ERIC JOSEPH
JF-Expert Member
- Aug 10, 2011
- 567
- 55
Kuna tarifa ya kwamba yule gwiji wa kundi la original comedy ambaye alikuwa anasumbuliwa na ugonjwa wa kushambuliwa kwa kichwa amelejea kimya kimya nchini kwa talifa ambazo nimezipata katika gazeti la amani.jaman vp afya yake mwenye kujua zaid atujuze hali ya Vengu.sorce gazeti la amani