Vatican inamiliki dunia

Vatican inamiliki dunia

Unajua mwili wa yesu upo na kichwa chake????
Chezea sisi??
Namaanisha Jesuit
HUWAJUI MAJESUIT ZAIDI UNADANGANYWA TU

NGOJA NIKUPE ELIMU KUHUSU HILI HATARI DUNIANI

kundi la ‘Jesuit Society' maana wao ndio waliomfundisha Adam Weishaupt ambaye ni muasisi wa Illuminati. Shirika la Jesuits lilianzishwa na Ignatius Loyola aliyezaliwa mwaka 1491 na kufariki Julai 31, 1556. Sherehe ya Ignatius Loyola hufanyika kila ifikapo Julai 31 ya kila mwaka, siku aliyokufa. Mkuu wa shirika la Jesuit anaitwa "Black Pope" yaani "Papa Mweusi."

Hapa haimaanishi kuwa mkuu huyo anatakiwa awe wa rangi nyeusi yaani mwafrika bali neno ‘black' linamaanisha ‘asiyeonekana,' na kwa maana hiyo Jesuit Society wanafanya kazi za siri, zisizoonekana, tena za giza ambazo ni kinyume na nuru ya neno la Mungu. Shirika hili lilianzishwa ikiwa ni matokeo ya kanisa Katoliki kupiga vita uprotestant. Kujitoa kwa Loyola katika kulitumika kanisa kunaweza kuonekana kwenye kanuni 13 za shirika la Jesuits zinazolihusu kanisa; "Rules for thinking with the church" anaposema "I will believe that the white that I see is black if the hierarchical Church so defines it". Kwamba "nitaamini rangi nyeupe ninayoina kuwa ni nyeusi kama mfumo wa uongozi wa kanisa utatafsri hivyo."

Na ndivyo ilivyo katika shirika hili ya kwamba mtu anapaswa kuamini na kufanyia kazi kile anachofundishwana kanisa hata kama dhamira yake inamwambia kuwa hicho si sahihi. Hebu soma nukuu hizi ili tuone chanzo cha chama cha Jesuits: "Kuinuka kwa dhama za giza kulitokana na kuruhusu Biblia ipatikane kwa urahisi hata kwa watu wa kawaida na mafundisho ya waprotestant wanamatengenzo.

Mafundisho haya yalikuwa na msingi wa kutafsiri unabii kutokana na historia; yaani kuwakilisha siku 1260 za Danieli na Ufunuo kuwa miaka 1260. Viongozi wa matengenezo kama Luther, Calvin, Huss, Wycliff, Knox, Latimer, Cranmer, Ridley, Hooker, Newton na wengine waliamini hivyo na kufundisha." Ibid p 7. "Kwa kutumia mbinu hii ya kutafsiri unabii, kanisa la Roma lilionekana wazi kuhusika na unabii huu wa pembe ndogo katika Daniel 7, na mnyama wa Ufunuo 13:1, mwanamke wa Ufunuo 17, ikiwa ni pamoja na kichwa cha kanisa kuwakilisha Mtu wa Kuasi wa 2 Wathesalonike 2. Kadri mafundisho haya yalivyozidi, kanisa la Roma lililazimika kujilinda dhidi ya kuongezeka kwa ushahidi wa unabii wa Biblia kulihusisha kanisa hilo. Hivyo upapa ukaanza kuweka mipango ya kuwapinga waprotestant kwa kuanzisha ‘Jesuit society' ili kisaidie kufundisha mafundisho ya kanisa na kuharibu mafundisho na vitabu vyote vilivyokuwa kinyume na kanisa na kuanzisha "Holy Office of the Inquisition" maalumu kwa ajili ya kuwatesa hata kuwaua wapinzani wa kanisa." Ibid. pp 126, 127. Kati ya mwaka 1524 na mwaka 1537 Loyola alisomea Theology huko Hispania na Ufaransa.

Mwaka 1534 alifika Ufaransa wakati wa kipindi cha mapambano dhidi ya uprotestant, mapambano ambayo yalimfanya John Calvin akimbie kutoka Ufaransa. Mwaka 1539, Loyola akiwa na wenzake walifanikiwa kuanzisha muungano na kuuita ‘Society of Jesus'. Mwaka uliofuata yaani 1540 chama hicho kikapewa baraka na Papa Yohana III na ilipofika mwaka 1548 Papa huyo akatoa kibali kwa Society of Jesus ili kiweze kushughulika na maswala ya kiroho.

Loyola alikufa mnamo Julai 31, 1556 na akabarikiwa na Papa Paul V mwaka Julai 27, 1609, akapewa hadhi ya utakatifu Machi 12, 1622 na Papa Gregory XV na akatangazwa kuwa kiongozi wa maswala la kiroho mwaka 1922 na Papa Pius XI. Jina kamili la Loyola lilikuwa ni Íñigo akiwa ni mtoto wa mwisho kati ya watoto 13. Baada ya kifo cha mama yake mwaka 1506 Íñigo alichukua jina la mwisho "de Loyola" kutokana na jina la mji ulioitwa Loyola ambako alizaliwa.

Akaamua kutumia jina la "Ignatius of Loyola" yaani Ignatius anayetokea mji wa Loyola. Mwaka 1534 aliwakusanya marafiki zake sita ambao alikutana nao chuo kikuu wakiwa ni wanafunzi wenzake ambao ni Francis Xavier, Alfonso Salmeron, Diego Laynez na Nicholas Bobadilla wote wakiwa ni Wahispania; Peter Faber akiwa ni Mfaransa; na Simao Rodrigues aliyekuwa Mreno. Asubuhi ya tarehe 15 Agust 1534, katika kanisa la Our Lady of the Martyrs huko Montmartre, Loyola akiwa na wenzake sita ambapo mmoja wa marafiki hao alikuwa ni padre, waliapa kutumika maisha yao yote. Ignatius akawa ndiye kiongozi mkuu (Superior General) wa chama cha Yesu – Society of Jesus. Yeye ndiye aliyetunga katiba ya chama hicho mwaka 1540

. .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Halafu mm sitegemei hivyo vyanzo vyako, maana hata Yesu anachafuliwa kwenye hizo source,

Hiz ni mada naziandaa kwa uweza wa Mungu, nina blog zangu,

Kama kuna uongo pinga kwa hoja hapa hapa sio kulialia

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nilie Hahahahaha
Unawajua Jesuit community vizur au unaskia???
 
HUWAJUI MAJESUIT ZAIDI UNADANGANYWA TU

NGOJA NIKUPE ELIMU KUHUSU HILI HATARI DUNIANI

kundi la ‘Jesuit Society' maana wao ndio waliomfundisha Adam Weishaupt ambaye ni muasisi wa Illuminati. Shirika la Jesuits lilianzishwa na Ignatius Loyola aliyezaliwa mwaka 1491 na kufariki Julai 31, 1556. Sherehe ya Ignatius Loyola hufanyika kila ifikapo Julai 31 ya kila mwaka, siku aliyokufa. Mkuu wa shirika la Jesuit anaitwa "Black Pope" yaani "Papa Mweusi."

Hapa haimaanishi kuwa mkuu huyo anatakiwa awe wa rangi nyeusi yaani mwafrika bali neno ‘black' linamaanisha ‘asiyeonekana,' na kwa maana hiyo Jesuit Society wanafanya kazi za siri, zisizoonekana, tena za giza ambazo ni kinyume na nuru ya neno la Mungu. Shirika hili lilianzishwa ikiwa ni matokeo ya kanisa Katoliki kupiga vita uprotestant. Kujitoa kwa Loyola katika kulitumika kanisa kunaweza kuonekana kwenye kanuni 13 za shirika la Jesuits zinazolihusu kanisa; "Rules for thinking with the church" anaposema "I will believe that the white that I see is black if the hierarchical Church so defines it". Kwamba "nitaamini rangi nyeupe ninayoina kuwa ni nyeusi kama mfumo wa uongozi wa kanisa utatafsri hivyo."

Na ndivyo ilivyo katika shirika hili ya kwamba mtu anapaswa kuamini na kufanyia kazi kile anachofundishwana kanisa hata kama dhamira yake inamwambia kuwa hicho si sahihi. Hebu soma nukuu hizi ili tuone chanzo cha chama cha Jesuits: "Kuinuka kwa dhama za giza kulitokana na kuruhusu Biblia ipatikane kwa urahisi hata kwa watu wa kawaida na mafundisho ya waprotestant wanamatengenzo.

Mafundisho haya yalikuwa na msingi wa kutafsiri unabii kutokana na historia; yaani kuwakilisha siku 1260 za Danieli na Ufunuo kuwa miaka 1260. Viongozi wa matengenezo kama Luther, Calvin, Huss, Wycliff, Knox, Latimer, Cranmer, Ridley, Hooker, Newton na wengine waliamini hivyo na kufundisha." Ibid p 7. "Kwa kutumia mbinu hii ya kutafsiri unabii, kanisa la Roma lilionekana wazi kuhusika na unabii huu wa pembe ndogo katika Daniel 7, na mnyama wa Ufunuo 13:1, mwanamke wa Ufunuo 17, ikiwa ni pamoja na kichwa cha kanisa kuwakilisha Mtu wa Kuasi wa 2 Wathesalonike 2. Kadri mafundisho haya yalivyozidi, kanisa la Roma lililazimika kujilinda dhidi ya kuongezeka kwa ushahidi wa unabii wa Biblia kulihusisha kanisa hilo. Hivyo upapa ukaanza kuweka mipango ya kuwapinga waprotestant kwa kuanzisha ‘Jesuit society' ili kisaidie kufundisha mafundisho ya kanisa na kuharibu mafundisho na vitabu vyote vilivyokuwa kinyume na kanisa na kuanzisha "Holy Office of the Inquisition" maalumu kwa ajili ya kuwatesa hata kuwaua wapinzani wa kanisa." Ibid. pp 126, 127. Kati ya mwaka 1524 na mwaka 1537 Loyola alisomea Theology huko Hispania na Ufaransa.

Mwaka 1534 alifika Ufaransa wakati wa kipindi cha mapambano dhidi ya uprotestant, mapambano ambayo yalimfanya John Calvin akimbie kutoka Ufaransa. Mwaka 1539, Loyola akiwa na wenzake walifanikiwa kuanzisha muungano na kuuita ‘Society of Jesus'. Mwaka uliofuata yaani 1540 chama hicho kikapewa baraka na Papa Yohana III na ilipofika mwaka 1548 Papa huyo akatoa kibali kwa Society of Jesus ili kiweze kushughulika na maswala ya kiroho.

Loyola alikufa mnamo Julai 31, 1556 na akabarikiwa na Papa Paul V mwaka Julai 27, 1609, akapewa hadhi ya utakatifu Machi 12, 1622 na Papa Gregory XV na akatangazwa kuwa kiongozi wa maswala la kiroho mwaka 1922 na Papa Pius XI. Jina kamili la Loyola lilikuwa ni Íñigo akiwa ni mtoto wa mwisho kati ya watoto 13. Baada ya kifo cha mama yake mwaka 1506 Íñigo alichukua jina la mwisho "de Loyola" kutokana na jina la mji ulioitwa Loyola ambako alizaliwa.

Akaamua kutumia jina la "Ignatius of Loyola" yaani Ignatius anayetokea mji wa Loyola. Mwaka 1534 aliwakusanya marafiki zake sita ambao alikutana nao chuo kikuu wakiwa ni wanafunzi wenzake ambao ni Francis Xavier, Alfonso Salmeron, Diego Laynez na Nicholas Bobadilla wote wakiwa ni Wahispania; Peter Faber akiwa ni Mfaransa; na Simao Rodrigues aliyekuwa Mreno. Asubuhi ya tarehe 15 Agust 1534, katika kanisa la Our Lady of the Martyrs huko Montmartre, Loyola akiwa na wenzake sita ambapo mmoja wa marafiki hao alikuwa ni padre, waliapa kutumika maisha yao yote. Ignatius akawa ndiye kiongozi mkuu (Superior General) wa chama cha Yesu – Society of Jesus. Yeye ndiye aliyetunga katiba ya chama hicho mwaka 1540

. .

Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sana! Ukweli kidogo na uongo mwingi kwa pamoja. What a pity!
 
HUWAJUI MAJESUIT ZAIDI UNADANGANYWA TU

NGOJA NIKUPE ELIMU KUHUSU HILI HATARI DUNIANI

kundi la ‘Jesuit Society' maana wao ndio waliomfundisha Adam Weishaupt ambaye ni muasisi wa Illuminati. Shirika la Jesuits lilianzishwa na Ignatius Loyola aliyezaliwa mwaka 1491 na kufariki Julai 31, 1556. Sherehe ya Ignatius Loyola hufanyika kila ifikapo Julai 31 ya kila mwaka, siku aliyokufa. Mkuu wa shirika la Jesuit anaitwa "Black Pope" yaani "Papa Mweusi."

Hapa haimaanishi kuwa mkuu huyo anatakiwa awe wa rangi nyeusi yaani mwafrika bali neno ‘black' linamaanisha ‘asiyeonekana,' na kwa maana hiyo Jesuit Society wanafanya kazi za siri, zisizoonekana, tena za giza ambazo ni kinyume na nuru ya neno la Mungu. Shirika hili lilianzishwa ikiwa ni matokeo ya kanisa Katoliki kupiga vita uprotestant. Kujitoa kwa Loyola katika kulitumika kanisa kunaweza kuonekana kwenye kanuni 13 za shirika la Jesuits zinazolihusu kanisa; "Rules for thinking with the church" anaposema "I will believe that the white that I see is black if the hierarchical Church so defines it". Kwamba "nitaamini rangi nyeupe ninayoina kuwa ni nyeusi kama mfumo wa uongozi wa kanisa utatafsri hivyo."

Na ndivyo ilivyo katika shirika hili ya kwamba mtu anapaswa kuamini na kufanyia kazi kile anachofundishwana kanisa hata kama dhamira yake inamwambia kuwa hicho si sahihi. Hebu soma nukuu hizi ili tuone chanzo cha chama cha Jesuits: "Kuinuka kwa dhama za giza kulitokana na kuruhusu Biblia ipatikane kwa urahisi hata kwa watu wa kawaida na mafundisho ya waprotestant wanamatengenzo.

Mafundisho haya yalikuwa na msingi wa kutafsiri unabii kutokana na historia; yaani kuwakilisha siku 1260 za Danieli na Ufunuo kuwa miaka 1260. Viongozi wa matengenezo kama Luther, Calvin, Huss, Wycliff, Knox, Latimer, Cranmer, Ridley, Hooker, Newton na wengine waliamini hivyo na kufundisha." Ibid p 7. "Kwa kutumia mbinu hii ya kutafsiri unabii, kanisa la Roma lilionekana wazi kuhusika na unabii huu wa pembe ndogo katika Daniel 7, na mnyama wa Ufunuo 13:1, mwanamke wa Ufunuo 17, ikiwa ni pamoja na kichwa cha kanisa kuwakilisha Mtu wa Kuasi wa 2 Wathesalonike 2. Kadri mafundisho haya yalivyozidi, kanisa la Roma lililazimika kujilinda dhidi ya kuongezeka kwa ushahidi wa unabii wa Biblia kulihusisha kanisa hilo. Hivyo upapa ukaanza kuweka mipango ya kuwapinga waprotestant kwa kuanzisha ‘Jesuit society' ili kisaidie kufundisha mafundisho ya kanisa na kuharibu mafundisho na vitabu vyote vilivyokuwa kinyume na kanisa na kuanzisha "Holy Office of the Inquisition" maalumu kwa ajili ya kuwatesa hata kuwaua wapinzani wa kanisa." Ibid. pp 126, 127. Kati ya mwaka 1524 na mwaka 1537 Loyola alisomea Theology huko Hispania na Ufaransa.

Mwaka 1534 alifika Ufaransa wakati wa kipindi cha mapambano dhidi ya uprotestant, mapambano ambayo yalimfanya John Calvin akimbie kutoka Ufaransa. Mwaka 1539, Loyola akiwa na wenzake walifanikiwa kuanzisha muungano na kuuita ‘Society of Jesus'. Mwaka uliofuata yaani 1540 chama hicho kikapewa baraka na Papa Yohana III na ilipofika mwaka 1548 Papa huyo akatoa kibali kwa Society of Jesus ili kiweze kushughulika na maswala ya kiroho.

Loyola alikufa mnamo Julai 31, 1556 na akabarikiwa na Papa Paul V mwaka Julai 27, 1609, akapewa hadhi ya utakatifu Machi 12, 1622 na Papa Gregory XV na akatangazwa kuwa kiongozi wa maswala la kiroho mwaka 1922 na Papa Pius XI. Jina kamili la Loyola lilikuwa ni Íñigo akiwa ni mtoto wa mwisho kati ya watoto 13. Baada ya kifo cha mama yake mwaka 1506 Íñigo alichukua jina la mwisho "de Loyola" kutokana na jina la mji ulioitwa Loyola ambako alizaliwa.

Akaamua kutumia jina la "Ignatius of Loyola" yaani Ignatius anayetokea mji wa Loyola. Mwaka 1534 aliwakusanya marafiki zake sita ambao alikutana nao chuo kikuu wakiwa ni wanafunzi wenzake ambao ni Francis Xavier, Alfonso Salmeron, Diego Laynez na Nicholas Bobadilla wote wakiwa ni Wahispania; Peter Faber akiwa ni Mfaransa; na Simao Rodrigues aliyekuwa Mreno. Asubuhi ya tarehe 15 Agust 1534, katika kanisa la Our Lady of the Martyrs huko Montmartre, Loyola akiwa na wenzake sita ambapo mmoja wa marafiki hao alikuwa ni padre, waliapa kutumika maisha yao yote. Ignatius akawa ndiye kiongozi mkuu (Superior General) wa chama cha Yesu – Society of Jesus. Yeye ndiye aliyetunga katiba ya chama hicho mwaka 1540

. .

Sent using Jamii Forums mobile app
Haya nayajua tokea 1999 Ww unajua leoman
By the way tufahamiane kwanza Ww n nan mchungaj .mpiga dili au nan
 
Mimi nilie Hahahahaha
Unawajua Jesuit community vizur au unaskia???
IGNATIUS LOYOLA ALIWAHI KUSEMA HIVI pale atakapotumwa kazi na kanisa hata kama ni nyeusi ila yeye ataitafsiri ni nyeupe....

"I will believe that the white that I see is black, if the hierarchical Church defines it as such.” -The Spirit Exercies of St. Ignatius, p. 141, -By Ignatius de Loyola.

Hili nimeliongelea sana...

Sasa tuangalie ni kina nani walimuua Abraham Lincoln...

Naye rais wa Marekani Abraham Lincoln akiwa anakifahamu chama cha Jesuits na kazi zao alisema kwamba🙁nitatafsiri kwa kiswahili)

“This War (Civil war) would never have been possible without the sinister influence of
the Jesuits. We owe it to popery that we now see our land reddened with the blood of her
noblest sons”…. “The mormon and the Jesuit priests are equally the uncompromising
ENEMIES of our Constitution and our laws; but the more dangerous of the two is the
Jesuit- the romish priest, for he knows better how to conceal his hatred under the mask of friendship and public deeds for the glory of God…. So many plots have already been made against my life, that it is a real miracle that they have all failed, when we consider that the great majority of them were in the hands of the skillful Roman Catholic murderers, evidently trained by Jesuits. But Can we expect that God will make a
perpetual miracle to save my life? I believe not. ..My escape from their hands, since the
letter of the pope to Jeff Davis has sharpened a million of daggers to pierce my breast,
would be more than a miracle. But just as the Lord heard no murmur from the lips of Moses when he told him that he had to die, before crossing the Jordan, for the sins of his people; so i hope and pray that he will hear no murmur from me when i fall for my nations sake. ..” (Abraham Lincoln)

Tafsiri yake...

“Vita hii isingewezekana kuwepo kama isingesababishwa na Jesuits. Tunamdai Papa sasa kwa kuona ardhi yetu ikienea damu za watu wake…” “Watu jamii ya mormon na makasisi wa shirika la Jesuit ni maadui wa katiba na sheria zetu; lakini kati ya hao wawili Jesuits ndio kundi hatari zaidi – kasisi wa rumi, maana anajua vizuri jinsi ya kuficha chuki yake katika mavazi ya urafiki na kufanya kazi za jamii kwa ajili ya utukufu wa Mungu….hivyo njama nyingi zimewekwa dhidi ya maisha yangu, ambapo ni muujiza kwamba wameshindwa, maana tunajua kwamba wengi wao walikuwa miongoni mwa wauaji wa Roman Catholic waliotumia akili nyingi, bila shaka wakiwa wamefundishwa na Majesuits. Lakini tutarajie kwamba Mungu ataendelea kufanya muujiza ili kuokoa maisha yangu? Siamini hivyo…kutoka kwangu mikononi mwao, tangu barua ya papa
kwenda kwa Jeff Davis imenoa makali ya mamilioni ya watesaji ili kupasua kifua changu, itakuwa zaidi ya muujiza nikitoka mikononi mwao. Lakini kama vile Bwana ambapo hakusikiliza manung`uniko ya Musa wakati alipomuambia kwamba atakufa kabla ya
kuvuka mto Yordani, kutokana na dhambi za watu wake; ndivyo nilivyo na matumaini na kuomba kwamba asisikie manung`uniko yangu nitakapoanguka kwa ajili ya taifa langu”.(Abraham Lincoln)


Yapata mwaka 1865, Abraham Lincoln aliuawa baada ya kuonekana kuwa anapiga
vita vyama vya siri. Katika historia ya taifa la Marekani wapo marais wachache sana
ambao walipinga uwepo wa vyama vya siri mmoja wao alikuwa Abrahm Lincoln. Hata
hivyo wapinzani wa vyama hivi wamekuwa wakikutana na vikwazo na hata kuuawa. Baada ya kugusia chama cha Jesuits sasa tuendelee na kuwaona Illuminati ambao chimbuko lao ni Jesuit Society. Ieleweke kwamba unapozungumzia Illuminati, unazungumzia ibada na utawala katika
jamii, kama vile mnyama wa namba 666 anavyojishughulisha na ibada na utawala.

Mmoja wa waumini wa Illuminati mwenye digrii 33 ambaye aliwahi kuwa kiongozi
mkuu wa Illuminati nchini Marekani Dr. Albert Pike, anasema, namnukuu:

“Every Masonic Lodge is a temple of religion, and its teachings are instruction in religion”
(Albert Pike, Morals and Dogma, P. 213.)

Tafsiri yake ni Kwamba “kila Loji (Jumba au kituo) ya Freemason ni hekalu la mambo ya dini, na mafundisho yake ni maagizo katika dini.”

Unapoingia kwenye Loji za Freemason utakuta kuna Biblia ya toleo la King James ikiwa
imewekwa juu ya madhabahu (Altare) ya Loji hiyo. Bw. Albert anaendelea kusema kwamba:

“Freemasonry is a search for Light. That search leads us directly back, as you see, to the Kabalah.” [Albert Pike, Morals and Dogma, p. 741]

Tafsiri yake ni Kwamba

“Kazi ya Freemason ni kutafuta nuru. Na kutafuta huko kunatufanya, kama unavyoona, tujielekeze Kabalah.”

Katika dini ya Uislamu kuna kitu kinachoitwa الكعبة yaani al Kabah huko Mecca Saud Arabia. Illuminati nao wana kitu kinachoitwa Kabalah.
8640050eacda91c968e6f67763850b80.jpg


Huko mbeleni katika Nyuzi zangu....panapo majaaliwa ...Nitaelezea zaidi uhusiano wa UISLAMU NA FREEMASON, NA UHUSIANO WA UISLAMU NA UKATOLIKI.


Wakati Jesuits wanayaita majumba yao ya kufundishia kwa jina la ‘Convent’ na wanaojiunga kuitwa ‘Novice’ Illuminati na freemason wanayaita majumba yao ‘Lodge’
na wanaojiunga katika digrii tatu za awali hutumia majengo yanayoitwa ‘Blue Lodge’.
Maana ya Illuminati ni “aliyepewa nuru” au kwa lugha ya kigeni “one who is
illuminated” au “the enlightened ones,” ikimaanisha “mtu aliyepokea nuru au ujuzi
mkubwa.”

Umewahi kusikia watu wanaoitwa “Jesuits”?

Kama umewahi kuwasikia,
tambua kwamba hao ndio waliomfundisha Adam Weishaupt, ambaye ndiye mwanzilishi
wa The Illuminati. Kwa maana nyingine, Illuminati ni mwanafunzi wa Jesuits.
Baada ya Adam Weishaupt kupata elimu yake kutoka kwa Jesuits, mwaka 1785 serikali ya Bavaria ikafunua mpango wa Weishaupt wa kuangamiza Ukristo na kutawala
serikali zote duniani.

Mpango huo ulipingwa vikali na serikali ya Bavaria na kulifukuza
kundi la Illuminati nchini humo. Hata hivyo huu haukuwa mwisho wa Illuminati, kama
wanahistoria wengi walivyoandika. Mipango ya Weishaupt ilichukuliwa na
kushughulikiwa kama mapinduzi yaliyo hatari katika nchi ya Ujerumani (Bavaria)peke
yake. Lakini kuna mataifa mengi ambayo Illuminati walikuwa wanafanya kazi na hivyoBserikali za mataifa hayo hazikujali tahadhari ya serikali ya Bavaria kuhusu Illuminati.

Baada ya miaka michache mpango wa kuangamiza Ukristo na kisha kutawala serikali
zote ulionekana kwa mara ya kwanza wakati wa mapinduzi ya Ufaransa. Nguvu kama
hiyo ya mapinduzi ilionekana tena huko Ujerumani ikiitwa “The Legue of the Just”
kukiwa na matawi yake huko London, Brusses, Paris na Switzerland. Wakati Napoleon
alipoingia madarakani, hakuvumilia vitendo vya Jacobin Clubs vilivyokuwa chini ya Illuminati hivyo akavifutilia mbali. Hata hivyo Illuminati waliendelea kufanya kazi kwa
jina lingine. Walifanya kazi kwa jina la “The Legue of the Just” ambapo “Karl Marx”alikuwa mfuasi. Alipewa kazi ya kurudia kwa kuandika kwa kina kile kilichoandikwa na Adam Weishaupt miaka sabini iliyopita.

Weishaupt alikufa mwaka 1830, lakini mipango yake ya mapinduzi iliendelezwa na
wafuasi wake ambao hadi leo wako kwenye hatua za mwisho za kukamilisha mipango hiyo ya kuhakikisha kwamba dunia yote inarudia imani ya kipagani na kumuabudu shetani.

Mwaka 1842 Karl Marx alianza kuandika propaganda za mapinduzi kwa ajili ya
“League of the Just”, akitumaini kusababisha machafuko. Mwaka 1844, akishirikiana na
Friedrich Engels, wakiwa chini ya usimamizi wa “The League of the Just”, Marx alianza
kuandika “Manifest der Kommunistichen Partei,” kinachojulikana kama “The Communist
Manifesto,” yaani “Ilani ya Ukomunist” iliyotolewa mwanzoni mwa mwaka 1848.
Baadaye, Illuminati wakiwa wanafanya kazi chini ya “The League of the Just,”
walibadilisha jina lao na kuitwa “The League of Communists”.


Wakomunist husherehekea May Mosi ikiwa ni kuzaliwa kwa harakati za mapinduzi
yao kwa sababu ilikuwa ni tarehe ya kuanzishwa kwa Illuminati iliyoanzishwa na Adam Weishaupt. Wasomi wengi wanajua kwamba Ukomunist ni dhana ambayo haikubali uwepo wa Mungu kama Biblia inavyoelezea.HAPA NIWAAMBIE UKWELI WALE WANAODAI MUNGU HAYUPO WANAINGIA KATIKA HILI KUNDI.......

Vivyo hivyo Illuminati ni wapinzani wakubwa wa Biblia maana wanatumiwa na Shetani ambaye ni adui wa Mungu na watu wake. Na sio kwa kubahatisha kwamba Wakomunist wote hutumia umbo la pentagram
(umbo la nyota yenye pembe tano) kama moja ya nembo yao.
00540eb1d166665ed88a108469791938.jpg



Pia sio kwa kubahatisha
kwamba Wakomunist hutumia neno RED katika kuelezea harakati za mapinduzi yao.
Familia ya “The Rothschild international banking” ambayo kwa takribani miaka 200
imekuwa na mafanikio huko Ulaya katika nyanja za uchumi na siasa, ilianzishwa na
Mayer Amschel Rothschild mnamo Feb. 23, 1744 huko Frankfurt Ujerumani. Alikuwa na
watoto watano na jina la familia lilitokana na RED SHIELD.

Ni Adam Weishaupt pamoja na familia ya “the House of Rothschild” ndio walioanzisha harakati hizi kwa sehemu zikiwa za kidini na kwa sehemu zikiwa ni za kisiasa kama zilivyotabiriwa katika unabii wa Yohana kuwa ni mnyama mwekundu sana atakayetoka katika shimo la kuzimu (yaani umizimu) Ufunuo 17:3,8.

Inaaminiwa kwamba Illuminati ni sehemu ya Freemason. Hawa Freemason, ambao ni
Illuminati, walichukua imani yao kutoka kwa “The Knights Templar”.


“The Knights Templar” kilikuwa ni kikosi cha kidini ambapo wafuasi wake walipata kuwa matajiri wakubwa kutokana ka kupewa ardhi na zawadi kutoka kwa wafalme wa nchi za Ulaya.
Kufikia miaka ya 1300 kikosi hiki cha Templars kilijiita kuwa ndio wamiliki wa Benki za Ulaya kutokana na utajiri mkubwa waliokuwa nao. Walikuwa na ndoto za kuwa matajiri wakubwa kiasi cha kuununua ulimwengu. Mfalme wa Ufaransa na Papa walianzisha msako wa kuwakamata The Knights Templar lakini Papa akawa na mashaka kutokana na jinsi mfalme alivyokuwa anaendesha msako ndipo Papa akaendelea kufanya msako bila kushirikiana na mfalme. Wakati wa msako huu kikosi hiki cha Templars kikaungama kosa lao kwa Papa na kujifanya kuwa Templars sasa wamekuwa Wakristo huku wafuasi wake wakificha imani yao ya kumuabudu Lucifa kama mungu wao.


Papa akawa amefanikiwa kukikomesha kikosi hiki lakini hakuwa amekikomesha kabisa
kwani hatimaye kiligeuka na kuwa Freemason huku jamii ikiwa inawaona Freemason
kuwa ni chama kizuri chenye malengo mazuri tu. ni kwa njia hii Adam Weishaupt aliyekuwa mwanachama wa Freemason alifanikiwa kuanzisha imani ya chama cha siri cha Illuminati ndani ya chama cha siri cha Freemason.





Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndo Hivy anajifanya anatujua badala atuulize wengn n members tunasomea
Sasa kusomea huko ndio kuujua?

Au hujui vyama vya siri kama...freemason,illuminat, jeauit, knight of templar,skull of bones ,n.k

Vibatumia exoteric na esoteric meaning?

Maana iliyowaz na iliyojificha?

Jesuit kwa nje wanajionesha wanasaidia sana jamii,ila nyuma ya pazia ni wabaya


Sasa wewe yawezekana unasomeshwa ila unawekwa kund la MAANA ILIYOWAZI

MAANA WEWE HATA VIAPO VYA JESUIT HUWEZ KUVIAPA

ni viapo vya kishetani ,

Nimeviweka hapo juu ukitaka nitakuwekea tena

Kwa mtu anayekuwa jesuit kweli kweli lazima aape hivo viapo



Sent using Jamii Forums mobile app
 
IGNATIUS LOYOLA ALIWAHI KUSEMA HIVI pale atakapotumwa kazi na kanisa hata kama ni nyeusi ila yeye ataitafsiri ni nyeupe....

"I will believe that the white that I see is black, if the hierarchical Church defines it as such.” -The Spirit Exercies of St. Ignatius, p. 141, -By Ignatius de Loyola.

Hili nimeliongelea sana...

Sasa tuangalie ni kina nani walimuua Abraham Lincoln...

Naye rais wa Marekani Abraham Lincoln akiwa anakifahamu chama cha Jesuits na kazi zao alisema kwamba🙁nitatafsiri kwa kiswahili)

“This War (Civil war) would never have been possible without the sinister influence of
the Jesuits. We owe it to popery that we now see our land reddened with the blood of her
noblest sons”…. “The mormon and the Jesuit priests are equally the uncompromising
ENEMIES of our Constitution and our laws; but the more dangerous of the two is the
Jesuit- the romish priest, for he knows better how to conceal his hatred under the mask of friendship and public deeds for the glory of God…. So many plots have already been made against my life, that it is a real miracle that they have all failed, when we consider that the great majority of them were in the hands of the skillful Roman Catholic murderers, evidently trained by Jesuits. But Can we expect that God will make a
perpetual miracle to save my life? I believe not. ..My escape from their hands, since the
letter of the pope to Jeff Davis has sharpened a million of daggers to pierce my breast,
would be more than a miracle. But just as the Lord heard no murmur from the lips of Moses when he told him that he had to die, before crossing the Jordan, for the sins of his people; so i hope and pray that he will hear no murmur from me when i fall for my nations sake. ..” (Abraham Lincoln)

Tafsiri yake...

“Vita hii isingewezekana kuwepo kama isingesababishwa na Jesuits. Tunamdai Papa sasa kwa kuona ardhi yetu ikienea damu za watu wake…” “Watu jamii ya mormon na makasisi wa shirika la Jesuit ni maadui wa katiba na sheria zetu; lakini kati ya hao wawili Jesuits ndio kundi hatari zaidi – kasisi wa rumi, maana anajua vizuri jinsi ya kuficha chuki yake katika mavazi ya urafiki na kufanya kazi za jamii kwa ajili ya utukufu wa Mungu….hivyo njama nyingi zimewekwa dhidi ya maisha yangu, ambapo ni muujiza kwamba wameshindwa, maana tunajua kwamba wengi wao walikuwa miongoni mwa wauaji wa Roman Catholic waliotumia akili nyingi, bila shaka wakiwa wamefundishwa na Majesuits. Lakini tutarajie kwamba Mungu ataendelea kufanya muujiza ili kuokoa maisha yangu? Siamini hivyo…kutoka kwangu mikononi mwao, tangu barua ya papa
kwenda kwa Jeff Davis imenoa makali ya mamilioni ya watesaji ili kupasua kifua changu, itakuwa zaidi ya muujiza nikitoka mikononi mwao. Lakini kama vile Bwana ambapo hakusikiliza manung`uniko ya Musa wakati alipomuambia kwamba atakufa kabla ya
kuvuka mto Yordani, kutokana na dhambi za watu wake; ndivyo nilivyo na matumaini na kuomba kwamba asisikie manung`uniko yangu nitakapoanguka kwa ajili ya taifa langu”.(Abraham Lincoln)


Yapata mwaka 1865, Abraham Lincoln aliuawa baada ya kuonekana kuwa anapiga
vita vyama vya siri. Katika historia ya taifa la Marekani wapo marais wachache sana
ambao walipinga uwepo wa vyama vya siri mmoja wao alikuwa Abrahm Lincoln. Hata
hivyo wapinzani wa vyama hivi wamekuwa wakikutana na vikwazo na hata kuuawa. Baada ya kugusia chama cha Jesuits sasa tuendelee na kuwaona Illuminati ambao chimbuko lao ni Jesuit Society. Ieleweke kwamba unapozungumzia Illuminati, unazungumzia ibada na utawala katika
jamii, kama vile mnyama wa namba 666 anavyojishughulisha na ibada na utawala.

Mmoja wa waumini wa Illuminati mwenye digrii 33 ambaye aliwahi kuwa kiongozi
mkuu wa Illuminati nchini Marekani Dr. Albert Pike, anasema, namnukuu:

“Every Masonic Lodge is a temple of religion, and its teachings are instruction in religion”
(Albert Pike, Morals and Dogma, P. 213.)

Tafsiri yake ni Kwamba “kila Loji (Jumba au kituo) ya Freemason ni hekalu la mambo ya dini, na mafundisho yake ni maagizo katika dini.”

Unapoingia kwenye Loji za Freemason utakuta kuna Biblia ya toleo la King James ikiwa
imewekwa juu ya madhabahu (Altare) ya Loji hiyo. Bw. Albert anaendelea kusema kwamba:

“Freemasonry is a search for Light. That search leads us directly back, as you see, to the Kabalah.” [Albert Pike, Morals and Dogma, p. 741]

Tafsiri yake ni Kwamba

“Kazi ya Freemason ni kutafuta nuru. Na kutafuta huko kunatufanya, kama unavyoona, tujielekeze Kabalah.”

Katika dini ya Uislamu kuna kitu kinachoitwa الكعبة yaani al Kabah huko Mecca Saud Arabia. Illuminati nao wana kitu kinachoitwa Kabalah.
8640050eacda91c968e6f67763850b80.jpg


Huko mbeleni katika Nyuzi zangu....panapo majaaliwa ...Nitaelezea zaidi uhusiano wa UISLAMU NA FREEMASON, NA UHUSIANO WA UISLAMU NA UKATOLIKI.


Wakati Jesuits wanayaita majumba yao ya kufundishia kwa jina la ‘Convent’ na wanaojiunga kuitwa ‘Novice’ Illuminati na freemason wanayaita majumba yao ‘Lodge’
na wanaojiunga katika digrii tatu za awali hutumia majengo yanayoitwa ‘Blue Lodge’.
Maana ya Illuminati ni “aliyepewa nuru” au kwa lugha ya kigeni “one who is
illuminated” au “the enlightened ones,” ikimaanisha “mtu aliyepokea nuru au ujuzi
mkubwa.”

Umewahi kusikia watu wanaoitwa “Jesuits”?

Kama umewahi kuwasikia,
tambua kwamba hao ndio waliomfundisha Adam Weishaupt, ambaye ndiye mwanzilishi
wa The Illuminati. Kwa maana nyingine, Illuminati ni mwanafunzi wa Jesuits.
Baada ya Adam Weishaupt kupata elimu yake kutoka kwa Jesuits, mwaka 1785 serikali ya Bavaria ikafunua mpango wa Weishaupt wa kuangamiza Ukristo na kutawala
serikali zote duniani.

Mpango huo ulipingwa vikali na serikali ya Bavaria na kulifukuza
kundi la Illuminati nchini humo. Hata hivyo huu haukuwa mwisho wa Illuminati, kama
wanahistoria wengi walivyoandika. Mipango ya Weishaupt ilichukuliwa na
kushughulikiwa kama mapinduzi yaliyo hatari katika nchi ya Ujerumani (Bavaria)peke
yake. Lakini kuna mataifa mengi ambayo Illuminati walikuwa wanafanya kazi na hivyoBserikali za mataifa hayo hazikujali tahadhari ya serikali ya Bavaria kuhusu Illuminati.

Baada ya miaka michache mpango wa kuangamiza Ukristo na kisha kutawala serikali
zote ulionekana kwa mara ya kwanza wakati wa mapinduzi ya Ufaransa. Nguvu kama
hiyo ya mapinduzi ilionekana tena huko Ujerumani ikiitwa “The Legue of the Just”
kukiwa na matawi yake huko London, Brusses, Paris na Switzerland. Wakati Napoleon
alipoingia madarakani, hakuvumilia vitendo vya Jacobin Clubs vilivyokuwa chini ya Illuminati hivyo akavifutilia mbali. Hata hivyo Illuminati waliendelea kufanya kazi kwa
jina lingine. Walifanya kazi kwa jina la “The Legue of the Just” ambapo “Karl Marx”alikuwa mfuasi. Alipewa kazi ya kurudia kwa kuandika kwa kina kile kilichoandikwa na Adam Weishaupt miaka sabini iliyopita.

Weishaupt alikufa mwaka 1830, lakini mipango yake ya mapinduzi iliendelezwa na
wafuasi wake ambao hadi leo wako kwenye hatua za mwisho za kukamilisha mipango hiyo ya kuhakikisha kwamba dunia yote inarudia imani ya kipagani na kumuabudu shetani.

Mwaka 1842 Karl Marx alianza kuandika propaganda za mapinduzi kwa ajili ya
“League of the Just”, akitumaini kusababisha machafuko. Mwaka 1844, akishirikiana na
Friedrich Engels, wakiwa chini ya usimamizi wa “The League of the Just”, Marx alianza
kuandika “Manifest der Kommunistichen Partei,” kinachojulikana kama “The Communist
Manifesto,” yaani “Ilani ya Ukomunist” iliyotolewa mwanzoni mwa mwaka 1848.
Baadaye, Illuminati wakiwa wanafanya kazi chini ya “The League of the Just,”
walibadilisha jina lao na kuitwa “The League of Communists”.


Wakomunist husherehekea May Mosi ikiwa ni kuzaliwa kwa harakati za mapinduzi
yao kwa sababu ilikuwa ni tarehe ya kuanzishwa kwa Illuminati iliyoanzishwa na Adam Weishaupt. Wasomi wengi wanajua kwamba Ukomunist ni dhana ambayo haikubali uwepo wa Mungu kama Biblia inavyoelezea.HAPA NIWAAMBIE UKWELI WALE WANAODAI MUNGU HAYUPO WANAINGIA KATIKA HILI KUNDI.......

Vivyo hivyo Illuminati ni wapinzani wakubwa wa Biblia maana wanatumiwa na Shetani ambaye ni adui wa Mungu na watu wake. Na sio kwa kubahatisha kwamba Wakomunist wote hutumia umbo la pentagram
(umbo la nyota yenye pembe tano) kama moja ya nembo yao.
00540eb1d166665ed88a108469791938.jpg



Pia sio kwa kubahatisha
kwamba Wakomunist hutumia neno RED katika kuelezea harakati za mapinduzi yao.
Familia ya “The Rothschild international banking” ambayo kwa takribani miaka 200
imekuwa na mafanikio huko Ulaya katika nyanja za uchumi na siasa, ilianzishwa na
Mayer Amschel Rothschild mnamo Feb. 23, 1744 huko Frankfurt Ujerumani. Alikuwa na
watoto watano na jina la familia lilitokana na RED SHIELD.

Ni Adam Weishaupt pamoja na familia ya “the House of Rothschild” ndio walioanzisha harakati hizi kwa sehemu zikiwa za kidini na kwa sehemu zikiwa ni za kisiasa kama zilivyotabiriwa katika unabii wa Yohana kuwa ni mnyama mwekundu sana atakayetoka katika shimo la kuzimu (yaani umizimu) Ufunuo 17:3,8.

Inaaminiwa kwamba Illuminati ni sehemu ya Freemason. Hawa Freemason, ambao ni
Illuminati, walichukua imani yao kutoka kwa “The Knights Templar”.


“The Knights Templar” kilikuwa ni kikosi cha kidini ambapo wafuasi wake walipata kuwa matajiri wakubwa kutokana ka kupewa ardhi na zawadi kutoka kwa wafalme wa nchi za Ulaya.
Kufikia miaka ya 1300 kikosi hiki cha Templars kilijiita kuwa ndio wamiliki wa Benki za Ulaya kutokana na utajiri mkubwa waliokuwa nao. Walikuwa na ndoto za kuwa matajiri wakubwa kiasi cha kuununua ulimwengu. Mfalme wa Ufaransa na Papa walianzisha msako wa kuwakamata The Knights Templar lakini Papa akawa na mashaka kutokana na jinsi mfalme alivyokuwa anaendesha msako ndipo Papa akaendelea kufanya msako bila kushirikiana na mfalme. Wakati wa msako huu kikosi hiki cha Templars kikaungama kosa lao kwa Papa na kujifanya kuwa Templars sasa wamekuwa Wakristo huku wafuasi wake wakificha imani yao ya kumuabudu Lucifa kama mungu wao.


Papa akawa amefanikiwa kukikomesha kikosi hiki lakini hakuwa amekikomesha kabisa
kwani hatimaye kiligeuka na kuwa Freemason huku jamii ikiwa inawaona Freemason
kuwa ni chama kizuri chenye malengo mazuri tu. ni kwa njia hii Adam Weishaupt aliyekuwa mwanachama wa Freemason alifanikiwa kuanzisha imani ya chama cha siri cha Illuminati ndani ya chama cha siri cha Freemason.





Sent using Jamii Forums mobile app
Unawajua Jesuit kwa asilimia 1.0%
Ungekuwa unajua propaganda ungenielewaa na Mtu ambaye ajui propaganda ni rahisi Kuku amini
 
Unawajua Jesuit kwa asilimia 1.0%
Ungekuwa unajua propaganda ungenielewaa na Mtu ambaye ajui propaganda ni rahisi Kuku amini
Loyola
Yeye ndiye aliyetunga katiba ya chama hicho
mwaka 1540. Nukuu muhimu tunayoweza
kuichukua kutoka kwa Ignatius wa Loyola ni hii:
“That we may be altogether of the same
mind and in conformity with the Church herself, if she shall have defined anything to be black which appears to our eyes to be white, we ought in like manner to pronounce it to be black. For we must undoubtingly believe, that the Spirit of our Lord Jesus Christ, and the Spirit of the Orthodox Church His
Spouse, by which Spirit we are governed and directed to Salvation, is the same.” [Ignatius Loyola, Spiritual Exercises, Rule 13
Henry Bettenson, ed.,
Documents of the Christian
Church,
2nd ed. (London: Oxford
University Press, 1963), p.
260.]



“Kwamba wote tuwe na nia moja na kukubaliana na kanisa, kama limetafsiri
kitu chochote kuwa ni cheusi wakati kinaonekana machoni mwetu kuwa ni
cheupe, tunapaswa kukitangaza kuwa ni
cheusi. Maana bila shaka tunapaswa kuamini,
kwamba roho wa bwana wetu Yesu kristo,
na roho wa kanisa la Orthodox ndugu yake,
roho ambaye anatuongoza katika
wokovu, ni yule yule.” [Ignatius Loyola,
Spiritual Exercises, Rule 13
Henry Bettenson, ed.,
Documents of the Christian
Church, 2nd ed. (London:
Oxford
University Press, 1963), p.
260.]



Kwa mujibu wa Ignatius
Loyola, kanisa Katoliki na
kanisa la Orthodox ni
ndugu
mmoja na wote
wanaongozwa na roho
mmoja. Lakini pia
tunaweza kujiuliza kwa
nini
Loyola atumie rangi
nyeusi hata kama ni
nyeupe? Jibu ni kwamba
alikuwa anaongelea
kiongozi mkuu wa chama
hicho cha Jesuits ambaye
anaitwa ‘black Pope’ yaani
Papa
mweusi. Lakini pia Loyola
aliweka kanuni 13 za
kuongoza chama cha
Jesuits. Katika
sura zitakazofuatia
tutaona jinsi Illuminati
wanavyoabudu namba
ikiwepo namba 13 na
kuna uhusiano mkuwa
sana kati ya Jesuits,
Illuminati na Freemasons,
wote wakiwa ni
watumishi wa mnyama
wa namba 666.
Ni utaratibu gani
unafanyika wakati mtu
anapotaka kuwa
mwanachama wa “Jesuit
Society?” Kama
tutakavyoona, utaratibu
wa kujiunga na chama cha
Jesuits unafanana na
utaratibu wa kujiunga na
freemason. Cha ajabu ni
kwamba baadhi ya
madhehebu na
makanisa yanafuata
utaratibu huo wakati
waumini, na hasa viongozi
kama watawa,
wachugaji, maaskofu nk
wanapopewa nafasi hizo
kwa mara ya kwanza japo
Biblia
inakataza wazi kutumia
utaratibu kama huo.
Wakati mtu anapotaka
kujiunga na chama cha
Jesuits anatakiwa, pamoja
na mambo
mengine, kutoa viapo vya
utii katika chama hicho,
kiongozi wa chama hicho
na kiongozi
wa kanisa. Kabla ya
kusoma viapo vya Jesuits,
hebu tuiulize Biblia
kuhusu viapo.
“Tena mmesikia watu wa
kale walivyoambiwa,
Usiape uongo, ila mtimizie
Bwana
nyapo zako; lakini mimi
nawaambia, Usiape
kabisa; hata kwa mbingu,
kwa maana
ndicho kiti cha enzi cha
Mungu; wala kwa nchi,
kwa maana ndiyo pa
kuweka miguu
yake…wala usiape kwa
kichwa chako, maana
huwezi kufanya unywele
mmoja kuwa
mweupe au
mweusi…..kwa kuwa
yazidiyo hayo yatoka kwa
yule mwovu.” Mathayo
5:33-37. “Lakini zaidi ya
yote, ndugu zangu,
msiape….msije
mkaangukia hukumu.”
Yakobo 5:12.
Biblia inakataza kuapa
kwa aina yoyote ile, hivyo
kama Jesuits wanaapa
wanafanya hivyo kwa sababu wako
kinyume na Biblia. Hata hivyo yapo madhehebu mengi yaliyo na utaratibu wa kuapisha viongozi wao ikiwa ni wachungaji, maaskofu, mapadri kila wanapowekwa wakfu kwa ajili ya kazi za kanisa husika. Chunguza ndani ya kanisa lako huenda likawa moja ya wahusika wa viapo.
. . .

SASA WEWE NGUMBALU UNAWEZA KUWA JESUIT WEWE?

MPAKA SASA UNASIFA MOJA TU YA KUTETEA MAFUNDISHO YA UONGO YA KANISA KUWA YAKWELI

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa kusomea huko ndio kuujua?

Au hujui vyama vya siri kama...freemason,illuminat, jeauit, knight of templar,skull of bones ,n.k

Vibatumia exoteric na esoteric meaning?

Maana iliyowaz na iliyojificha?

Jesuit kwa nje wanajionesha wanasaidia sana jamii,ila nyuma ya pazia ni wabaya


Sasa wewe yawezekana unasomeshwa ila unawekwa kund la MAANA ILIYOWAZI

MAANA WEWE HATA VIAPO VYA JESUIT HUWEZ KUVIAPA

ni viapo vya kishetani ,

Nimeviweka hapo juu ukitaka nitakuwekea tena

Kwa mtu anayekuwa jesuit kweli kweli lazima aape hivo viapo



Sent using Jamii Forums mobile app

Acha upotovu
Hahahahaha
Jesuit community inalinda kanisa kwenye kila Institutions Ila si Hivy unafikiria ni mashetani mm nko mwaka wa 2 Theology Marekani Acha potosha watu
Unawafaham Opus dei embu nitumie mafail
 
Ufunuo 17:8 “Nikamwona yule mwanamke amelewa kwa damu ya watakatifu, na kwa damu ya mashahidi wa Yesu. Nami nikastaajabu ajabu kuu”

Mwanamke katika unabii inawakilisha “kanisa”, Ufunuo 21:2 inasema, “…Yerusalemu mpya…umewekwa tayari, kama bibi-arusi aliyekwisha kupambwa kwa mumewe.” Na Ufunuo 21:9 inasema, “…Njoo huku, nami nitakuonyesha yule Bibi-arusi, mke wa Mwana-Kondoo.”

Hivyo Yohana aliona kanisa ambalo limelewa damu ya watakatifu, na je kanisa hilo ni kanisa gani? Katika fungu la 1 Yohana aliambiwa na malaika kwamba “njoo huku, nitakuonyesha hukumu ya yule kahaba mkuu.” Kahaba huyo, katika fungu la 5 ametajwa kama “mwanamke aliyeketi juu ya mnyama“, -mnyama- katika unabi inawakilisha “ufalme” au “taifa”;

5dbdb37c07cb766da7a5397b9f6ae5da.jpg



angalia Danieli 7:17

“Wanyama hao…wanne ni wafalme wanne watakaotokea duniani” na Danieli 7:23 “…Huyo mnyama wa nne atakuwa ni ufalme wa nne juu ya dunia…”

Hivyo “mwanamke huyu aliyeketi juu ya mnyama” ni kanisa ambalo lina uwezo wa kidini na kisiasa kwa wakati mmoja (kanisa na serikali). Na Je ni kanisa gani hapa duniani lenye uwezo wa kidini na kisiasa? Ni kanisa la Romani Katoliki pekee! Ambapo kanisa katoliki ni “mwanamke” na Roma ni “mnyama”. Mpaka hapa hakuna haja ya ushahidi zaidi, lakini kwa sababu watu wana mioyo migumu kuamini ngoja tuongeze ushahidi zaidi usioweza kukatalika.
a8fe66046ab6d6f3624700a3b4ec3c46.jpg


Ufunuo 17:3 inasema, “Akanichukua katika Roho hata jangwani, nikaona MWANAMKE, AMEKETI JUU YA MNYAMA mwekundu sana, mwenye kujaa majina ya makufuru, mwenye vichwa saba na pembe kumi.”

Mnyama huyu anayelichukua kanisa katoliki ana “vichwa 7” na “pembe 10”; hapa vichwa saba vinawakilisha milima saba, Ufunuo 17:9 inasema, “Hapo ndipo penye akili zenye hekima. Vile vichwa saba ni milima saba anayokalia mwanamke huyo.”
d314dc57a45466bb2c36ec76cd9b6c68.jpg


Je hapa duniani kuna kanisa na serikali vimekaa juu ya milima saba?
*
Kanisa Katoliki linasema…
“Ni ndani ya mji wa Roma, uitwao Mji wa vilima saba, hivyo eneo lote la Serikali ya Vatican limewekewa mpaka kikamilifu.” –The Catholic Encyclopedia, p 529.
6e12cab82d08cdde8fdd6d81362767f3.jpg


“Je vilima saba vya Roma ni nini?
Roma inajulikana kuwa imejengwa juu ya vilima saba. Roma ilisemwa imepatikana wakati Romulus na Remus, wana mapacha wa Mars, walifika katika futi ya kilima Palatine na wakauanzisha mji, Vilima sita vingine ni Capitoline (kiti cha serikali), Quirinal, Viminal, Esquiline, Caelian, na Aventine.” –Geography.about.com

ENCYCLOPÆDIA BRITANNICA
Vilima saba vya Roma
“…kundi la vilima juu au kuhusu ambapo mji wa Roma wa zamani ulijengwa. Mji wa awali wa Romulus ulijegwa juu ya kilima Palatine (#1) (Kilatini: Mons Palatinus). Vilima vingine ni Capitoline, (#2) Quirinal, (#3) Viminal, (#4) Esquiline, (#5) Caelian, (#6) na Aventine (#7) (Vinavyojulikana kimoja kimoja kwa kilatini kama Mons Capitolinus, Mons Quirinalis, Mons Viminalis, Mons Esquilinus, Mons Caelius, na Mons Aventinus).” –http://www.britannica.com/seo/s/seven-hills-of-rome/

Hivyo mnyama mwenye vichwa 7 ambavyo ni milima 7 ni ufalme wa Roma, na mwanamke aliyeketi juu ya mnyama huyo au juu ya ile milima 7 ni Kanisa Katoliki. Mpaka hapa hakuna haja ya ushahidi zaidi, lakini ngoja tuongeze ushahidi mwingine labda ndungu watapata kuamini kwa huo.

Ufunuo 17:5 inasema, yule “mwanamke amekaa juu ya mnyama…mwenye pembe kumi“. Pembe katika unabii inawakilisha “mfalme/ufalme” au “taifa”, Danieli akitabiri kuhusu mnyama Roma alisema, “Na habari za zile pembe kumi [za mnyama], katika ufalme huo wataondoka wafalme kumi; na mwingine ataoondoka baada ya hao;…naye atawashusha wafalme watatu” Danieli 7:24.

Hivyo pembe kumi ni wafalme kumi ambao wanatawala katika ufalme huo mmoja wa Roma. Baada ya dola la Roma kuanguka mwaka 476BK liligawanyika katika mataifa/wafalme kumi ambayo ni…

1.Saxon,
kwa sasa ni taifa la Uingereza.
2.Frank,
kwa sasa ni taifa la Ufaransa.
3.Alamanni,
kwa sasa ni taifa la Ujerumani.
4.Visigoth, kwa sasa ni taifa la Uhispania.
5.Suevi, kwa sasa ni taifa la Ureno.
6.Lombard,
kwa sasa ni taifa la Italia.
7.Burgundia,
kwa sasa ni taifa la Uswidi.8Heruli,
liling’olewa na pembe ndogo 493 B.K.
9Vandal, liling’olewa na pembe ndogo 534 B.K.
10.Ostrogoth,
liling’olewa na pembe ndogo 538 B.K.

Hizo ndio pembe kumi za mnyama Roma, Unabii katika Danieli 7:8 na 24 unasema kuwa, baada ya pembe hizo kumi ambazo ni wafalme kumi wa dola la Roma, kati yao ingetokea pembe nyingine ndogo ambayo ni mfalme mwingine, ambaye ni Uapa wa Vatikani; nao ungelikuwa tofauti na wale wafalme 10 kwa sababu una nguvu za kidini na kiserikali tofauti na wale 10. Pia pembe ndogo ambaye ni Upapa angezing’oa pembe 3 katika zile pembe 10 za mnyama Roma.

Baada ya kanisa katoliki kupitisha fundisho la utatu katika baraza la 2 huko Konstantinapoli mwaka 381bk, baraza liliamuru kwamba wote wasiokubaliana na imani ya utatu waangamizwe; hivyo mataifa ya Waario (Arians); watu ambao hawakuamini fundisho la utatu, mataifa yao matatu; Heluli, Vandalis, na Ostrogoth yaliangushwa na kanisa Katoliki. Hivyo Upapa ulizing’oa kabisa pembe hizo 3 kama Danieli alivyotabiri, na mataifa 7 yaliyobaki leo yanaitwa Umoja wa Ulaya [EU].

Hivyo yule mnyama mwenye pembe kumi na vichwa saba ambavyo ni milima 7 ni ufalme wa Roma, na yule mwanamke aliyeketi juu yake ni Kanisa Katoliki. Na hivyo yule mwanamke wa Ufunuo 17:6 “amelewa kwa damu ya watakatifu, na kwa damu ya mashahidi wa Yesu…” ni kanisa Katoliki lenyewe. Je historia inathibitisha kuwa kanisa Katoliki liliwahi kumwaga damu ya watakatifu na mashahidi wa Yesu?
d654fd2bd441c93b46c86e4352d3356c.jpg


“Kwa sababu ya kufundisha imani kinyume na mafundisho ya Roma, historia inaonyesha vifo vya wafia dini zaidi ya milioni 100” –Brief Bible Readings, p 16.

Kanisa Katoliki linasema…
“Katoliki ana baadhi ya sababu kwa upande wake wakati anapotoa adhabu kwa waasi wa kidini, kwa maana anajidaia jina la Ukristo kwake mwenyewe kwa kuzuia, na anajidai kufundisha kwamba uwepo wa Roho wa Mungu kamwe hautaondoka kwake…Siyo kosa zaidi kumuua mtu kwa sababu ya uasi wa kidini, kuliko kwa sababu ya uuaji,…[na] katika mambo mengi mateso kwa maoni ya kidini siyo tu kwamba yanaruhusiwa, lakini ni ya busara na ya lazima.” –The Lawfulnees of Persecution” in the Rambler, 4, June, 1849, pp 119, 126. (“The Rambler” lilikuwa ni gazeti la kila siku la Romani Katoliki lililochapishwa kuanzia mwaka 1848 hadi 1862).
bf9d9aac84ca8d8d428b624ff98ae464.jpg


“Chini ya mawazo na desturi za kijerumani, mateso yalitumiwa kidogo kuanzia karne ya 9 hadi karne ya 12, lakini kwa uhuikaji wa sheria ya Romani mateso yalianzishwa tena katika karne ya 12…Katika mwaka 1252 (Papa) Innocent IV aliruhusu adhabu ya mateso juu ya waasi wa kidini kwa kutumia mamlaka ya kiserikali, na mateso yakaja kuwa na mahali palipojulikana katika utaribu wa mahakama ya kiuchunguzi.” –New Catholic Encyclopedia, arts. “Inquisition”, “Auto-da-Fe’,” na “Massacre of St Bartholomew’s Day.”
5fc891cdb2e0a4cd5079066254f26d3c.jpg


BWANA AWAITA WOTE WALIOPO KWA HUYU MNYAMA WATOKE HARAKA SANA


YHWH IS GOOD


Sent using Jamii Forums mobile app

Uturuki ni ulaya, Israel ni ulaya fafanua tukuelewe ulaya ya mataifa 7 ni ipi hiyo? Kanisa linaposimikwa kwenye misingi ya uongo hata wafuasi wake kusema ungo ni jambo la kawaida.
 
Pope huyu atakuwa mfuasi wa joka na alipoona joka bwana wake katajwa katika kumdaganya Hawa hapo Mwanzo wa Biblia ndio anataka kumtetea kiana.

Mfikishieni ujumbe kuwa sisi tunaongozwa na Roho Mtakatifu katika masuala yote ya kiroho ndiye Yesu alituachia atusaidie na kutuongoza, na kutufariji. Hakutuachia wanafunzi wake alioongozana, kukaa nao na kuwafundisha kwa miaka mitatu. Hata Pope mfuasi wa shetani akija na kauli kama hizi tunampuuza maana Roho Mtakatifu kesha tuonesha anamtetea bwana wake shetani lile joka la Eden chanzo cha anguko la dhambi kwa Mwanadamu.

Ataendelea atasema Biblia yote ni hadithi za uongo na kutunga katafuta pa kuanzia tu,lakini mwambieni keshashindwa, kitu hiki kama kaongea 2016 leo ndio na soma, hii inamaanisha hakikuwa na nguvu yeyote na watu wanaendelea kumpokea Yesu kuwa Bwana na Mwokozi wa maisha yao.

Mawakala wa shetani wenzake na Pope Francisis hapa jF wanaendeleza kuhubiri ushetani bali wako hoi bin taabani kwa kutwanga maji kwenye kinu.


Kumbuka vitabu vilipigiwa kura papa amaelezea hapa yaliyo fanyika by BBS
Angalia Hii
Internet.org

Hiyo
Internet.org
Kwa hiyo hata baadhi ya vitabu waliongezea maandishi has a vya mwisho maana viliandikwa kwenye ngozi na mawe na vilikaa sana alafu ukitaka enjoy usi base upande mmoja angalia kote....
Kuna Ant SDA source's
Ant Lutheran sources
Ant Islamic sources
Nk.
Utaona madudu kama
Mama Hellen alikuwa mwanamke Freemasons wa 1.
Na nando aliwapigania world Freemasons wawa kubalie wanawake km sasa.
Mimi na angalia pande zote ndonna faidi kuliko Ww unaeangalia pande moja.
Na kufikiri upoooooooooo safe wa Dini yako.
 
Back
Top Bottom