Naona mama Bikira Maria amesepa nilitegemea kuliona vazi lake, mpaka uchaguzi Yesu atakuwa amepata shangazi.Inajulikana mama aliyetakasika,bikra Maria ambaye ni mama yake Yesu alayhi sallaam alivaa kwa heshima sana na mapokezi ya mavazi yake yaliyotufikia kwa njia ya mchoro inamuonesha hivyo.
Masista wa kikatoliki wanajaribu sana kumuiga mama yetu huyo.Waislamu daima wametambua hilo na kuendelea kuvaa na kupendeza kwa kuvaa hijabu.
Miongoni mwa maraisi walio madarakani wanaovaa kama Bikra Maria ni raisi wa Tanzania wa sasa,dokta Samia Suluhu Hassan ambaye kwa vazi hilo anapata heshima zaidi inayokwenda pamoja na cheo chake
Ajabu masisiter kanidani mbona wanavaa kwa kujistiriSubiri wakatoliki wanakuja kukupa muongozo
Sio vazi Bora ni vazi la kitamaduni la far east.Inajulikana mama aliyetakasika,bikra Maria ambaye ni mama yake Yesu alayhi sallaam alivaa kwa heshima sana na mapokezi ya mavazi yake yaliyotufikia kwa njia ya mchoro inamuonesha hivyo.
Masista wa kikatoliki wanajaribu sana kumuiga mama yetu huyo.Waislamu daima wametambua hilo na kuendelea kuvaa na kupendeza kwa kuvaa hijabu.
Miongoni mwa maraisi walio madarakani wanaovaa kama Bikra Maria ni raisi wa Tanzania wa sasa,dokta Samia Suluhu Hassan ambaye kwa vazi hilo anapata heshima zaidi inayokwenda pamoja na cheo chake
Ila nyie machawa utukufu mnaompa Samia, ni kufuru.Inajulikana mama aliyetakasika,bikra Maria ambaye ni mama yake Yesu alayhi sallaam alivaa kwa heshima sana na mapokezi ya mavazi yake yaliyotufikia kwa njia ya mchoro inamuonesha hivyo.
Masista wa kikatoliki wanajaribu sana kumuiga mama yetu huyo.Waislamu daima wametambua hilo na kuendelea kuvaa na kupendeza kwa kuvaa hijabu.
Miongoni mwa maraisi walio madarakani wanaovaa kama Bikra Maria ni raisi wa Tanzania wa sasa,dokta Samia Suluhu Hassan ambaye kwa vazi hilo anapata heshima zaidi inayokwenda pamoja na cheo chake
Sio lazima kuvaa hivyo mtaguso wa Vatican ulishapitisha kuwa watu wanaweza kutumia mavazi Yao ya kitamaduni kwenye ibada hivyo hayana ulazima kwa mkristu mkatoliki kuyavaa. Ukiamua kuvaa sawa na usipovaa sawa lakini kimsingi hayo ma kanzu ni mavazi ya asili ya Asia yote hata wale wasiokuwa na dini kama wachina Wana kanzu zao za asili Hali kadhalika wa Hindu na hata mfumo wa kukaa chini ni WA kitamaduni ya Asia hayana uhusiano wowote na Imani. Mungu ndiye aliyeipa Kila jamii mifumo yake ya kitamaduni tofauti na wengine. Ukiacha vya kwako na kwenda kujifanya wewe ni mwarabu au mzungu kwa kuiga mavazi yake,lugha,vyakula nk ni ama unaweza kwa kifaa kingine tofauti na ubongoTusema na masista na mapapa wamelirithi vazi hilo.
Hayo unayosema ni baada ya maandiko ya biblia kuingizwa mkono wa mayahudi.Sio lazima kuvaa hivyo mtaguso wa Vatican ulishapitisha kuwa watu wanaweza kutumia mavazi Yao ya kitamaduni kwenye ibada hivyo hayana ulazima kwa mkristu mkatoliki kuyavaa. Ukiamua kuvaa sawa na usipovaa sawa lakini kimsingi hayo ma kanzu ni mavazi ya asili ya Asia yote hata wale wasiokuwa na dini kama wachina Wana kanzu zao za asili Hali kadhalika wa Hindu na hata mfumo wa kukaa chini ni WA kitamaduni ya Asia hayana uhusiano wowote na Imani. Mungu ndiye aliyeipa Kila jamii mifumo yake ya kitamaduni tofauti na wengine. Ukiacha vya kwako na kwenda kujifanya wewe ni mwarabu au mzungu kwa kuiga mavazi yake,lugha,vyakula nk ni ama unaweza kwa kifaa kingine tofauti na ubongo
Masister na mapadri wote ni wayahudi?Mavazi ya wayahudi hayo
Cha ajabu na chakuchekesha ilitegemewa wakristo wanaojinasibu kumuheshimu maria mtakatifu hawamuigi mavazi yake ya stara na heshima, ila wakimuona muislam Mwanamke kavaa kiheshima wanamuita gaidi na kumkebei, dini hizi kweli vichekesho!Inajulikana mama aliyetakasika,bikra Maria ambaye ni mama yake Yesu alayhi sallaam alivaa kwa heshima sana na mapokezi ya mavazi yake yaliyotufikia kwa njia ya mchoro inamuonesha hivyo.
Masista wa kikatoliki wanajaribu sana kumuiga mama yetu huyo.Waislamu daima wametambua hilo na kuendelea kuvaa na kupendeza kwa kuvaa hijabu.
Miongoni mwa maraisi walio madarakani wanaovaa kama Bikra Maria ni raisi wa Tanzania wa sasa,dokta Samia Suluhu Hassan ambaye kwa vazi hilo anapata heshima zaidi inayokwenda pamoja na cheo chake
Huyo Bikira Maria ulikutana nae wapi na kuona vazi lake? 😅Inajulikana mama aliyetakasika,bikra Maria ambaye ni mama yake Yesu alayhi sallaam alivaa kwa heshima sana na mapokezi ya mavazi yake yaliyotufikia kwa njia ya mchoro inamuonesha hivyo.
Masista wa kikatoliki wanajaribu sana kumuiga mama yetu huyo.Waislamu daima wametambua hilo na kuendelea kuvaa na kupendeza kwa kuvaa hijabu.
Miongoni mwa maraisi walio madarakani wanaovaa kama Bikra Maria ni raisi wa Tanzania wa sasa,dokta Samia Suluhu Hassan ambaye kwa vazi hilo anapata heshima zaidi inayokwenda pamoja na cheo chake