hiyo suluali siyo yake wame edit ni ya baunsaLeo Mkuu wa Mkoa wa Dar ameingia ibadani katika kanisa kuu la KKKT hapa Moshi akiwa amevaa Suruali iliyozua minong'ono kuwa ya KIHUNI.
Baadhi ya Waumini waliopo hapa Ibadani wamesikika wakiuliza je angekufa babake angekwenda na vazi kama hilo?
Wengine walisikika wakisema vazi hilo hata katika mavazi yanayotakiwa kwenye Ofisi za Umma hayatakiwi iweje avae kanisani?
Waumini wengi wamesikika wakihoji kiwango cha nidhamu alichoonyesha Mkuu huyu kupitia vazi lake.View attachment 1092613
Hujakosea, jidanganye!Mawazo yangu yananiambia kuwa hii picha sio ya leo kwenye mazishi bali ilipigwa kwenye night club mahali fulani.
Hajatubu wala kukiri kosa, tena wala halijui kosa lake! Kiburi, kiburi, kiburi!Makonda ameitwa madhabahuni ametubu na amejikubali kuwa ni mchafu, amepatanishwa na baba askofu na Mbowe, amaeumbuka atajifunza.
Tatizo ni kuwa, aliyeombewa msamaha haoni kosa lake na ndio maana binafsi hakuomba msamaha!KM kamuombea msamaha - msameheni pia
Kinachoonekana nje ya mtu ndo kilichomo ndani yake...tunajua wanaovaa nguo kama hizi ni wa aina ganiLeo Mkuu wa Mkoa wa Dar ameingia ibadani katika kanisa kuu la KKKT hapa Moshi akiwa amevaa Suruali iliyozua minong'ono kuwa ya KIHUNI.
Baadhi ya Waumini waliopo hapa Ibadani wamesikika wakiuliza je angekufa babake angekwenda na vazi kama hilo?
Wengine walisikika wakisema vazi hilo hata katika mavazi yanayotakiwa kwenye Ofisi za Umma hayatakiwi iweje avae kanisani?
Waumini wengi wamesikika wakihoji kiwango cha nidhamu alichoonyesha Mkuu huyu kupitia vazi lake.View attachment 1092613
Tatizo ni kuwa, aliyeombewa msamaha haoni kosa lake na ndio maana binafsi hakuomba msamaha!
Ahaaaa ahaaaa Ok,OK the boy need second trip to US You Know boss.on bed tena hospital,ac imenipa matatizo YOU KNOW
Alikuwa hataki kabisa kwenda madhabahuni yule jamaa, yaani atapata tabu sana asipoacha kiburi.....halafu niliona kama vile alikuwa naye anataka kujibu mapigo pale pale kanisani alipoombewa Msamaha na Mkuu wake wa Chama Chao Mapinduzi....Lakini Askofu akamtolea Nje kwa kumuambia pale ni Madhabahuni...!
anaewapa hayo madaraka je?hakika hawa vijana wanaopewa madaraka awamu hii ni wa ajabu sana !
mkuu umenikumbusha mbali sana mwalimu wangu pia aliwahi kusema msemo huu...Marehemu Shabaan Robert aliwahi kuandika ktk riwaya zake hivi, "Mwenyezi Mungu akitaka kumwangamiza mchwa humwotesha mabawa na kumfanya kumbikumbi" mwisho wa kunukuu.
Baraka obama na wewe unamwona mtu au unafikiri anatutisha tungensema tu kwanza hawezi kuvaa vile. Ngoja nikutumie standing order ya mavazi ya watumishj wa umma alafu usema Makonda alikuwa Sawa. Kama unampenda mwambie ukweli, lile vazi si la Kiongozi kuvaa sehemu za heshima tena waziri mkuu yuko kama bosi na Kiongozi wetu wa juu.Akivaa barrack Obama OK....!Lakini Makonda Makelele kibao....
pumbavu wakunikosoa msibani umekuwa weweMkalimu = mkarimu