Vazi bora la mwanamke ni kama lile alilovaa bikra Maria analovaa mama Samia

Vazi bora la mwanamke ni kama lile alilovaa bikra Maria analovaa mama Samia

Na wew Anza kuvaa kama yesu. Tambua nyakati. Ni ushaur tu!
 
Ila nyie machawa utukufu mnaompa Samia, ni kufuru.
Leo anafananishwa na mama wa Mungu! Bikira Maria!.
wala sita shangaa kusikia Bikra maria kaiga mavazi ya mheshimiwa mtukufu rais kipenzi cha kila mtanzania!
 
Cha ajabu na chakuchekesha ilitegemewa wakristo wanaojinasibu kumuheshimu maria mtakatifu hawamuigi mavazi yake ya stara na heshima, ila wakimuona muislam Mwanamke kavaa kiheshima wanamuita gaidi na kumkebei, dini hizi kweli vichekesho!
Ukristo umevamiwa sana na uyahudi kiasi kwamba wamebadilishiwa maandiko na hata kufukuzwa Palestina.
Inachekekesha sana kuwa makao makuu ya ukristo yako Italia na kundi jengine linaongozwa na mayahudi ndani ya Marekani wanaojitanua Afrika kila siku kwa jina la Ulokole.
 
Back
Top Bottom