Verified couples....

Usiwe unaogopa talaka,
Ukiachika ndo unakuwa na ekspriensi ya ndoa,
Mie kila nikipewa talaka nyota yangu inazidi kung'aa,

eksipiriensi ya divosi mie wala siitaki maana nahisi nitadedi kwa shelisheli
 
hiyo Washawasha yako ni ya aina gani?
kuwasha taa..
kuwasha gari..
kuwasha mwili...
.....
niambie unawashawasha nini afu nikupe bonge la suggestion ambalo litakufaa sana mtu wangu!!
mimi huwa nawasha kwenye mwili wa binadamu nikikudondokea lazima utafurahi,kama wanavyofurahi wake za watu.
Nalog off
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…