Championship
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,500
- 10,616
Ndio ubora unaongelewa,by the way kwani beki akifunga hilo goal halihesabiwi?Unawatambua ni mabeki lakini umeishia kuwafananisha kwa magoli na assist! Kwa hiyo kulinda ni kazi ya Mayele?
Mbumbumbu katika ubora wakoChama mech 4goal 8 Mayele mechi 25 goal10
Kwa hiyo ubora wa beki unapimwa kwa kufunga na ku assist tu?Ndio ubora unaongelewa,by the way kwani beki akifunga hilo goal halihesabiwi?
Mayele ana goli 13, 11 NBC PL, 2 FA, ndorooooobo......wewe [emoji19]Chama mech 4goal 8 Mayele mechi 25 goal10
Angalia hata idadi ya magoli waliyofungwa timu anayochezea huyo beki na ulinganishe baina ya timu zao mbili utajua ni wapi pana ukuta mahiri.Kwa hiyo ubora wa beki unapimwa kwa kufunga na ku assist tu?
We jamaa vipi, mmeleta takwimu za mchezaji dhidi ya mchezaji halafu wewe unaleta utetezi wa timu nzima. Kwa hiyo kila beki wa yanga ni bora kuliko mabeki wa simba sababu yanga imefungwa magoli machache?Angalia hata idadi ya magoli waliyofungwa timu anayochezea huyo beki na ulinganishe baina ya timu zao mbili utajua ni wapi pana ukuta mahiri.
Mayele goals -9Weka na za Chama na za mayele
Bocco mechi 16 goal 0πChama mech 4goal 8 Mayele mechi 25 goal10
Kwa hiyo unaamanisha ili Salah awe mchezaji bora EPL tuangalie jinsi anavyopambana UEFA?Kwenye ligi yenye timu zenye ubora upi?.
show me the way anapambania takwimu michuano ya kimaitafa huko nyinyi bado mnamawazo ya ligu ya meee.[emoji243]
Djuma kongo ,juma TanganyikaKuna tofauti gani kati ya Djuma na Juma?