Vazi la Tems la Oscars lakosolewa, aitwa Mkorofi

Vazi la Tems la Oscars lakosolewa, aitwa Mkorofi

Dem mshamba sana halafu hajui kuimba,hana kipaji,hajawahi kupendeza,anaunga unga fanbase na siku hizi amekua kama toroli..haendi mpaka ashikwe nyuma
Duuh

Nyie maisha magumu
 
Yani huyu dada anajikuta kawa Rihanna sijui Beyonce wa Africa..
Masifa sio masifa hii tabia hata Wizkid anayo.. hawana ule unyenyekevu kabisa..
Personality zao huwa zinanichefua sana
Sahihi, na Wizkid alikuwa humble mara paap fame ikambadilisha. David bado yuko humble namkubali sana
 
Yani huyu dada anajikuta kawa Rihanna sijui Beyonce wa Africa..
Masifa sio masifa hii tabia hata Wizkid anayo.. hawana ule unyenyekevu kabisa..
Personality zao huwa zinanichefua sana
Haaaaaa! Wizkid mbona anaonekana muungwana tu Ndugu Mdau!
 
Back
Top Bottom