Kuna mijitu inabore sana hapa, muda si mrefu nilikuwa naangalia USA top model kipindi hiki kinaendeshwa na Tyra banks wale mabinti wanavaa huku ukiwaona wanavaa bikini zao huku unaona kasoro papuchi tu ndio uoneshwi, sasa ingekuwa hapa kwetu hawa vilaza wa JF si wangepeleka hoja hadi bungeni?
Halafu nawashangaa sana wabongo kwa unafki ukienda swimming pool wote tunavaa swimming dress mbona hawaji na suti na mibaibui yao tuone hayo maadili waliyonayo?
akili zako na za hao American Top Model.....