mrubwavwasy
Senior Member
- Apr 14, 2021
- 138
- 229
Kashajiongezea mda wa kugombea means na mazingira ya kushinda ameshayatengeza, huku kwenye mpira usiombe uchaguz, ni uhun zaidi ya huu wa taifa tulioususa[emoji1787]Karia ataondoka tu tena akiongeza tamaa anaitafuta jela mpira una fitna sana kuliko hata Siasa za Dodoma..
Malinzi hakutolewa na wajumbe, aliwekewa zengwe kwa sababu ya kisiasa. Kumbuka, alimtembelea Lowassa ofisini kwake siku kadhaa kabla ya mchujo wa CCM, amabpo kwake yeye aliiona fursa kumtembelea 'Rais ajaye'. Baada ya Jiwe kukamata usukani, alianza kuangalia wote waliokuwa wanajipendekeza kwa 'hasimu' wakeWajumbe ndio wanaweka mtu na kumtoa hao wote nliokuatajia wametolewa na watu wao refer Jamal Malinzi
Kilicho mtoa Malinzi hakiwezi fanana na kitakacho mtoa Karia ila kaa ujue atang'olewa kwa nguvu juzi tu hapo Kenya Rais wa FKF kafurushwa kumbuka wanaingia madarakani kwa mizingwe hata kutoka ni style hio hioMalinzi hakutolewa na wajumbe, aliwekewa zengwe kwa sababu ya kisiasa. Kumbuka, alimtembelea Lowassa ofisini kwake siku kadhaa kabla ya mchujo wa CCM, amabpo kwake yeye aliiona fursa kumtembelea 'Rais ajaye'. Baada ya Jiwe kukamata usukani, alianza kuangalia wote waliokuwa wanajipendekeza kwa 'hasimu' wake
View attachment 2941758
Soma pia:
Malinzi aelezea mikakati ya TFF kwa lowasa
Maswali: 1. Kwanini Malinzi amueleze Lowasa mipango ya TFF Lowasa na si Waziri wa Michezo? 2. Kuna uwezekano Malinzi ameona mbali kule October, 2015? 3. Malinzi haogopi nguvu ya Nape na Mangula? 4. Baada ya kumweleza mikakati, Je, Lowasa alimuahidi nini Malinzi?www.jamiiforums.com
Shafii dauda ni tapeli tuTunajua mifumo ya uchaguzi huru ameshaivuruga, wajumbe wa uchuguzi ameshajaza watu wake, na akikuona tu threat kwenye uchaguzi anakuchinjilia mbali, mfano Shafii dauda na baadhi wengi wameshatupiliwa nje ya mfumo!
Sio mchaga yule ni msomaliWachaga na tamaa
Una ukabila sana wewe bintiWachaga na tamaa
Hivi huyu jamaa hawezi kukamatwa na kuwekwa ndani, tumeshamchoka tayari jamaniRaisi wa Tff amesema ana muda wa terms 2 za kugombea baada ya kufanya amendment kwenye katiba!
Anasema wanaanzia kuhesabu terms zake pale amendments ilipofanyika, utumishi uliokuwa nyuma ya ile amendment hauhesabiki[emoji1787][emoji56]
Huu ni udeckteta, uchu wa madaraka, haikubaliki!
Na jamaa akifanikiwa kwenye hili jaribio lake ataifia pale hataondokaHivi huyu jamaa hawezi kukamatwa na kuwekwa ndani, tumeshamchoka tayari jamani
Serikali mkamateni tu huyu mtu, hana faida yeyote kwenye mpira wa TanzaniaNa jamaa akifanikiwa kwenye hili jaribio lake ataifia pale hataondoka
Kila term yake ya mwisho atakua anafanya mabadiliko ili aendelee kubaki
Kila mtu amemchoka naamini hili jaribio lake halitafanikiwa
Huyu karia kajichanganya football haina demokrasia sio siasa hii ,angalia FIFA,UEFA,CAF hakuna ujinga wa ukomo wa viongozi ni kuongoza tu mpaka ushindwe wakutoeRaisi wa Tff amesema ana muda wa terms 2 za kugombea baada ya kufanya amendment kwenye katiba!
Anasema wanaanzia kuhesabu terms zake pale amendments ilipofanyika, utumishi uliokuwa nyuma ya ile amendment hauhesabiki[emoji1787][emoji56]
Huu ni udeckteta, uchu wa madaraka, haikubaliki!
kabisa mkuu...hili zee la hovyo sana, liachie madaraka tupate mawazo mapya!Watanzania tumekuwa wajinga Sana Sasa... Kama tumeshindwa kuitoa CCM madarakani... Naona musomari anapima upepo... Tutamtoa akikataa tutaandamana na kuchoma mali zake.
Lazima kivanyike kitu, tukipuuza hili itakuwa precedent, kila atakaingia pale atatoka kwa mbinde yanNa jamaa akifanikiwa kwenye hili jaribio lake ataifia pale hataondoka
Kila term yake ya mwisho atakua anafanya mabadiliko ili aendelee kubaki
Kila mtu amemchoka naamini hili jaribio lake halitafanikiwa
Tatizo kama wewe sio mjumbe wa mkutano wa uchaguzi wa TFF, hata kama wewe umemchoka haiathiri chochoteHivi huyu jamaa hawezi kukamatwa na kuwekwa ndani, tumeshamchoka tayari jamani