Vazi la Kanzu linaruhusiwa bungeni kama sio siku ya Ijumaa?

Vazi la Kanzu linaruhusiwa bungeni kama sio siku ya Ijumaa?

Shakari

Senior Member
Joined
Jul 6, 2022
Posts
188
Reaction score
570
Nimefuatilia Bunge wiki hii kuanzia jumatatu namuona Waziri wa KIlimo, Bashe akiwa anavalia Kanzu bungeni akijibu maswali ya wabunge, je kanzu inaruhusiwa kuvaliwa siku ambayo siyo ijumaa.

Kwanini Bashe avae kanzi wiki nzima anataka kufikisha ujumbe gani? au ndio anafanya ibada kwa ajili ya kesi zake za Sukari? Mnaojua kanuni za bunge tusaidieni kuelewa.
 
Nimefuatilia Bunge wiki hii kuanzia jumatatu namuona Waziri wa KIlimo, Bashe akiwa anavalia Kanzu bungeni akijibu maswali ya wabunge, je kanzu inaruhusiwa kuvaliwa siku ambayo siyo ijumaa.

Kwanini Bashe avae kanzi wiki nzima anataka kufikisha ujumbe gani? au ndio anafanya ibada kwa ajili ya kesi zake za Sukari? mnaojua kanuni za bunge tusaidieni kuelewa
Anajificha kwenye kivuli Cha udini aonekane sio muovu hapo ndipo waislamu mnapo fail.. udini udini
 
Nimefuatilia Bunge wiki hii kuanzia jumatatu namuona Waziri wa KIlimo, Bashe akiwa anavalia Kanzu bungeni akijibu maswali ya wabunge, je kanzu inaruhusiwa kuvaliwa siku ambayo siyo ijumaa.

Kwanini Bashe avae kanzi wiki nzima anataka kufikisha ujumbe gani? au ndio anafanya ibada kwa ajili ya kesi zake za Sukari? mnaojua kanuni za bunge tusaidieni kuelewa
Linaruhusiwa siku zote!.
P
 
Nimefuatilia Bunge wiki hii kuanzia jumatatu namuona Waziri wa KIlimo, Bashe akiwa anavalia Kanzu bungeni akijibu maswali ya wabunge, je kanzu inaruhusiwa kuvaliwa siku ambayo siyo ijumaa.

Kwanini Bashe avae kanzi wiki nzima anataka kufikisha ujumbe gani? au ndio anafanya ibada kwa ajili ya kesi zake za Sukari? mnaojua kanuni za bunge tusaidieni kuelewa
Maza si mswahili mwenzake, akivaa kanzu anaonekana mwema sn huku nyuma anaiba pesa za umma
 
Nimefuatilia Bunge wiki hii kuanzia jumatatu namuona Waziri wa KIlimo, Bashe akiwa anavalia Kanzu bungeni akijibu maswali ya wabunge, je kanzu inaruhusiwa kuvaliwa siku ambayo siyo ijumaa.

Kwanini Bashe avae kanzi wiki nzima anataka kufikisha ujumbe gani? au ndio anafanya ibada kwa ajili ya kesi zake za Sukari? mnaojua kanuni za bunge tusaidieni kuelewa
huna kazi za kufanya mpaka unafuatilia hicho kikao cha nzi?
 
Vijana wa Sasa hivi ni jau Sana, mtu ana lazimisha kukuuliza Kama kanzu ni vazi la siku zote??

Ili agundue nini Sasa??, maana muhusika kavaa na kuli penda basi ni Safi.
Mimi ningekua modes Nyuzi zote takataka kula kichwa shwaaa.Nikiona huelewi unakula ban mwezi
 
Nimefuatilia Bunge wiki hii kuanzia jumatatu namuona Waziri wa KIlimo, Bashe akiwa anavalia Kanzu bungeni akijibu maswali ya wabunge, je kanzu inaruhusiwa kuvaliwa siku ambayo siyo ijumaa.

Kwanini Bashe avae kanzi wiki nzima anataka kufikisha ujumbe gani? au ndio anafanya ibada kwa ajili ya kesi zake za Sukari? mnaojua kanuni za bunge tusaidieni kuelewa
Anatafuta huruma Kwa ndugu katika imani
 
Back
Top Bottom