Nji hii ngumu sana.Raisi wa Tff amesema ana muda wa terms 2 za kugombea baada ya kufanya amendment kwenye katiba!
Anasema wanaanzia kuhesabu terms zake pale amendments ilipofanyika, utumishi uliokuwa nyuma ya ile amendment hauhesabiki[emoji1787][emoji56]
Huu ni udeckteta, uchu wa madaraka, haikubaliki!
Pale Karume kuna pesa sana, Magufuli aliwabana wakakonda... alivyoondoka mashavu yakarudi.Hata kama haukuwepo huo ukomo! Je, haimtoshi kwake kutumia busara kukaa pembeni na kuwaachia wengine; baada ya kuhudumu kwenye hilo Shirikisho kwa vipindi viwili?
Kubali tu huyo jamaa ni mroho wa madaraka. Hakuna sababu nyingine.
Hakuna mtu mwenye vision Tanzania, sema apishe wengine nao wale kidogoHana jipya apishe watu wengine wenye vision
Hajaisoma historia. Kuna aliyetamka kutawala milele, kilichomkuta hata muda wake wa kawaida hakuumaliza.Raisi wa Tff amesema ana muda wa terms 2 za kugombea baada ya kufanya amendment kwenye katiba!
Anasema wanaanzia kuhesabu terms zake pale amendments ilipofanyika, utumishi uliokuwa nyuma ya ile amendment hauhesabiki[emoji1787][emoji56]
Huu ni udeckteta, uchu wa madaraka, haikubaliki!
Ni mchaga? Mchaga na football wapi na wapi.?Wachaga na tamaa
Sasa ulitaka awalazimishe wakae zaidi?Mbona wenzake wote walikuwa wanakaa madarakani kwa term 2!
Yeye hata afanye nini hizo term anazo taka kujiongeza hata zimaliza football ina fitina kuliko hata siasa ataundiwa zengwe atatoka nduki mifano tunayo mingiSasa ulitaka awalazimishe wakae zaidi?
Hivi unawajua wajumbe wa Mkutano wa Uchaguzi wanatokana na nini? Unachowaza wewe kinaweza kikawa tofauti kabisa na watakachofanya wajumbe. Watu wapo kimaslahi zaidi, na wajumbe wanahitaji mtu atakayewawekea mazingira mazuri ya ulaji. Mbaya zaidi ukute mtu wanayemtaka pia amefanya vizuri kwenye takwimu za soka, kama alivyofanya KariaYeye hata afanye nini hizo term anazo taka kujiongeza hata zimaliza football ina fitina kuliko hata siasa ataundiwa zengwe atatoka nduki mifano tunayo mingi
1. Seff Blatter
2. Ahmed Ahmad
3. Former UEFA president nmesahau jinae,
4. Jamal Mlinzi
Etoo nae mambo yamechemka
Wajumbe ndio wanaweka mtu na kumtoa hao wote nliokuatajia wametolewa na watu wao refer Jamal MalinziHivi unawajua wajumbe wa Mkutano wa Uchaguzi wanatokana na nini? Unachowaza wewe kinaweza kikawa tofauti kabisa na watakachofanya wajumbe. Watu wapo kimaslahi zaidi, na wajumbe wanahitaji mtu atakayewawekea mazingira mazuri ya ulaji. Mbaya zaidi ukute mtu wanayemtaka pia amefanya vizuri kwenye takwimu za soka, kama alivyofanya Karia
Kabisa mkuuYeye hata afanye nini hizo term anazo taka kujiongeza hata zimaliza football ina fitina kuliko hata siasa ataundiwa zengwe atatoka nduki mifano tunayo mingi
1. Seff Blatter
2. Ahmed Ahmad
3. Former UEFA president nmesahau jinae,
4. Jamal Mlinzi
Etoo nae mambo yamechemka