Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Hapo akili yote ipo kwenye kuiba mali za ummaHuo ndio Ukweli wenyewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo akili yote ipo kwenye kuiba mali za ummaHuo ndio Ukweli wenyewe
Kanzu koti barghashia ni vazi ruksa bungeni siku yoyote,wewe unaumia nini mtu kuvaa kanzu bungeni!?Ni vazi rasmi la kila siku?
ulitaka avae vazi gani kwan ambalo ungefurahi, na kwa nini useme vazi hilo ?Nimefuatilia Bunge wiki hii kuanzia jumatatu namuona Waziri wa KIlimo, Bashe akiwa anavalia Kanzu bungeni akijibu maswali ya wabunge, je kanzu inaruhusiwa kuvaliwa siku ambayo siyo ijumaa.
Kwanini Bashe avae kanzi wiki nzima anataka kufikisha ujumbe gani? au ndio anafanya ibada kwa ajili ya kesi zake za Sukari? mnaojua kanuni za bunge tusaidieni kuelewa
Wewe angalau tulitegemea ulete jibu tukijua huenda unazijua kanuni za bunge kuhusu mavazi, badala yake unashangaa! Na mimi ninakushangaa!Linaruhusiwa siku zote!.
P
Vitu vingine sio lazimaNasikia jamaa hanaga mtoto, sijui ni kweli?
Sio demu ni mke wake bona kamori .....bona yule mme wake kipindi analalamika enzi za magufuli kuwa kuna waziri ana tembea na mke wake ndo alikuwa bashe......Duuu ana demu lile mbunge Segerea
Jerry slaa alitamba hapa karibuni na shati lake jeupe hakukua na kelele. Kanzu bungeni hata Lissu kavaa mara kibao tu. Na kimsingi lipo katika mavazi rasmi yanayoruhusiwa bungeniNi vazi rasmi la kila siku?
P kamjibu muuliza swali linavaliwa siku zoteWewe angalau tulitegemea ulete jibu tukijua huenda unazijua kanuni za bunge kuhusu mavazi, badala yake unashangaa! Na mimi ninakushangaa!
Kabisa haka kajamaa ni kadinilist.Mtoa mada next time soma dress code ya bunge hlf ulete hoja
Udini tu umewajaa ovyo kabisa
Mwambie uarabuni hilo watu wanakaa nalo bar wanapiga urabuJerry slaa alitamba hapa karibuni na shati lake jeupe hakukua na kelele. Kanzu bungeni hata Lissu kavaa mara kibao tu. Na kimsingi lipo katika mavazi rasmi yanayoruhusiwa bungeni
Na la mwisho kanzu sio dini
Si tatizo. Acha wavae kwani kanzu si vazi la kihuni.Ni kweli linaruhusiwa ..... Tatizo la hawa ndugu zetu wanafanya mambo kutokana na wakati (zamu yetu) ..... Enzi za JPM hungeona mambo hayo yakitokea.
RA alishamharibu via vya uzaziNasikia jamaa hanaga mtoto, sijui ni kweli?
Haha acha watese ni zamu yao ...yetu inakuja soonNi kweli linaruhusiwa ..... Tatizo la hawa ndugu zetu wanafanya mambo kutokana na wakati (zamu yetu) ..... Enzi za JPM hungeona mambo hayo yakitokea.
The legacyMimi ningekua modes Nyuzi zote takataka kula kichwa shwaaa.Nikiona huelewi unakula ban mwezi