Vengu apewa nyumba ya million 120, kurudi runingani soon

Vengu apewa nyumba ya million 120, kurudi runingani soon

Siku hizi ukisikia mtu anaumwa na tatizo lake ni la kushambuliwa ubongo ni kumuomba sana Mungu HIV inahusika sana.

Kuna mahusiano gani kati ya HIV na ubongo?
 
Wewe ndio uliniuliza, it meanz ulimuelewa, au labda uniambie ww ulimuelewa vipi Matola? Maaana nilimuuliza yy, Ukajibu Mkuu.

Ni kawaida kusaidiana kujibu si unaona hajaja mpaka muda huu akija atakujibu
 
Hawa Original Comedy wanapendana sana ndo kitu kilichofanya wadumu wakiwa pamoja, jamaa pamoja na kukaa nje ya uwanja mda mrefu still wanamuhesabu kama mwenzao ndo maana hata kwenye hiyo ishu ya NSSF wamemuhusisha. Mungu saidia Vengu apone aungane na wenzake kupigana na maisha

Safi sana
Mungu awabariki kina masanja
 
Mungu amjarie afya yake izidi kuwa imara,huyu jamaa ni li pigaga naye kitabu maeneo ya mbeya ,nkaja kutana naye dar,tukatulia sehemu. mdaa mchache mbele nikasikia anaumwa..
 
Ana wasiwasi labda kuna chemba kapita na yeye
HIV ikiongelewa watu wagumu kuelewa lakinu kingekua kitu kingine angekua ashaelewa zamani

Na thread yenyewe kaikimbia kabisa, tunazika watu wengi kabla ya muda wao kwa sababu ya kukataa ukweli na kutokuanza dozi mapema kabla Cd4 hazijashuka.
 
Na thread yenyewe kaikimbia kabisa, tunazika watu wengi kabla ya muda wao kwa sababu ya kukataa ukweli na kutokuanza dozi mapema kabla Cd4 hazijashuka.

Hhhhhhhaaa ni shidaaaaaaaa
 
Hhhhhhjaaaaaaaa maana ana wasiwasiii kweliii

Sina wasi wasi... Na hata kama ingekuwa kweli nisha share nae si shaka... Maana kufa ni kufa tuu iwe ajali... Ngoma ama lolote unalowaza ww kichwani... My Point is, sio sawa kuzungumza jambo huna hakika nalo... Unaongea kwa wasi wasi... Inaonekana hujiamini na hujui unachoongea ni kweli ama story za kijiweni. Niliuliza ili nipate hakika kama kweli unakijua unachoongea?

No Offense! UKIMWI sio Ugonjwa wa kumpoint amtu Kidole.. Grow up.
 
Sina wasi wasi... Na hata kama ingekuwa kweli nisha share nae si shaka... Maana kufa ni kufa tuu iwe ajali... Ngoma ama lolote unalowaza ww kichwani... My Point is, sio sawa kuzungumza jambo huna hakika nalo... Unaongea kwa wasi wasi... Inaonekana hujiamini na hujui unachoongea ni kweli ama story za kijiweni. Niliuliza ili nipate hakika kama kweli unakijua unachoongea?

No Offense! UKIMWI sio Ugonjwa wa kumpoint amtu Kidole.. Grow up.

Ungeandika hata kifupi ningekuelewa tu,ahsante
 
Karibu kwenye game vengu nadhani dualza watanzania wapenda amani zimekufanya uinuke big up Kala jeremaya -dear god
 
Back
Top Bottom