Venezuela kutumia chanjo ya Cuba inayoitwa Abdala

Venezuela kutumia chanjo ya Cuba inayoitwa Abdala

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Waziri wa afya wa Venezuela Carlos Alvarado amesema nchi yake itaanza majaribio ya hatua za mwisho ya mojawapo ya chanjo za corona zilizotengenezwa na mshirika wake Cuba na ambayo imeonesha mafanikio mazuri mpaka sasa.Chanjo hiyo inaitwa Abdala jina linalotokana na msahiri mwanamapinduzi wa nchi ya Cuba Jose Marti.

Baada ya hatua hiyo,waziri huyo amesema Venezuela itaanza kutengeneza dozi za kutosha za Abdala kuwachanja watu wa nchi hiyo wapatao milioni 4 na nusu.Hivi karibuni raisi Maduro wa nchi hiyo alikataa kupokea chanjo za AstraZeneca akisema si salama katika matumizi yake.

1620075175664.png
 
Halafu hiyo Abdallah iongezewe na ka jini ka kuvutia mademu wakali kamoja, na tujini twa kuleta utajiri tuwili, kimoja kidume na kingine kijike, vizae na watoto, weeee bwana ehhh, mbona patamu hapo?
 
Ukitaka kwenda Saudia inabidi udungwe hii chanjo ya Abdala ni halali kabisa.
 
Back
Top Bottom