Veronika wakunifanyia haya Mimi?

Madibira 1

JF-Expert Member
Joined
Jan 6, 2023
Posts
358
Reaction score
831
Huyu ni Binti wa 2001 tu hapo. Aliolewa aktelekezwa na jamaa akiwa bado mdogo na watoto wawili. Mimi nikajitosa kuwa nae kimahusiano. Nilijinyima nikahakikisha watoto nalea kama wakwangu wakati huo yulewa pili alikua na mwaka mmoja tu. Nimehenya kupambania familia isiteteleke. Nimejibana Kwa kipindi chote cha miaka mitatu.

Kwa muda wote huo nilimpangia nyumba, mavazi yeye na watoto ,nililipa bili za umeme, michezo ya vikoba, chakula na Hela za matumizi. Mwaka jana mwezi wa tano alisema dada yake amejifungua Kwa operation anaenda kumuuguza.
Alikaa huko miezi mitatu aliporudi alirudi mwezi august na mwezi huu kajifungua mtoto wa kike kumanisha mimba alipatia Kwa dada yake huko.

Maumivu ninayopitia ndugu zanguni ni zaidi ya Yale ya kukosa ajira.
 
Huna ajira na vikao vya wanaume huhudhurii? Unakuwaga wapi ? Vikao vyote toka miaka 20 nyuma vinasisitiza kukaa mbali sana na single mothers, ila wewe unajipeleka kichwa kichwa 😂😂 tena mwenye watoto wawili 😂😂😂😂

Kwa niaba ya wanaume wote, tunasema unastahili maumivu, ni uzembe wako wa kutoshiriki vikao vya mwaka na nusu mwaka
 
Ikawaje bado unamlea au
 
🤣🤣🤣🤣🤣
 
Wewe ulimpendea Mbunye na Mbunye ulikula kwani mlikubalina umeinunua yote?
 
na bado umeng'ang'ana nae tu, na huna maamuzi 🐒

haya endelea,
huenda kuna unabii unataka utimie ili uje kutoa ushuhuda badae 🐒

skiza mwanaume,
wema usizidi uwezo 🐒
 

KUTAKA KULEA WATOTO WA MWANAUME MWENZIO NI UNDEZI. TAYARI UMEONESHA HUNA AKILI.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…