Lady Whistledown
JF-Expert Member
- Aug 2, 2021
- 1,147
- 2,008
Get my wife name out of your ***** mouthDem mshamba sana halafu hajui kuimba,hana kipaji,hajawahi kupendeza,anaunga unga fanbase na siku hizi amekua kama toroli..haendi mpaka ashikwe nyuma
Wanijeria ndivyo walivyo. UbinafsiAlizingua kweli alipaswa kuwafikiria na wengine
Mshamba and selfish Kweli huyo dadaKavaa kama anaenda kwenye harusi yake ...ushamba umemponza
Tupieni picha yake full nasikia Ana mshep balaa
Ova
Kwani kalishona mwenyewe, Kwanini mbunifu asilaumiwe kwa kushona gauni kama hilo.Kuna wakati huwa najaribu kumaizi akili za wanguzu.Nenda Gugo ukamcheki, mshepu kweli anao.
Ila kwa hilo gauni la kutawanyika kichwani kweli hajafanya vyema, kawazuia watu wengi sana.
Huyo Fundi maelezo alipewa na nani jinsi ya kushona??Kwani kalishona mwenyewe, Kwanini mbunifu asilaumiwe kwa kushona gauni kama hilo.Kuna wakati huwa najaribu kumaizi akili za wanguzu.
Najaribu kujiuliza, yaani nivae blauzi niache sketi kisa mpasuo unamsisimua mtu.Huyo Fundi maelezo alipewa na nani jinsi ya kushona??
Aseee!👎Dem mshamba sana halafu hajui kuimba,hana kipaji,hajawahi kupendeza,anaunga unga fanbase na siku hizi amekua kama toroli..haendi mpaka ashikwe nyuma
Yani huyu dada anajikuta kawa Rihanna sijui Beyonce wa Africa..Vi collabo uchwara, anajikuta tayari kawa rihanna