kweli mkuu umepinda,:nono: dah!! tumuombee dogo aondokane na kutamanisha watu tena hasa wanaJF 😛ray:Preta huyo wa kati anajua kuegemea kuliko hata mama nanihiii wangu so ataniliwaza..... ila huyo wa nyuma haelewekieleweki isije ikawa tabu ndani
Preta huyo wa kati anajua kuegemea kuliko hata mama nanihiii wangu so ataniliwaza..... ila huyo wa nyuma haelewekieleweki isije ikawa tabu ndani
Nimecheka sana ha ha ha ha ha kuna watu wamepinda sana aisee
Nimecheka sana ha ha ha ha ha kuna watu wamepinda sana aisee
Aaah waende zao huko,nani anataka kuchekeshwa kwenye nchi inayotia hasiara kama hii?Baada ya kupigwa ban na viongozi wake kundini kutokana na ulevi wa kupindukia na utovu wa nidhani, hatimaye msanii Vengu kamaliza kifungochake na yupo on air tena. Kwa wale WAPENZI wake kaeni mkao wa KULA na nahisi kajirekebisha kosa lake na kuja mavitu mapya from bench.
Pichani ni msanii Vengu akiwa studio za Klauzifm.
hahahahahaahha sio kila mtu ni wa kumuiga banaaa, unaweza kuiga mizimuMzimu wa Mhe. Mrema Ly. unamsumbua
hii picha hii inanifanya nimuhitaji huyu kijana
Mzimu wa Mhe. Mrema Ly. unamsumbua
Duh! Mbona karembua hivyo halafu kalegea hivyo? Nina wasiwasi aisee isije ikawa wanampumulia kisogoni jamani!:shock:
talk openlysio huyo aliyeko nyuma yake.....halafu mbona wote kama......!!!!!!??
Mh! Preta una uhakika? umeshawahi kumuona??
Mh! Preta una uhakika? umeshawahi kumuona??
neno rekundu unamaanisha nini Broky? ila mi nilijua huyu jamaayuko masomoniPreta unasema apunguze pombe ili atumie nini? Mi naona ni bora aendelee kutumia pombe kuliko kuanza kunya fanta!!
Si unajua starehe ya wanywa fanta hapa mjini?
Ana matatizo makubwa kuliko tunavyofikiri
Uko sahihi kabisa... akishaanza kulewa anakua:rant:kisha baada ya hapo ndio:faint:halafu watoto wa uswazi wanamega kishua
Sure,huyo si mlevi,ni KOMBA,HUWEZ KUWA MLEV WA KUPINDUKIA KIAS HCHOSemeni wenyewe mazee .... si anaonekana kabisa ameharibikiwa????? pozi gani hilo.....