Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Hahahahaha sasa Matola ndio nini hivi hujui siku hizi mie rafiki yangu invisible,ntakuchongeaa
We uliambiwa uweke picha yako hujaweka acha tumjadili domo
Invisible ni dogo kwangu wala huwezi kunichongea chochote. kwanza mimi nilikataa kuwa moderator ili niwe huru.
Fu*c the police?
teh teh teh yeah....dem hard!!!!
Here i am...
Mi nashindwa hata kuelewa wanakata za kibongo lkn za America wanapiga na kuzirusha live.
Dully alihojiwa aliongea pumba tupu. Eti wasanii wanaongeza pato la Taifa kwa hiyo nchi isiwabane na video kama hizo ndo zinafanya wawe stars. Anasema nchi yake badala imsupport sasa ndo ina mdidimiza kimaendeo.
Kwangu nimeona hana lolote yeye afanye mazuri then support ataipata.
police????? he he he naomba ninyamaze
Speak out...!!! Au nitafutemo kule...!!!!
kule nimeondokamo....
Haaaaa...nakupataje sasa!
Mshagaiwa iPad nikutumie gmail!??
Teh bado hatujapewa asee kutuongezea tu hapo kwenye laki tatu bado kizaizai
Dully alihojiwa aliongea pumba tupu. Eti wasanii wanaongeza pato la Taifa kwa hiyo nchi isiwabane na video kama hizo ndo zinafanya wawe stars. Anasema nchi yake badala imsupport sasa ndo ina mdidimiza kimaendeo.
Kwangu nimeona hana lolote yeye afanye mazuri then support ataipata.
Dully alihojiwa aliongea pumba tupu. Eti wasanii wanaongeza pato la Taifa kwa hiyo nchi isiwabane na video kama hizo ndo zinafanya wawe stars. Anasema nchi yake badala imsupport sasa ndo ina mdidimiza kimaendeo.
Kwangu nimeona hana lolote yeye afanye mazuri then support ataipata.
Usipoteze nguvu bure Dully ni mzaramo............kama Mbwiga.