Tafuta shati tu maridadi na suruali yako nyeusi ziwe zimekufit vizuri sio oversize itaprndeza ukienda kununua dukani sio mtumbani pigilia na kiatu chako matata sana aina ya ngwasuma weka mkononi saa maridadi uongeze ujentomeni
Inatosha sana
We shona hata pazia ili mradi umepelekea mahari ya watu na pombe ya kutosha ,
Other wise utaangaliwa Kama nyanya chungu hata kama umetoka ki gentleman.
Mkono mtupu haulambwi eee
Habari zenu wana jf,
Bila kuwachosha na salamu nyingi naomba niende moja kwa moja kwenye swala langu,
Siku si nyingi zijazo nami naenda ukweni kwa utambulisho rasmi(Si kutoa mahari) kwa wenzetu hawa wachaga,
Linalonipa changamoto ni vazi gani litafaa huko mana nisije vaa kama mtu anayeenda toa mahari au harusini. Naweza piga suti kumbe dah si vazi rasmi kwa shughuli hiyo, naweza kwenda simple nkawa kituko au nkavaa kama naenda kwa send off party.
Wajuzi wa mambo ngependa ushauri wenu kwa hili hata kama ni kunielekeza kwa ma designer waliobobea.
Angalizo ni utambulisho tu then mahali na vingine ni siku zitakazofata.
Beba kreti za bia utapokelewa kama mfalme,Ila kumbuka ni utambulisho tu na wala si mahari, sasa si watashangaa mzee mzima naibuka na pombe! Au imekaaje hapo?
Achana na nguo, we nenda na kreti za bia ndo utaonekana wa maana.
Mzee piga cadet simple na kiatu cha kawaida buti safi isiwe officila shoes ila casul
Juu tupia shati hz zenye asili ya uafrika kama wewe ni mtu wa mapigo hayo.
Mashati yenye style za hv
utambulisho huku kwa wachaga uko hv..njoo umevaa simple tu kiaina,cadet flan hv kaki,chati flan mikono mifupi likushke kidogo kiaina..tupia simple rubber/viatu flan sijui jina lake...saa muhimu sana!...hakikisha unakuwa na km 100,000 kwaajili ya vinywaji ukikuta pamepwaya!.....mkuu,elezea umbo lako ili nione km utang'aaaaa
Mzee zimejaa madukani. Tembelea tu maduka ya nguo. Ila mie nilipopelekwaga kutambulishwa uwezi amini nilipiga cardet chini nikapiga sandle ya maana juu shati lisilohtaji kuchomekeaMkuu shati hizo naweza zipata wapi kwa urahisi? Mana kazi yangu kupata mda mwingi wa kuzunguka ishu, njuze zaidi sehemu ya kuzipata kwa urahisi
Mzee zimejaa madukani. Tembelea tu maduka ya nguo. Ila mie nilipopelekwaga kutambulishwa uwezi amini nilipiga cardet chini nikapiga sandle ya maana juu shati lisilohtaji kuchomekea
Hii inakupa uhuru wa kuvua na kuvaa kulingana complications za nyumba husika
We jamaa una akili sana, appreciate...Tafuta shati tu maridadi na suruali yako nyeusi ziwe zimekufit vizuri sio oversize itaprndeza ukienda kununua dukani sio mtumbani pigilia na kiatu chako matata sana aina ya ngwasuma weka mkononi saa maridadi uongeze ujentomeni
Inatosha sana
Mzee mbona hata mie nilienda kwa akina Manka huko huko sema hata binti husika anaweza jaribu kum dressUchagan ni pombe na nyama,haya mengine ni madogo sana.