itakaa katika Gallery yangu na nakushukuru sana,ndugu yangu,kwa kutuwekea kumbukumbu hii hapa.
 
Full Stop and Long Break....

Mkuu Sanctus....
Tazama video hii Rais wa Wasabato akitoa mwaliko wa kusherekea Xmas.....

Hii inanikumbusha nondo zako za nyuma za Za Ellen G White kutaza waumini wake wasivae gold na almas, angali yeye alikuwa akivivaa sana.....

Ona kenge huku wameshupalia Xmas ni upagani angali Huko Marekani Rais wao anasherekea..



Namshukuru sana Mungu kwa tukio hili la Wasabato kuonekana wakianza kuitambua Xmass. Kumbe kelele zote zile za kusema tunaadhimisha Upagani,ni WIVU tu. Wanaona wivu kwamba katika hili tuliwapiga Bao.

Video hii itakaa katika Gallery yangu na nakushukuru sana,ndugu yangu,kwa kutuwekea kumbukumbu hii hapa.
 
In summary form. Wakatoliki walitaka kila mtu aamini ukatoliki namna pekee ilikuwa kwa upanga wa moto. Lakini jesuit waliona kuwa kama katoliki ingeshiriki katika hili baadaye ingekuja kuwa critized. So what, they decided to create part B church (Islam) to accomplish the mission and MUD the jesuit was given the task before he bertrayed and started claiming he received from God. Na kwa kuwa ndicho alichowaaminisha wafuasi wake alikuwa na ukweli wake. But wataalamu wa theology wanasema at end MUD was on his movement back to his origin. UNAAMBIWA.
Haya mambo bi magumu sana haya
 
"SI KILA ATAYENIJIA AKINIITA BWANA BWANA ATAUONA UFALME WA MUNGU"

MATHAYO 7:21-23.

"21 Si kila mtu aniambiaye, Bwana, Bwana, atakayeingia katika ufalme wa mbinguni; bali ni yeye afanyaye mapenzi ya Baba yangu aliye mbinguni.
22 Wengi wataniambia siku ile, Bwana, Bwana, hatukufanya unabii kwa jina lako, na kwa jina lako kutoa pepo, na kwa jina lako kufanya miujiza mingi?
23 Ndipo nitawaambia dhahiri, Sikuwajua ninyi kamwe; ondokeni kwangu, ninyi mtendao maovu."





2WAKORINTHO 11:14-15

"Wala si ajabu. Maana Shetani mwenyewe hujigeuza awe mfano wa malaika wa nuru.
15 Basi si neno kubwa watumishi wake nao wakijigeuza wawe mfano wa watumishi wa haki, ambao mwisho wao utakuwa sawasawa na kazi zao."

MATHAYO 7:14 - 20

"Bali mlango ni mwembamba, na njia imesonga iendayo uzimani, nao waionao ni wachache. 15 Jihadharini na manabii wa uongo, watu wanaowajia wamevaa mavazi ya kondoo, walakini kwa ndani ni mbwa-mwitu wakali. 16 Mtawatambua kwa matunda yao. Je! Watu huchuma zabibu katika miiba, au tini katika mibaruti? 17 Vivyo hivyo kila mti mwema huzaa matunda mazuri; na mti mwovu huzaa matunda mabaya. 18 Mti mwema hauwezi kuzaa matunda mabaya, wala mti mwovu kuzaa matunda mazuri. 19 Kila mti usiozaa tunda zuri hukatwa ukatupwa motoni. 20 Ndiposa kwa matunda yao mtawatambua.

"NA WAENENDE KWA SHERIA(AMRI 10 ZA MUNGU) NA USHUHUDA(MATENDO ALIYOYATENDA YESU NA MANABII WAKE)"

ISAYA 8:19-20

"Na wakati watakapokuambia, Tafuta habari kwa watu wenye pepo na kwa wachawi; waliao kama ndege na kunong’ona; je! Haiwapasi watu kutafuta habari kwa Mungu wao? Je! Waende kwa watu waliokufa kwa ajili ya watu walio hai?

20 Na waende kwa sheria na ushuhuda; ikiwa hawasemi sawasawa na neno hili, bila shaka kwa hao hapana asubuhi."

USIIAMINI KILA ROHO:

1YOHANA 4:1-6 "Wapenzi, msiiamini kila roho, bali zijaribuni hizo roho, kwamba zimetokana na Mungu; kwa sababu manabii wa uongo wengi wametokea duniani. 2 Katika hili mwamjua Roho wa Mungu; kila roho ikiriyo kwamba Yesu Kristo amekuja katika mwili yatokana na Mungu. 3 Na kila roho isiyomkiri Yesu haitokani na Mungu. Na hii ndiyo roho ya mpinga Kristo ambayo mmesikia kwamba yaja; na sasa imekwisha kuwako duniani. 4 Ninyi, watoto wadogo, mwatokana na Mungu nanyi mmewashinda, kwa sababu yeye aliye ndani yenu ni mkuu kuliko yeye aliye katika dunia. 5 Hao ni wa dunia; kwa hiyo wanena ya dunia na dunia huwasikia
6 Sisi twatokana na Mungu. Yeye amjuaye Mungu atusikia; yeye asiyetokana na Mungu hatusikii. Katika hili twamjua Roho wa kweli, na roho ya upotevu."

"MPENDWA NJIA YA KWENDA MBINGUNI NI NYEMBAMBA NA WAINGIAO NI WACHACHE" TAYARI "RC" IMEKUPELEKA MOTONI SABABU INA WAFUASI WENGI SANA TOFAUTI NA BIBLIA INAVYOKUELEZA.

JE HAYO MAFUNGU YOTE YANAFUATWA NA "RC"???

JITATHMINI KWANZA NDIPO UJE NA UTHIBITISHO KUWA "RC" NI DHEHEBU LA MUNGU LAKINI KWA 100% "RC" NI WAKALA WA LUCIFER(SHETANI) SABABU NDIYO WATAOHUSIKA KATIKA KUTIMIZA UNABII.

SOMA DANIEL 7 & UFUNUO 14. ILI UACHE KUMSIFIA HUYO mungu WAKO WA KUZIMU HUYO(shetani)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
DHEHEBU LA ROMAN CATHOLIC NI LA KIPAGANI KWA 99.9%. TOKANA NA SABABU ZIFUATAZO:

1. Nguruwe/Kitimoto twende kazi.

2. Kuabudu sanamu wala siyo Mungu aliye hai, twende kazi.

3. Pombe/ulevi, twende kazi.

4. Sikukuu zote ambazo hazijahalalishwa katika Biblia, twende kazi.

5. Sala za Wafu wasiojua chochote kinachoendelea kwa walio hai, twende kazi

6. Kutoa misamaha kwa Binadamu hai hata kwa Marehemu toka kwa kiongozi wao wa dini nakati ni Mungu pekee ndiye astahiliye kutoa hiyo misamaha, twende kazi.

7. Kutengua agizo la kuto-edit(kuongeza wala kupunguza neno lolote katika Biblia "UFUNUO 22:18-21" tena sasa hivi wanakuja na Biblia yao feki "The Bible 2000 years" twende kazi.

8. Wakala mkuu wa Lucifer(shetani/ibilisi na baba wa uwongo) kujiita Baba mtakatifu wa dunia nzima nakati Biblia inatambua uwepo wa Baba m1 tu ambaye ni Muumba wa mbingu na nchi na vyote viijazavyo nchi, twende kazi.

9. Upagani wa utatu mtakatifu wa miungu watu(Nimrod, Semiras na Tammuz) huku wakijificha katika kivuli cha uhalali wa YEHOVA(Mungu Baba), Yesu(Mungu Mwana) na Roho Mtakatifu(nguvu ya Mungu), twende kazi.

10. Kuibadili siku takatifu ya Mungu ya 7(Sabato/Jumamosi) kwa kuiweka kinyume kwa siku ya kwanza ya juma(Jumapili), twende kazi.

11. "Usiwe na miungu mingine ila mimi" wao wanahalalisha rozali wakiiabudu na kuitumikia, twende kazi.

DINI/DHEHEBU GANI INARUHUSU KILA KITU NAKATI MUNGU NI WA UTARATIBU NDIYOMAANA ALITUPATIA SHERIA TUZITII???

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata siku ya Boxing day, pale Mlimani City, kwenye Hafla ya Chakula baina ya Makonda na Viongozi Wa dini,Askofu Wa Wasabato, aliwatakia watu maadhimisho ya Xmass njema na kusalimia kwa salamu ya "Tumsifu Yesu Kristo". Je,kwa mtu ambaye yeye tayari ni MTEULE kama Msabato anawezaje kutumia salamu za wapagani na kuwatakia maadhimisho ya kipagani?
mkuu hilo nishaliona hata huku mitaani wanadai kanisa limechanganya ukristo na upagani halafu wanaita ni uasherati , ukahaba na uzinzi nikaamua kuhoji yafuatayo kupitia huu uzi hapa chini
https://www.jamiiforums.com/threads...stmas-bonus-promo-zawadi-na-n-k.1527482/watch

hata kuna chaneli yao moja ilijihusisha na mambo ya xmas hadi movie walicheza.
 
Fanya Research yeyote ya underground utagundua All Roads lead to Rome Vatican.
Vatican inatumia


1.Jesuit.

Wasomi na
MaBingwa wa intelligence.
Chunguza college na university zao na Theology seminar Zao dunian utaona
Alumni wao wengi ni Maafsa Usalama
Wengi dunian.
Na Maraisi km Bill Clinton.
Donald Trump.
Nguvu zao zinajidhihirisha hapa

Trump roasts Clinton at Al Smith charity dinner





Trump leads Catholic vote


Pray for Donald Trump to Become Catholic



Fidel Castro. Nk
Na Ma CEO wengi ikiwamo Mo Dewgi na Rostam Aziz nk
Haw Majesuit wana run Intelligence. Leadership.Education. Bank.Technology n.k
2.Knights of Templar.
Hawa jisomee zaidi





Hawa wanarun Secret institution.
Nawana Oppose Islamic law.

3.Knights of Malta


Wana run Donations na Insurance n.k

4. 13 Families.






Hawa wapo chini ya papa ki siri na wanaendesha Mali za Dunia indirectly.

5.All word institution na Religious congregations.
Vatican imeumiza vichwa kumpata Queen wa Uingereza ambaye ni mkatoliki wakakosa waka mwendesha Queen Elizabeth 2.
Chini ya Knights of Malta ona hapa

Intel on the Sovereign Military Order of Malta
Ndo utajua Modern Freemason wa mwaka 10-sasa wanaendeshwa na vatican kutumia knight of Malta na Jesuit ndo maana nikawaida 33degree mason kukutana na Superior General wa Jesuit.
Kwa mujibu wa kitabu Vatican Assassin ona Eric Jon Phelps - All Roads Lead to Rome
Eric John anaeleza ni vigumu Freemason wadogo kujua ila wenye 33degree wanajua haswa na pesa wanapeleka Fungu la 10 vatican.
Anaendelea kueleza kuwa vatican ilikuja ku orgaize freemason maana walijua mbeleni watawashika watu wakubwa wa dini nyingine na ambao hawapo kwenye any Catholic congregation na Secret societies za kikatoliki
kama
  1. Opus Dei ona hapa "Opus Dei Revealed" - A Powerful Group inside the Roman Catholic Empire The Opus(Documentary) How Dangerous Is Opus Dei
  2. All Catholic Knights Secrets of the Knights Templar - Full Documentary History Channel Documentary Secrets of the Knights Templar Join the Holy League movement of Catholic Men - Cardinal Burke U.S. Presidents and Leaders are Agents of the Roman Catholic Knights of Malta nk Nawatatumiwa kwa Mnufaa ya Kanisa Katoliki na Mpango wake wa kutawla dunia N.W.O






Vatican wamefanikiwa 90%kuendesha dunia na 10% wamefeli.
Wamefanikiwa kushika ma dictator na kuwaendesha kwa manufaa yao
Ona
A.Adolf Hitler


View attachment 980221


View attachment 980223


B.Benito Mussolini









Kanisa katoliki wana kuja kwa nguvu tena na ujanja mwingi. wanauzia waislamu makanisa huko Italia na Baadhi ya nchi za Europe kwa pesa nyingi na kuyabadilisha kuwa misikiti wakisema wanawavutia wahamiaji waislamu na Mungu anawapenda wahamiaji wakitumia kama kigezo cha kuwachezea .Cha ajabu wanajenga Makanisa mapya makubwa UAE. Iran.Iraq. na Nchi nyingine za Waislamu wengi na Ardhi wanapewa bure na Wafalme wa nchi hizo pamoja na vifaa vya ujenzi vya gharama.
FaizaFoxy uje na ujionee trick za hawa watu ukifurahi makanisa kuwa misikiti uone nahuku.
Yericko Nyerere kweli hawa ni zaidi ya majasusi.
On a




ST MARY's CHURCH, DUBAI

Second catholic church in Mussaffah, Abu Dhabi inaugurated
Hawa Jamaa ni mwisho wana convert Muslim to Catholic kwa kasi on a
New Catholic Church opens its doors in the United Arab Emirates
Actress who converted to Catholicism: Not true today's Church is old
Germany Accuses Muslim Migrants Of Converting To Christianity To Get Asylum (HBO)

Potential Catholic-convert after attending pope's General Audience
Catholic church receives 200 converts

Atheist blogger adopts Catholicism
Amakweli hawa watu noma
First UAE Swahili Catholic Mass

Pope Francis meets with Saudi Arabian representative in the Vatican
In
Philippines


9 Untold Secrets of the Catholic Church In The Philippines
Angalia jinsi wanavyojaza watu WYD16 Thurs Mass Homily - Cardinal Tagle
Pope anapata wafuasi wengi kutokana na maisha yake ya kujitoa.
Philippines: Pope Francis arrives in Asia's most populous Catholic country

Is the Philippines the only Catholic country in Asia

Watch: Filipino Catholics climb onto statue of Jesus

Video protestant dislike Catholic to watch.
The video that no PROTESTANT wants you to see!
Video Muslim dislike catholic to watch.
Donald Trump: 'I think Islam hates us'
ISLAM or CHRISTIANITY - Which Religion Is Better?


Catholic will stay Everlasting.
Nimegundua wakatholik walianzisha Islam
Ex Jesuit Priest Alberto Rivera Reveals How the Vatican created Islam
Ex Jesuit Alberto Rivera and others Speak on Jesuit infiltration
Ex Jesuit Alberto Rivera The Greatest Deceit and today´



Noma hawa Jamaa.wataendesha dunia milele na Hawatapata pingamizi lolote kanisa la Mungu.wanaamini
  1. Kanisa ni moja
  2. Kanisa ni Takatifu
  3. Kanisa ni Katoliki
  4. Kanisa la Kitume
  5. Kanisa ni la Kimissionary.
Is the pope head of the world's most powerful government? | The Economist


Kama una positive to Add your warmly invited to add


Hilo umeligundua leo? Ukiondoa dini za wayahudi, dini na mathehebu yote ya kikristo na uislam umetokana na Ukatholic ndo maana duniani hapa Rome wakiamua tu wanakuondoa madarakani, Roman Catholic ni zaidi ya dhehebu la dini. ni hii inatoka na wao kuwa na waumini zadi ya 1.3Bilion duniani. Kuna watu wanajiita walokole wanapambana kuung'oa ukatholic lakini wanaonekana kushindwa maarifa.
 
Hilo umeligundua leo? Ukiondoa dini za wayahudi, dini na mathehebu yote ya kikristo na uislam umetokana na Ukatholic ndo maana duniani hapa Rome wakiamua tu wanakuondoa madarakani, Roman Catholic ni zaidi ya dhehebu la dini. ni hii inatoka na wao kuwa na waumini zadi ya 1.3Bilion duniani. Kuna watu wanajiita walokole wanapambana kuung'oa ukatholic lakini wanaonekana kushindwa maarifa.
Walokole mill 20 wauondoe Ukatoliki Tethehe Maisha.
Ila wakatoliki wamemchagua Mjesuit ambaye ana mipango kabambe ya ku unite Lutheran na wamesha saini si mda mtashangaa
 
Walokole mill 20 wauondoe Ukatoliki Tethehe Maisha.
Ila wakatoliki wamemchagua Mjesuit ambaye ana mipango kabambe ya ku unite Lutheran na wamesha saini si mda mtashangaa

Hilo ni suala la muda tu, abaki muanglikana na kuna muda ukifika atasalimu amri, mapambano ya walokole na wasabatho dhidi ya ukatholic yanafanyika katika nchi haswa za watu maskini kama Afrika na Amerika.
 
DHEHEBU LA ROMAN CATHOLIC NI LA KIPAGANI KWA 99.9%. TOKANA NA SABABU ZIFUATAZO:

1. Nguruwe/Kitimoto twende kazi.

2. Kuabudu sanamu wala siyo Mungu aliye hai, twende kazi.

3. Pombe/ulevi, twende kazi.

4. Sikukuu zote ambazo hazijahalalishwa katika Biblia, twende kazi.

5. Sala za Wafu wasiojua chochote kinachoendelea kwa walio hai, twende kazi

6. Kutoa misamaha kwa Binadamu hai hata kwa Marehemu toka kwa kiongozi wao wa dini nakati ni Mungu pekee ndiye astahiliye kutoa hiyo misamaha, twende kazi.

7. Kutengua agizo la kuto-edit(kuongeza wala kupunguza neno lolote katika Biblia "UFUNUO 22:18-21" tena sasa hivi wanakuja na Biblia yao feki "The Bible 2000 years" twende kazi.

8. Wakala mkuu wa Lucifer(shetani/ibilisi na baba wa uwongo) kujiita Baba mtakatifu wa dunia nzima nakati Biblia inatambua uwepo wa Baba m1 tu ambaye ni Muumba wa mbingu na nchi na vyote viijazavyo nchi, twende kazi.

9. Upagani wa utatu mtakatifu wa miungu watu(Nimrod, Semiras na Tammuz) huku wakijificha katika kivuli cha uhalali wa YEHOVA(Mungu Baba), Yesu(Mungu Mwana) na Roho Mtakatifu(nguvu ya Mungu), twende kazi.

10. Kuibadili siku takatifu ya Mungu ya 7(Sabato/Jumamosi) kwa kuiweka kinyume kwa siku ya kwanza ya juma(Jumapili), twende kazi.

11. "Usiwe na miungu mingine ila mimi" wao wanahalalisha rozali wakiiabudu na kuitumikia, twende kazi.

DINI/DHEHEBU GANI INARUHUSU KILA KITU NAKATI MUNGU NI WA UTARATIBU NDIYOMAANA ALITUPATIA SHERIA TUZITII???

Sent using Jamii Forums mobile app
Si kwaafundisho hayo ya freemason Maa Hellen G White by the way chunguzen sana inawezekana Ulokole umeanzishwa kwa mpango maaluu na majesuit kwa mama yeu na wakina Smith wa Mormon kuweni makini one day mtashangaa
 
"SI KILA ATAYENIJIA AKINIITA BWANA BWANA ATAUONA UFALME WA MUNGU"

MATHAYO 7:21-23.

"21 Si kila mtu aniambiaye, Bwana, Bwana, atakayeingia katika ufalme wa mbinguni; bali ni yeye afanyaye mapenzi ya Baba yangu aliye mbinguni.
22 Wengi wataniambia siku ile, Bwana, Bwana, hatukufanya unabii kwa jina lako, na kwa jina lako kutoa pepo, na kwa jina lako kufanya miujiza mingi?
23 Ndipo nitawaambia dhahiri, Sikuwajua ninyi kamwe; ondokeni kwangu, ninyi mtendao maovu."





2WAKORINTHO 11:14-15

"Wala si ajabu. Maana Shetani mwenyewe hujigeuza awe mfano wa malaika wa nuru.
15 Basi si neno kubwa watumishi wake nao wakijigeuza wawe mfano wa watumishi wa haki, ambao mwisho wao utakuwa sawasawa na kazi zao."

MATHAYO 7:14 - 20

"Bali mlango ni mwembamba, na njia imesonga iendayo uzimani, nao waionao ni wachache. 15 Jihadharini na manabii wa uongo, watu wanaowajia wamevaa mavazi ya kondoo, walakini kwa ndani ni mbwa-mwitu wakali. 16 Mtawatambua kwa matunda yao. Je! Watu huchuma zabibu katika miiba, au tini katika mibaruti? 17 Vivyo hivyo kila mti mwema huzaa matunda mazuri; na mti mwovu huzaa matunda mabaya. 18 Mti mwema hauwezi kuzaa matunda mabaya, wala mti mwovu kuzaa matunda mazuri. 19 Kila mti usiozaa tunda zuri hukatwa ukatupwa motoni. 20 Ndiposa kwa matunda yao mtawatambua.

"NA WAENENDE KWA SHERIA(AMRI 10 ZA MUNGU) NA USHUHUDA(MATENDO ALIYOYATENDA YESU NA MANABII WAKE)"

ISAYA 8:19-20

"Na wakati watakapokuambia, Tafuta habari kwa watu wenye pepo na kwa wachawi; waliao kama ndege na kunong’ona; je! Haiwapasi watu kutafuta habari kwa Mungu wao? Je! Waende kwa watu waliokufa kwa ajili ya watu walio hai?

20 Na waende kwa sheria na ushuhuda; ikiwa hawasemi sawasawa na neno hili, bila shaka kwa hao hapana asubuhi."

USIIAMINI KILA ROHO:

1YOHANA 4:1-6 "Wapenzi, msiiamini kila roho, bali zijaribuni hizo roho, kwamba zimetokana na Mungu; kwa sababu manabii wa uongo wengi wametokea duniani. 2 Katika hili mwamjua Roho wa Mungu; kila roho ikiriyo kwamba Yesu Kristo amekuja katika mwili yatokana na Mungu. 3 Na kila roho isiyomkiri Yesu haitokani na Mungu. Na hii ndiyo roho ya mpinga Kristo ambayo mmesikia kwamba yaja; na sasa imekwisha kuwako duniani. 4 Ninyi, watoto wadogo, mwatokana na Mungu nanyi mmewashinda, kwa sababu yeye aliye ndani yenu ni mkuu kuliko yeye aliye katika dunia. 5 Hao ni wa dunia; kwa hiyo wanena ya dunia na dunia huwasikia
6 Sisi twatokana na Mungu. Yeye amjuaye Mungu atusikia; yeye asiyetokana na Mungu hatusikii. Katika hili twamjua Roho wa kweli, na roho ya upotevu."

"MPENDWA NJIA YA KWENDA MBINGUNI NI NYEMBAMBA NA WAINGIAO NI WACHACHE" TAYARI "RC" IMEKUPELEKA MOTONI SABABU INA WAFUASI WENGI SANA TOFAUTI NA BIBLIA INAVYOKUELEZA.

JE HAYO MAFUNGU YOTE YANAFUATWA NA "RC"???

JITATHMINI KWANZA NDIPO UJE NA UTHIBITISHO KUWA "RC" NI DHEHEBU LA MUNGU LAKINI KWA 100% "RC" NI WAKALA WA LUCIFER(SHETANI) SABABU NDIYO WATAOHUSIKA KATIKA KUTIMIZA UNABII.

SOMA DANIEL 7 & UFUNUO 14. ILI UACHE KUMSIFIA HUYO mungu WAKO WA KUZIMU HUYO(shetani)

Sent using Jamii Forums mobile app
Ulichokiongea ni sahihi lakin jamaa hawajui wanakaririshwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom