Jipe muda kuyatafakari usiamue haraka.
Mmmmh mmh.
nisha tafakari sana kwa sasa ni vitendo tu. Sema suu! Watu waanze puliza matarumbeta teh! Teh!
nitakuheshimu mama...... We funga tu ndoa na huyo mh. Uone heshima yako itakavyo shuka kiroho safi!
ndomana mi nimekimbia nimeona ntajing'ata bure, na hao watu wa kishumundu.
nasemwa huku najiona hivihivi
....inamaana ulikuwa unakula jabo umetusikia yote tuliyozungumza ee?
halafu tabia yako ya kukurupuka unaenda kumpigia cm mamndenyi huko toilet ukome!
Hebu rudi ulale
halafu watu wa huko ni hatariii...! Nilisikia wakikusema kwamba wanataka wakununulie kaniki na shuka jekundu uwe unavaa yaani daily kama mmasai vile, me nikajiuliza hivi hawa wana lengo gani au wanataka kukufanya mganga? Niliogopa ujue!!!!!
hilo ndo tatizo la kufanya mambo kwa siri si wangeniambia tu mana hizo nguo nnazo tayari niliachiwa urithi mpyaaa, ona sasa wamepata hasara
tena wameingia hasara maskini wa mungu...... Si bora hiyo hela walio nunulia makaniki wangekununulia yale mahirizi na vibuyu anavyouza Boflo?
itabidi nikae na mr nimshauri
noamkapfo kura,
kufui ngiipata mii ungi aise,
kuwore akundi ingialika
nyi wura wulalu kengiwiya nyi naloi ungirapfo nakamwi.
kweli kabisa, na sisi tupate pa kuponea coz nahisi kuna mtu humu ndani ananiloga