mbona hakuna kitufe cha kudislike hii si sawa nabisa, mume wangu ushasikia Mamndenyi anataka mume wa mtu alafu una mkaribisha hm bila kunitaarifu. uko mbezi sasa ndo nn akutafute au? AM :shock:
Lugha ya taifa tafadhali. hizi lugha za mlimani mtoe
tatizo nyie watoto wa porini hamjui hata akina mama mkwe
siku ukija kwangu si utaona aibu sana
kwa kuwa kwenye ukoo mama mkubwa ndo mimi, shangazi ndo mimi
mumeo nimemlea mimi mwenyewe au hajakuambia.
kwanini haukunitafuta
ningekupeleka kukukatia kihamba cha kujenga
tena nakiitaji kweli ngalau tupate pa kutulia mana bado tunahangaika ntakutafuta
lazima nikupige faini ya khanga ya china
ndo tumalizane.
kwangu ilikuwa mje jana so nikawa nipo nje ya jiji kidogo
so usijali utakuja tu ukoo wetu tupo wengi
karibu sana mkwe.
soma gap!!
No way out inabidi ulipe kwanza fine, ndiyo mengine yaendelee
hapa ndiyo pananogaaa..faini faini
nuichi mlyaso mae..atapata kidogo
mbona hakuna kitufe cha kudislike hii si sawa nabisa, mume wangu ushasikia Mamndenyi anataka mume wa mtu alafu una mkaribisha hm bila kunitaarifu. uko mbezi sasa ndo nn akutafute au? AM :shock:
lugha jamani mnatuacha wengine