Venezuela kutumia chanjo ya Cuba inayoitwa Abdala

Venezuela kutumia chanjo ya Cuba inayoitwa Abdala

Mataifa yasiyo ya kiislamu yatapinga.
🐭😁😂😂😂🐭😁
Kama ambavyo kwa umoja wao walivyopinga chanjo ya Johnson Johnson....
 
Mataifa yasiyo ya kiislamu yatapinga.
🐭😁😂😂😂🐭😁
Kama ambavyo kwa umoja wao walivyopinga chanjo ya Johnson Johnson....
Chanjo ya Johnson ilianza kugomewa na wakatoliki waliofikiri kibinadamu kwanza.
 
CORONA ITUPUMZISHE AISEE
Amiin...Dunia imebadilika sana,starehe nyingi zimeondoka.Watu sasa hata matajiri hawawezi kusafiri.Giza limeikumba dunia utadhani kiama kimeshawadia.
Pamoja na hiyo ni matengenezo ya mikono ya wanadamu,Mpaka watakakiri ndio tutapumua kidogo.
 
Back
Top Bottom