Verified couples....

Verified couples....

hata mimi nilichanjiwa kuwa peke yangu tu kwenye ndoa kama vipi hao waweke pending then tuwowane

nitakuwa sishibi naogopa kulala na njaa hizo sarakasi zangu sidhani kama utamudu ukiwa peke yako.
 
nitakuwa sishibi naogopa kulala na njaa hizo sarakasi zangu sidhani kama utamudu ukiwa peke yako.

kumbe!! Kama hivyo sawa tulia basi na mimi nikutafutie mume mwenza ili na mimi nishibe kama wewe
sawa mpenz?
 
kumbe!! Kama hivyo sawa tulia basi na mimi nikutafutie mume mwenza ili na mimi nishibe kama wewe
sawa mpenz?

kuliko kunitafutia mwenza ni bora kuniomba chakula kwanza,siku nikishindwa kukulisha kula kwa jirani ruksa.
 
wewe ruka ruka tu, siku ukichoka utarudi mwenyewe siku hiyo utakuta safina imejaa nawe utaita kwa uchungu slaaave ! Slaaave! Nifungulie ninaangamia nami nitasema sikufunga mimi kafunga Evelyn Salt na Mamndenyi

mkuu hapa umenifurahisha mno.. ha ha ha ha
 
Last edited by a moderator:
kuliko kunitafutia mwenza ni bora kuniomba chakula kwanza,siku nikishindwa kukulisha kula kwa jirani ruksa.

umeonaa nilisubiria mpambano huu nione utakapoishia
 
Uwe nae peke yake kwani ni sumu huyo? Uke wenza na ume wenza unadumisha ndoa shosti hehehe. Ngoja nitoke nisije kutwa mie lol

uke wenza wa sikuhizi mbaya hauna hata mashiko zaidi ya kuzibwa vikojoleo we huoni ninavyo chimbwa mkwara na Evelyn salt na Madame B?
 
Back
Top Bottom