'Vestiges' kwenye miili ya wanyama, ushahidi tosha kwamba hatukuumbwa, bali tuli-'evolve' kuwa tulivyo

Kila kiumbe kimeumbwa kwa namna yake.Kwaiyo kila kiumbe kilivyo ndivyo kilivyotakiwa kuwa.Na Mungu ndiye dizaina na injinia wa hivyo vyote.Zaidi ya hapo ni porojo tu za watu.
Hakuna aliyebisha, ila si uumbaji wa kila kitu kwa muda huo huo, bali viumbe vili-branch out toka kwenye aina moja ya kiymbe na kuwa vingi tofauti. Niambie kwa mfano, mifupa ya miguu inafanya nini kwenye mwili wa nyangumi asiye na miguu?
 
Sasa hao wanyama walokuwepo mwanzo walitokana vipi?
 
Mimi naamini viungo vyote niloumbwa navyo vina kazi na umuhimu, anayehisi ana viungo visivyokuwa na kazi avitoe tu, atapata practical evidence ya hoja zake.
 
Ofcourse binadamu hana miaka milioni 200,ila ancestry iliyokuja kuevolve na kuwa viumbe vingi including binadamu ilikuwepo..
Evolution theory...haina nafasi katika mizani ya kielimu achilia mbali akili na utambuzi makini....mbwa aliumbwa akiwa mbwa.....paka,kuku,dagaa n.k...lakini wazungu wanawaingiza mjini kwamba ninyi waafrika ndo mlibadilika kutoka kwenye jamii ya nyani kuwa mlivyo leo....na bila soni mnashangilia.
 
Mkuu wewe elimu inakupa uchizi maana hata kujiuliza swali dogo tu kwamba hiyo origin( mwanzo wa yote) kabla ya kuanza kubadilika ilitokea wapi? Ukivuta bangi ujue kujicontroll utawehuka
 
ushauri mzuri sana kwake ebu print alafu kabandike mlangoni kwake nakuja kulipa gharama.
 
Hakuna aliyebisha, ila si uumbaji wa kila kitu kwa muda huo huo, bali viumbe vili-branch out toka kwenye aina moja ya kiymbe na kuwa vingi tofauti. Niambie kwa mfano, mifupa ya miguu inafanya nini kwenye mwili wa nyangumi asiye na miguu?
kwa hiyo haina kazi inamuumiza tu eenh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…