Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Noma sana !Anataka kuwaweka watu wake kwenye hiyo tume nao wafaidike uwepo wake kwenye Serikali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Noma sana !Anataka kuwaweka watu wake kwenye hiyo tume nao wafaidike uwepo wake kwenye Serikali
CCM imekulogaje wewe ? Mbona unaonekana una akili !Kuna watu wanatufanya Watanzania "mazuzu' kwa kujiondoa ufahamu...
Rwanda
![]()
Nigeria![]()
Ni hivi
Kuna watu wamepofushwa na Ukweli
Ukweli ni UKWELI
Watu waliopofushwa hawajui Ukweli
Kimsingi, Mavazi ya kitaifa ni zaidi ya kitambaa. Vazi la Kitaifa linabeba Ukweli wa Kitamaduni na kuakisi urithi wa pamoja wa Taifa.
Sipati picha Makonda na lile sambwanda lake atakavyoonekana akiwa ametinga dera lake kama alivyopendekeza salma kikwete.Sisi tulitakiwa tuendelee kutaliwa
Sasa wewe ni kiongozi wa kidini, akiva hivyo si utaasi uongozi wako.Sipati picha Makonda na lile sambwanda lake atakavyoonekana akiwa ametinga dera lake kama alivyopendekeza salma kikwete.
Uzuri wa watanzania walivyowanafkiNimememsikia salma kikwete akichangia bungeni kuwa nguo anazovaa Rais Samia ndiyo ziwe vazi la Taifa. Yaani hata sisi wanaume tuvalishwe madera ,kweli akutukanae hakuchagulii tusi. Na kibaya zaidi hata wabunge wanaume na kengele zao zinaning'inia walimshangilia sana. Dhalim alituweza kweli kutuachia wajinga mjengoni
Sisi wa dini za jadi hatuna mipaka mkuu wangu tofauti na hizo dini zenu za kutoka Mashariki ya Kati zina unafiki mwingi sanaSasa wewe ni kiongozi wa kidini, akiva hivyo si utaasi uongozi wako.
Afu msambwanda haujifichi hata ndani ya dela, makonda angekua mume wangu lazima nimtie madoleSipati picha Makonda na lile sambwanda lake atakavyoonekana akiwa ametinga dera lake kama alivyopendekeza salma kikwete.
Akaja Mchengerwa na huo upuuzi tena."Hakuna vazi lolote duniani linaloitwa la taifa lililoundiwa tume. Hakuna! Kuwafanya Watanzania watumie muda wao kusaka vazi la taifa ni wild-goose chase (wehu) na diversionary tactic ili wasahau mambo muhimu yaliyowashinda watawala. Tusipotezeane muda wetu," Jenerali Ulimwengu
NB- 2004-2005 mwanzoni mwa utawala wa Rais Kikwete kulifanyika huu utapeli, waziri akiwa Emanuel Nchimbi,baadae tena baada ya miaka 2011 ukarudiwa tena huu utapeli Waziri akiwa Dr Hellen Mkangara
Naona mambo yamerejea tena,sio utapeli wa serikali huu?!!
Da Mage umenichekesha sana. Usikute Mama Keagan naye anamshindilia la kati .Afu msambwanda haujifichi hata ndani ya dela, makonda angekua mume wangu lazima nimtie madole
Lazima maana sio kwa kunona kuleDa Mage umenichekesha sana. Usikute Mama Keagan naye anamshindilia la kati .
Wewe, sio kwamba umelogwa na CHADEMA tu, 'Umezuzika'CCM imekulogaje wewe ? Mbona unaonekana una akili !