Vazi amaizing la kwenye sherehe usiku

Vazi amaizing la kwenye sherehe usiku

Mima white cute

JF-Expert Member
Joined
Nov 24, 2017
Posts
740
Reaction score
1,305
Habari za jioni wapendwa..

Jamani wadada humu hakuna linaloshindikana naimani ..shida yangu kubwa nataka mshono amaizing ambao utanitoa chicha wa usiku nahitaji na ushauri wa aina ya material ya kitambaa ambayo nitatumia kwani nataka kuhudhuria kisherehe fulani so inataka kutoka kifassionaL zaidi.

Hivyo humu naimani mpo wajuvi wa mambo.nahitaji ushauri wa mshono wa kisasa utakaonipendeza na ushauri pia;

WASIFU WANGU
Ni kibonge kiasi .
si mfupi sana na wala si mrefu yahn nipo normali tu
ni mweupe (naimani itasaidia katika kunishauri rangi ya nguo na kiatu cha aina gani au rangi gani)

KARIBUNI
 
Habari za jioni wapendwa..

Jamani wadada humu hakuna linaloshindikana naimani ..shida yangu kubwa nataka mshono amaizing ambao utanitoa chicha wa usiku nahitaji na ushauri wa aina ya material ya kitambaa ambayo nitatumia kwani nataka kuhudhuria kisherehe fulani so inataka kutoka kifassionaL zaidi.

Hivyo humu naimani mpo wajuvi wa mambo.nahitaji ushauri wa mshono wa kisasa utakaonipendeza na ushauri pia;

WASIFU WANGU
Ni kibonge kiasi .
si mfupi sana na wala si mrefu yahn nipo normali tu
ni mweupe (naimani itasaidia katika kunishauri rangi ya nguo na kiatu cha aina gani au rangi gani)

KARIBUNI
Weka picha
 
Ingia insta page ziko nyingi sana unajichagulia mtindo unapeleka kwa fundi mzur anakushonea exactly the same
 
Ingia insta page ziko nyingi sana unajichagulia mtindo unapeleka kwa fundi mzur anakushonea exactly the same
Ebu nitajie account mbili tatu ambazo naweza nikapata mishono bomba ya kisada
 
Back
Top Bottom