Vazi bora la mwanamke ni kama lile alilovaa bikra Maria analovaa mama Samia

Vazi bora la mwanamke ni kama lile alilovaa bikra Maria analovaa mama Samia

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Inajulikana mama aliyetakasika,bikra Maria ambaye ni mama yake Yesu alayhi sallaam alivaa kwa heshima sana na mapokezi ya mavazi yake yaliyotufikia kwa njia ya mchoro inamuonesha hivyo.

Masista wa kikatoliki wanajaribu sana kumuiga mama yetu huyo.Waislamu daima wametambua hilo na kuendelea kuvaa na kupendeza kwa kuvaa hijabu.

Miongoni mwa maraisi walio madarakani wanaovaa kama Bikra Maria ni raisi wa Tanzania wa sasa,dokta Samia Suluhu Hassan ambaye kwa vazi hilo anapata heshima zaidi inayokwenda pamoja na cheo chake
 
Inajulikana mama aliyetakasika,bikra Maria ambaye ni mama yake Yesu alayhi sallaam alivaa kwa heshima sana na mapokezi ya mavazi yake yaliyotufikia kwa njia ya mchoro inamuonesha hivyo.
Masista wa kikatoliki wanajaribu sana kumuiga mama yetu huyo.Waislamu daima wametambua hilo na kuendelea kuvaa na kupendeza kwa kuvaa hijabu.
Miongoni mwa maraisi walio madarakani wanaovaa kama Bikra Maria ni raisi wa Tanzania wa sasa,dokta Samia Suluhu Hassan ambaye kwa vazi hilo anapata heshima zaidi inayokwenda pamoja na cheo chake
Naona mama Bikira Maria amesepa nilitegemea kuliona vazi lake, mpaka uchaguzi Yesu atakuwa amepata shangazi.
 
Inajulikana mama aliyetakasika,bikra Maria ambaye ni mama yake Yesu alayhi sallaam alivaa kwa heshima sana na mapokezi ya mavazi yake yaliyotufikia kwa njia ya mchoro inamuonesha hivyo.
Masista wa kikatoliki wanajaribu sana kumuiga mama yetu huyo.Waislamu daima wametambua hilo na kuendelea kuvaa na kupendeza kwa kuvaa hijabu.
Miongoni mwa maraisi walio madarakani wanaovaa kama Bikra Maria ni raisi wa Tanzania wa sasa,dokta Samia Suluhu Hassan ambaye kwa vazi hilo anapata heshima zaidi inayokwenda pamoja na cheo chake
Sio vazi Bora ni vazi la kitamaduni la far east.
 
Inajulikana mama aliyetakasika,bikra Maria ambaye ni mama yake Yesu alayhi sallaam alivaa kwa heshima sana na mapokezi ya mavazi yake yaliyotufikia kwa njia ya mchoro inamuonesha hivyo.
Masista wa kikatoliki wanajaribu sana kumuiga mama yetu huyo.Waislamu daima wametambua hilo na kuendelea kuvaa na kupendeza kwa kuvaa hijabu.
Miongoni mwa maraisi walio madarakani wanaovaa kama Bikra Maria ni raisi wa Tanzania wa sasa,dokta Samia Suluhu Hassan ambaye kwa vazi hilo anapata heshima zaidi inayokwenda pamoja na cheo chake
Ila nyie machawa utukufu mnaompa Samia, ni kufuru.
Leo anafananishwa na mama wa Mungu! Bikira Maria!.
 
Na sisi wanaume tuvae kanzu kama Yesu?
Mavazi ni utamaduni wa mahali, Maria mama yake Yesu na Yesu mwenyewe walivaa mavazi kadiri ya utamaduni wa jamii yao waliyokua wanaishi.
Watu wengi wanachanganya utamaduni wa watu wamahali biblia ipoandikwa wakidhani hata huo utamaduni ni maelekezo ya Mungu pia.
Vaa kadiri ya utamaduni wako, jamii yako inautamaduni wake usilazimishe wakati wowote wahindi wavae kama watu wa Mashariki ya kati haitawezekana.
Ni bahati mbaya tu sisi watu wa huku dunia ya tatu hata tamaduni zetu hatuzitaki tena tumeletewa dini tunadhani na utamaduni zilikotoka dini hizo ni sehemu ya dini ndio maana unakuta watu wanakula mkate na divai hivyo ni vyakula vya utamaduni wa eneo husika.

Yesu angekua uchagani angekula ndizi na Mbege maana ndio utamaduni wa eneo husika.

Tufuate maelekezo ya Mungu na masuala ya utamaduni wa mahali tuwaachie wenye utamaduni wao.
 
Tusema na masista na mapapa wamelirithi vazi hilo.
Sio lazima kuvaa hivyo mtaguso wa Vatican ulishapitisha kuwa watu wanaweza kutumia mavazi Yao ya kitamaduni kwenye ibada hivyo hayana ulazima kwa mkristu mkatoliki kuyavaa. Ukiamua kuvaa sawa na usipovaa sawa lakini kimsingi hayo ma kanzu ni mavazi ya asili ya Asia yote hata wale wasiokuwa na dini kama wachina Wana kanzu zao za asili Hali kadhalika wa Hindu na hata mfumo wa kukaa chini ni WA kitamaduni ya Asia hayana uhusiano wowote na Imani. Mungu ndiye aliyeipa Kila jamii mifumo yake ya kitamaduni tofauti na wengine. Ukiacha vya kwako na kwenda kujifanya wewe ni mwarabu au mzungu kwa kuiga mavazi yake,lugha,vyakula nk ni ama unaweza kwa kifaa kingine tofauti na ubongo
 
Sio lazima kuvaa hivyo mtaguso wa Vatican ulishapitisha kuwa watu wanaweza kutumia mavazi Yao ya kitamaduni kwenye ibada hivyo hayana ulazima kwa mkristu mkatoliki kuyavaa. Ukiamua kuvaa sawa na usipovaa sawa lakini kimsingi hayo ma kanzu ni mavazi ya asili ya Asia yote hata wale wasiokuwa na dini kama wachina Wana kanzu zao za asili Hali kadhalika wa Hindu na hata mfumo wa kukaa chini ni WA kitamaduni ya Asia hayana uhusiano wowote na Imani. Mungu ndiye aliyeipa Kila jamii mifumo yake ya kitamaduni tofauti na wengine. Ukiacha vya kwako na kwenda kujifanya wewe ni mwarabu au mzungu kwa kuiga mavazi yake,lugha,vyakula nk ni ama unaweza kwa kifaa kingine tofauti na ubongo
Hayo unayosema ni baada ya maandiko ya biblia kuingizwa mkono wa mayahudi.
 
Msivyokuwa na haya, hamkawii kumbadilisha jina huyo mama yenu na pengine ku print na vipeperushi kabisa kuwa yeye ndio Bikra Maria, mama yesu.

Uchawa umekosa kikomo siku hizi.
 
Msivyokuwa na haya, hamkawii kumbadilisha jina huyo mama yenu na pengine ku print na vipeperushi kabisa kuwa yeye ndio Bikra Maria, mama yesu.

Uchawa umekosa kikomo siku hizi.
Bikra Maria ndiye mama yake Yesu (Issa bin Maryam)
 
Inajulikana mama aliyetakasika,bikra Maria ambaye ni mama yake Yesu alayhi sallaam alivaa kwa heshima sana na mapokezi ya mavazi yake yaliyotufikia kwa njia ya mchoro inamuonesha hivyo.

Masista wa kikatoliki wanajaribu sana kumuiga mama yetu huyo.Waislamu daima wametambua hilo na kuendelea kuvaa na kupendeza kwa kuvaa hijabu.

Miongoni mwa maraisi walio madarakani wanaovaa kama Bikra Maria ni raisi wa Tanzania wa sasa,dokta Samia Suluhu Hassan ambaye kwa vazi hilo anapata heshima zaidi inayokwenda pamoja na cheo chake
Cha ajabu na chakuchekesha ilitegemewa wakristo wanaojinasibu kumuheshimu maria mtakatifu hawamuigi mavazi yake ya stara na heshima, ila wakimuona muislam Mwanamke kavaa kiheshima wanamuita gaidi na kumkebei, dini hizi kweli vichekesho!
 
Inajulikana mama aliyetakasika,bikra Maria ambaye ni mama yake Yesu alayhi sallaam alivaa kwa heshima sana na mapokezi ya mavazi yake yaliyotufikia kwa njia ya mchoro inamuonesha hivyo.

Masista wa kikatoliki wanajaribu sana kumuiga mama yetu huyo.Waislamu daima wametambua hilo na kuendelea kuvaa na kupendeza kwa kuvaa hijabu.

Miongoni mwa maraisi walio madarakani wanaovaa kama Bikra Maria ni raisi wa Tanzania wa sasa,dokta Samia Suluhu Hassan ambaye kwa vazi hilo anapata heshima zaidi inayokwenda pamoja na cheo chake
Huyo Bikira Maria ulikutana nae wapi na kuona vazi lake? 😅
 
Si vyema mwanaume na pumbu zako kuleta nyuzi za kichawa namna hii
 
Back
Top Bottom