cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaahNajaribu kujiuliza, yaani nivae blauzi niache sketi kisa mpasuo unamsisimua mtu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaahNajaribu kujiuliza, yaani nivae blauzi niache sketi kisa mpasuo unamsisimua mtu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nyie watu khaaaahVi collabo uchwara, anajikuta tayari kawa rihanna
Kampige na bao la uso atoke damu, tutamlipaGet my wife name out of your ***** mouth
View attachment 2548977
Alikwambia?lengo lake la kiki limetimia
Acha utani jombaa...unasema huyu demu hajui kuimba!!!Dem mshamba sana halafu hajui kuimba,hana kipaji,hajawahi kupendeza,anaunga unga fanbase na siku hizi amekua kama toroli..haendi mpaka ashikwe nyuma
Alikwambia?
DuuhDem mshamba sana halafu hajui kuimba,hana kipaji,hajawahi kupendeza,anaunga unga fanbase na siku hizi amekua kama toroli..haendi mpaka ashikwe nyuma
Nimesema mimi,wewe kama unaona anaweza sikupingi mkuuAcha utani jombaa...unasema huyu demu hajui kuimba!!!
Sahihi, na Wizkid alikuwa humble mara paap fame ikambadilisha. David bado yuko humble namkubali sanaYani huyu dada anajikuta kawa Rihanna sijui Beyonce wa Africa..
Masifa sio masifa hii tabia hata Wizkid anayo.. hawana ule unyenyekevu kabisa..
Personality zao huwa zinanichefua sana
Haaaaaa! Wizkid mbona anaonekana muungwana tu Ndugu Mdau!Yani huyu dada anajikuta kawa Rihanna sijui Beyonce wa Africa..
Masifa sio masifa hii tabia hata Wizkid anayo.. hawana ule unyenyekevu kabisa..
Personality zao huwa zinanichefua sana
yani jamaa amekua hovyo sanaSahihi, na Wizkid alikuwa humble mara paap fame ikambadilisha. David bado yuko humble namkubali sana
mchunguze sana wiz utagundua hilo jambo.Haaaaaa! Wizkid mbona anaonekana muungwana tu Ndugu Mdau!