Veronika wakunifanyia haya Mimi?

Nimekosa Mimi, nimekosa Mimi, nimekosa sana ndiomaana nawaomba mniwie radhi lakini kwasasa nitakua mwalimu mzuri.
 
Acha ujinga basi usiwe na mwanamke mwenye mtoto kama wewe hauna mtoto sasa unalia nini wakati we mwenyewe ndio umekosea
 
Lea watoto acha mapepe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…