Verified couples....

Verified couples....

ndomana mi nimekimbia nimeona ntajing'ata bure, na hao watu wa kishumundu.
nasemwa huku najiona hivihivi

halafu watu wa huko ni hatariii...! Nilisikia wakikusema kwamba wanataka wakununulie kaniki na shuka jekundu uwe unavaa yaani daily kama mmasai vile, me nikajiuliza hivi hawa wana lengo gani au wanataka kukufanya mganga? Niliogopa ujue!!!!!
 
halafu watu wa huko ni hatariii...! Nilisikia wakikusema kwamba wanataka wakununulie kaniki na shuka jekundu uwe unavaa yaani daily kama mmasai vile, me nikajiuliza hivi hawa wana lengo gani au wanataka kukufanya mganga? Niliogopa ujue!!!!!

hilo ndo tatizo la kufanya mambo kwa siri si wangeniambia tu mana hizo nguo nnazo tayari niliachiwa urithi mpyaaa, ona sasa wamepata hasara
 
hilo ndo tatizo la kufanya mambo kwa siri si wangeniambia tu mana hizo nguo nnazo tayari niliachiwa urithi mpyaaa, ona sasa wamepata hasara

tena wameingia hasara maskini wa mungu...... Si bora hiyo hela walio nunulia makaniki wangekununulia yale mahirizi na vibuyu anavyouza Boflo?
 
Back
Top Bottom