Verified couples....

kwanini haukunitafuta
ningekupeleka kukukatia kihamba cha kujenga
mbona hakuna kitufe cha kudislike hii si sawa nabisa, mume wangu ushasikia Mamndenyi anataka mume wa mtu alafu una mkaribisha hm bila kunitaarifu. uko mbezi sasa ndo nn akutafute au? AM :shock:
 
tatizo nyie watoto wa porini hamjui hata akina mama mkwe
siku ukija kwangu si utaona aibu sana
kwa kuwa kwenye ukoo mama mkubwa ndo mimi, shangazi ndo mimi
mumeo nimemlea mimi mwenyewe au hajakuambia.

lol aibu kidogo sasa,umeniacha nimeduwaa maana sijaambiwa uskute nimetambulishwa kwa wakwe feki kiwatengu kam zis said pliz
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…