Hapa ndio ninapowashangaa hawa Wabongo wanaojiita Basata Why wasipige makufuru kupigwa video za Mbele ambazo hawa vijana wetu mitaan ndio wanafanya......WTF...!!!!!????
Sent from my iPhone in Stralis Cabin.
Nazani hilo litaamuliwa leo..usisite kunitafuta!
Dah asee mi naona mavaz ya uyo dada ndo yaweza kuwa sababu kuu ya kusitishwa iyo video
.Acha majungu, ndio maana andunje
Tukubaliane kutokukubaliana inatoooosha
Wote tumemsikia jana Prince Dully Sykes akiongelea kufungiwa kwa video yake ya kabinti special na Baraza la Sanaa Tanzania(BASATA) . Kuna sababu kuu mbili zilizosababisha video hii kufungiwa na ya kwanza ni kitendo cha msanii Diamond Platnumz kuvaa T-shirt iliyoandikwa neno ambalo ni tusi .
Hii ingekua kwa nchi za mbele basi ungekutwa t-shirt hii wanaifanyia kitu kinaitwa blurring yaani
wanayafanya maneno yasisomeke lakini wabongo wakaona isiwe tabu na director akaamua kuacha video irushwe ikiwa katika hali hii.Sababu ya pili ni vazi la ufukwe yule demu alilovaa kitu ambacho dully ameona haikua mbaya.
Je, Unadhani ni haki video hii kufungiwa na kama ni haki je unafikiri ifungiwe ni kwasababu ipi ya msingi?
heaven on desert Unaelewa maana ya Hayo maandishi katika T-shirt ya Boss wako?Ndiyo nashangaa kwa nn mleta mada
kamchagua Diamond hyusuph
Tatizo maumbo kaka,tacle la mzungu na tacle la Mtanzania ni vitu viwili tofauti.
Mzungu hata akae naked hapo nadhani mnara wako utakuwa unaloose signal kimtindo.Ila Mdada wa kibongo ama Afrika kwa ujumla,ukiona kocho tu lazima signal strength iongezeke na kuwa imara zaidi.
"Nlikuwepo":bolt:
Absolutely, wale wamezoea kujiweka wazi all of their entire time. Sasa hata yale mambo yanakuwa yamezoeleka tofauti na hawa wa kwetu ambao ninadra sana kwa wao kufanya hivyo, na pindi inapotokea kunakuwa na tafrani kama hizi.bado hujatushawishi, unamaaanisha black amerika wa kule are different from tanzanian women?
BASATA nitaandaa makala maalum Mungu akijalia kuwaunga mkono ktk juhudi hizi.Hatuwezi kuishi tu bila misingi na heshima ya tungo na staha za hawa wasanii wanaochukuliwa kama role model na watoto wetu.
Invisible ni dogo kwangu wala huwezi kunichongea chochote. kwanza mimi nilikataa kuwa moderator ili niwe huru.
Kaimba nanikama wameifungia hiyo nyimbo, nitashangaa sana kama watiacha nyimbo moja hivi inaitwa "ujuzi"
Domo bana toka ajue kiswanglish tabu sanaaa
Kaimba nani