VERIFIED COMMENT: Shomari Kapombe amepata mbabe katika mbavu ya kulia

Angalia hata idadi ya magoli waliyofungwa timu anayochezea huyo beki na ulinganishe baina ya timu zao mbili utajua ni wapi pana ukuta mahiri.
We jamaa vipi, mmeleta takwimu za mchezaji dhidi ya mchezaji halafu wewe unaleta utetezi wa timu nzima. Kwa hiyo kila beki wa yanga ni bora kuliko mabeki wa simba sababu yanga imefungwa magoli machache?
 
Weka na za Chama na za mayele
Mayele goals -9
Assist -3

Chama goals -3
Assist-4

Nani mwingine

Bocco goals- 0
Assist-0

πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Kwenye ligi yenye timu zenye ubora upi?.
show me the way anapambania takwimu michuano ya kimaitafa huko nyinyi bado mnamawazo ya ligu ya meee.[emoji243]
 
Kwenye ligi yenye timu zenye ubora upi?.
show me the way anapambania takwimu michuano ya kimaitafa huko nyinyi bado mnamawazo ya ligu ya meee.[emoji243]
Kwa hiyo unaamanisha ili Salah awe mchezaji bora EPL tuangalie jinsi anavyopambana UEFA?
 
Beki unampima kwa kihusiia na magoli?

Mfumo unamruhusu Djuma kuingia ndani zaidi.
 
Kuna tofauti gani kati ya Djuma na Juma?
 
Beki bora hapimwi kwa kufunga magoli kama kigezo kikuu kikiwa hicho basi Pique ndiye beki bora wa kati kwa misimu takribani 6 hivi maana ndiye beki mwenye mabao mengi mara nyingi katika misimu tofautitofauti.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…