Okhondima
JF-Expert Member
- Jul 10, 2013
- 1,249
- 1,102
Hapa ndio ninapowashangaa hawa Wabongo wanaojiita Basata Why wasipige makufuru kupigwa video za Mbele ambazo hawa vijana wetu mitaan ndio wanafanya......WTF...!!!!!????
Sent from my iPhone in Stralis Cabin.
Tatizo maumbo kaka,tacle la mzungu na tacle la Mtanzania ni vitu viwili tofauti.
Mzungu hata akae naked hapo nadhani mnara wako utakuwa unaloose signal kimtindo.Ila Mdada wa kibongo ama Afrika kwa ujumla,ukiona kocho tu lazima signal strength iongezeke na kuwa imara zaidi.
"Nlikuwepo":bolt:

