Passion Lady
JF-Expert Member
- Nov 17, 2012
- 8,694
- 4,643
mtachokana kwanza nyie..
utasubiri sana,tuko imara vibaya mno
lakini si wa kwangu? ila nilishakwambia anza na Passion Lady afu Mrembo by Nature kisha Heaven on earth..hawa ni wakongwe hujawakagua..yanini umng'ang'anie huyu wa juzi juzi tu?
Arushaone na Lady doctor tuko kwenye 18, hakuna beki na goalkeeper kateleza.....any moment tunapiga bao!
ngoja wakora wakutake kama hutamchoka in minute
nini mwarabu wa pemba? sisi wa Mafia unatujua?
Hakaguliwi hadi wewe ukaguliwe atiii
kagonga mwamba kwa my love shansarie..afu ujue sisi ni wapenzi kweli..
kadri atakavyokuwa anaongeza ndivyo yatakavyokuwa yanapungua
na hatimae kuisha kabisaaa
mbona hutani hauna madhara..hadi yeye huwa ananiambia eti mi huwa nakuzimikia wewe..kiukweli ukweliiii
​muulize bhebito wangu atakwambia!!ujuzi wako wewe ukoje kwani?
Kuna wageni humu...naona na wenyeji hamuishi kujiwahia.
​ shansarie njoo huku ujionee ya mumeo khaaa!!jamaa anaweza kurusha ngumi ati afu nikammaliza..niambie wewe tu bana