🤣🤣🤣Ukifupisha itaitwa ABDI
Au ABDU...![emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wenye majina wakikusikia.Au ABDU...!
Chanjo Abdu,[emoji23][emoji1550] au chango Dulla[emoji2][emoji2][emoji2][emoji23]Wenye majina wakikusikia.
Hapatatosha
Hapana KAYAFATanzania nayo inakuja na chanjo yake inayoitwa Athumani.
Au DULAUkifupisha itaitwa ABDI
Sana. Ni moja ya nchi iliyofanikiwa kuendeleza sana sekta ya afya. Toka miaka ya 90 mwanzoni wanazalisha chanjo zao kwa karibu 90%. Faida waliyonayo, wacuba wanaimani sana na mfumo wao wa afya sbb ni huduma za bure. So ndio maana hata hatua zote za majaribio raia wamejitokeza.Cuba wako vizuri nao...