Vengu alejea kimya kimya

ERIC JOSEPH

JF-Expert Member
Joined
Aug 10, 2011
Posts
567
Reaction score
55
Kuna tarifa ya kwamba yule gwiji wa kundi la original comedy ambaye alikuwa anasumbuliwa na ugonjwa wa kushambuliwa kwa kichwa amelejea kimya kimya nchini kwa talifa ambazo nimezipata katika gazeti la amani.jaman vp afya yake mwenye kujua zaid atujuze hali ya Vengu.sorce gazeti la amani
 

Sasa wewe taarifa zaidi umeshindwa nini kusoma kwenye hilo gazeti la amani?
 
Walitaka Vengu arud kwa vigeregere????kwani aliondoka kwa mbwembwe?????
 
Sasa wewe taarifa zaidi umeshindwa nini kusoma kwenye hilo gazeti la amani?

-ndugu yangu huku nilipo nipo kijijini hakuna cha magazeti redio lenyewe mpaka majila ya usiku so mi huku nautegemea mtandao huu kwa hbr za kina
 

Attachments

  • Aman.jpg
    34.6 KB · Views: 122
Ulitaka arudi na matarumbeta na buruji la jeshi, au?!, wewe mbona ulienda huko uliko kimyakimya bila kuagwa na kwaya ya kijiji ama kupokelewa na kwaya ya kijiji cha mtakuja?!, karagabaho we!.
 
-ndugu yangu huku nilipo nipo kijijini hakuna cha magazeti redio lenyewe mpaka majila ya usiku so mi huku nautegemea mtandao huu kwa hbr za kina

Haya ndugu yangu.....subiri wenye kujua waje wakujuze.
 
Ulitaka arudi na matarumbeta na buruji la jeshi, au?!, wewe mbona ulienda huko uliko kimyakimya bila kuagwa na kwaya ya kijiji ama kupokelewa na kwaya ya kijiji cha mtakuja?!, karagabaho we!.

Hahahahaha we gati mbona una hasira hivyo?....lol
 
Last edited by a moderator:

Andika vizuri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…