Vazi la Taifa ni utapeli wa serikali?!!

Vazi la Taifa ni utapeli wa serikali?!!

Kuna watu wanatufanya Watanzania "mazuzu' kwa kujiondoa ufahamu...


Rwanda
iu


Nigeria
c2dabfeb18e4859f.png


Ni hivi

Kuna watu wamepofushwa na Ukweli

Ukweli ni UKWELI

Watu waliopofushwa hawajui Ukweli

Kimsingi, Mavazi ya kitaifa ni zaidi ya kitambaa. Vazi la Kitaifa linabeba Ukweli wa Kitamaduni na kuakisi urithi wa pamoja wa Taifa.
CCM imekulogaje wewe ? Mbona unaonekana una akili !
 
Nimememsikia salma kikwete akichangia bungeni kuwa nguo anazovaa Rais Samia ndiyo ziwe vazi la Taifa. Yaani hata sisi wanaume tuvalishwe madera ,kweli akutukanae hakuchagulii tusi. Na kibaya zaidi hata wabunge wanaume na kengele zao zinaning'inia walimshangilia sana. Dhalim alituweza kweli kutuachia wajinga mjengoni
Uzuri wa watanzania walivyowanafki
Huu upepo utapita tu...tuombe uhai
Tu mbeleni tutasikia mengi+madongo
Juu

Ova
 
Sasa wewe ni kiongozi wa kidini, akiva hivyo si utaasi uongozi wako.
Sisi wa dini za jadi hatuna mipaka mkuu wangu tofauti na hizo dini zenu za kutoka Mashariki ya Kati zina unafiki mwingi sana
 
Ni kiasi gani kinatoka kwenye our coffers (hard earned cash)?

Awamu hii ni mwendo wa kubuni miradi juu ya miradi (yaani hapa ninaandika proposal ya mradi wa ubunifu wa mradi) Mambo ya utekelezaji sio issue
 
"Hakuna vazi lolote duniani linaloitwa la taifa lililoundiwa tume. Hakuna! Kuwafanya Watanzania watumie muda wao kusaka vazi la taifa ni wild-goose chase (wehu) na diversionary tactic ili wasahau mambo muhimu yaliyowashinda watawala. Tusipotezeane muda wetu," Jenerali Ulimwengu
NB- 2004-2005 mwanzoni mwa utawala wa Rais Kikwete kulifanyika huu utapeli, waziri akiwa Emanuel Nchimbi,baadae tena baada ya miaka 2011 ukarudiwa tena huu utapeli Waziri akiwa Dr Hellen Mkangara

Naona mambo yamerejea tena,sio utapeli wa serikali huu?!!
Akaja Mchengerwa na huo upuuzi tena.

Ukitaka vazi la TAIFA basi boresha ubunifu wa ndani na fungua milango ya uwekezaji kwenye fabric materials. Viongozi wavae mavao ya wabunifu wa ndani, hakika ipo siku tutavaa nguzo yetu pendwa
 
Mandela mwenyewe na mavazi yake maarufu, kamwe hatukusikia South africa wakisema walifanye vazi la taifa.
 
Back
Top Bottom