Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
shtuka mama shaulilo... Utampoteza kiwatengu wako
nitakutafsiria usijali, halafu wanakutetaje!?
najua sana kuhusu matumizi yake..
hahahaha....
kumpoteza sio rahisi ila hizi lugha hizi nahisi kutetwa alafu ni mtu na ***** mmmh
kumpoteza sio rahisi ila hizi lugha hizi nahisi kutetwa alafu ni mtu na ***** mmmh
itapendeza sana mma ngyanze ipfula kinungu..
hivi hujuagi za mama wakwe? Na bado mawifi hawajafika! Hapo shemejio tu anavyokuponda yaani mpaka nakuonea huruma ndugu yangu ngoja nikuPM utumbo wote waliouongea hapo.......! Wabaya sana hawa watu ila shukuru mungu mumeo anamsimamo na anakupenda la sivyo yangekuwa majanga
ushaanza uchonganishi
hivi hujuagi za mama wakwe? Na bado mawifi hawajafika! Hapo shemejio tu anavyokuponda yaani mpaka nakuonea huruma ndugu yangu ngoja nikuPM utumbo wote waliouongea hapo.......! Wabaya sana hawa watu ila shukuru mungu mumeo anamsimamo na anakupenda la sivyo yangekuwa majanga
hivyo vyote vipo
wewe andaa mkwanja tu.
tena mwambie kabisa mkeo kwenye pm huko
naona ana wasi wasi sana na mimi
mwambie mimi ndo mama mkubwa asiwe na hofu
itapendeza sana mma ngyanze ipfula kinungu..
hapana me huwa ni mkweli sikuzote ukitaka badilisheni lugha mwenzenu aelewi sasa nyie mnamuweka kati na kumzunguka ndio nini sasa?
hivi hujuagi za mama wakwe? Na bado mawifi hawajafika! Hapo shemejio tu anavyokuponda yaani mpaka nakuonea huruma ndugu yangu ngoja nikuPM utumbo wote waliouongea hapo.......! Wabaya sana hawa watu ila shukuru mungu mumeo anamsimamo na anakupenda la sivyo yangekuwa majanga
Lady doctor usimdanganye mwenzio
mawifi wote wanaishi ulaya
hapa atakuwa na mume wake tu
halafu unajua kuwa mumeo Slave anataka kunifanya niwe mke mwenzio?
Lady doctor atakuwa anakutaka wewe