Verified couples....

ndiyo namjua huwa namuonaga akinichungulia huku nyuma but hakuna chochote kati yetu zaidi ya hilo tu

basi ujue ndiyo tayari hivyo.. utafurahi eeeh!
ila mara mia ukawa verified na Arushaone
 
Last edited by a moderator:
hebu twende taratibu hapa...nani kakuchosha? pakupumzikia ni arusha ati

wote wamenichosha coz wote wapo kwenye chama kimoja cha mapendapenda na mimi sitaki kufungamana na miji midogo wala mikubwa nataka niwe peke yangu ila wote hao hawana sifa ya kuwa na mmoja tu
 
wote wamenichosha coz wote wapo kwenye chama kimoja cha mapendapenda na mimi sitaki kufungamana na miji midogo wala mikubwa nataka niwe peke yangu ila wote hao hawana sifa ya kuwa na mmoja tu

Arushaone come this way kamba inataka kukatika
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…