Baada ya kupigwa ban na viongozi wake kundini kutokana na ulevi wa kupindukia na utovu wa nidhani, hatimaye msanii Vengu kamaliza kifungochake na yupo on air tena. Kwa wale WAPENZI wake kaeni mkao wa KULA na nahisi kajirekebisha kosa lake na kuja mavitu mapya from bench.
Pichani ni msanii Vengu akiwa studio za Klauzifm.
Pichani ni msanii Vengu akiwa studio za Klauzifm.