Vengu wa komedi origino atoka kifungoni...

Vengu wa komedi origino atoka kifungoni...

Preta huyo wa kati anajua kuegemea kuliko hata mama nanihiii wangu so ataniliwaza..... ila huyo wa nyuma haelewekieleweki isije ikawa tabu ndani
kweli mkuu umepinda,:nono: dah!! tumuombee dogo aondokane na kutamanisha watu tena hasa wanaJF 😛ray:
 
Preta huyo wa kati anajua kuegemea kuliko hata mama nanihiii wangu so ataniliwaza..... ila huyo wa nyuma haelewekieleweki isije ikawa tabu ndani

Nimecheka sana ha ha ha ha ha kuna watu wamepinda sana aisee
 
Baada ya kupigwa ban na viongozi wake kundini kutokana na ulevi wa kupindukia na utovu wa nidhani, hatimaye msanii Vengu kamaliza kifungochake na yupo on air tena. Kwa wale WAPENZI wake kaeni mkao wa KULA na nahisi kajirekebisha kosa lake na kuja mavitu mapya from bench.
Pichani ni msanii Vengu akiwa studio za Klauzifm.


DSC07009.JPG
Aaah waende zao huko,nani anataka kuchekeshwa kwenye nchi inayotia hasiara kama hii?
 
Duh! Mbona karembua hivyo halafu kalegea hivyo? Nina wasiwasi aisee isije ikawa wanampumulia kisogoni jamani!:shock:

mwacheni mtoto wa watu jamani....wewe huoni yuko nanani? Ben Shemeji tena? Kuwadi la kufa mutu hiloooo lishamuuza huyo watu wanamtokea na taulo tuuuu...
 
Mh! Preta una uhakika? umeshawahi kumuona??

Kibaraka Avata yako imenikonga moyo wangua, ahahahahahahahahahahahah!!!!! huyu mzee angeiona picha yake kama kibaraka, nadhani angetubu DHAMBI zake!!!!
 
Sa mbona kalembua ka ng'ombe jike? au ndo mitego?
 
Siku mbili mtu akijulikana ndo pombe na yeye,atataka kutandika Dar yote mwisho wa siku hoi bin taaban..si kisanii wala kifedha choka mbaya
Wenye uwezo wa kuendesha counselling huu ndo wakati muafaka..
 
Preta unasema apunguze pombe ili atumie nini? Mi naona ni bora aendelee kutumia pombe kuliko kuanza kunya fanta!!

Si unajua starehe ya wanywa fanta hapa mjini?
neno rekundu unamaanisha nini Broky? ila mi nilijua huyu jamaayuko masomoni
 
Mdomo wa jamaa umeisha tengeneza umbo la mdomo wa glass ya bia!!!!! duh, lkn jani bia nazo taaaamuuueeee!!
 
Back
Top Bottom