Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Simlaumu hata kidogo. Huo ni ubunifu wake. Watanzania tumekuwa na mavazi ya kila aina hapo zamani za kale. Historia inasema tumevaa magome ya miti, majani, ngozi za wanyama, kaniki n.k. Hatuna vazi rasmi la taifa. Si vibaya kuendelea kuwa creative mpaka tufanikiwe tupate na kukubaliana vazi la taifa liwe lipi. Kama ni kaniki, mgolole, khanga au vitenge basi tukubaliane na kupata national patterns na mvao ambao utatu-identify Watanzania.
NdioNi Miss Universe Tanzania
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Hawakutaka kuingia gharama wkt wanajua hawatoshinda