Vazi la Tems la Oscars lakosolewa, aitwa Mkorofi

Vazi la Tems la Oscars lakosolewa, aitwa Mkorofi

Lady Whistledown

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2021
Posts
1,147
Reaction score
2,008
IMG_3680.jpg


IMG_3682.jpg


Mwanamuziki huyo wa Nigeria amekosolewa vikali kwenye mitandao ya Kijamii baada ya kuvaa gauni lenye 'ngao' iliyowazuia wahudhuriaji wengine kuonekana na kuona mbele.

Gauni hilo jeupe lililokuwa na ngao iliyofunika kichwa chake, lilizua sintofahamu baada ya picha kusambaa ikimuonesha mwalikwa mmoja akikunja shingo yake ili kuweza kutazama jukwaani.

Watumiaji wengi wa Twitter walikerwa na kukosoa kitendo hicho kwa kumwita Tems "mkorofi", mwenye dharau na asiyejali wengine.
 
Nenda Gugo ukamcheki, mshepu kweli anao.

Ila kwa hilo gauni la kutawanyika kichwani kweli hajafanya vyema, kawazuia watu wengi sana.
Kwani kalishona mwenyewe, Kwanini mbunifu asilaumiwe kwa kushona gauni kama hilo.Kuna wakati huwa najaribu kumaizi akili za wanguzu.
 
Back
Top Bottom