nyoka in
JF-Expert Member
- Aug 27, 2024
- 518
- 318
Formula ya maisha haya, jinsi unavyozidi kumkufuru Mungu ndivyo unavyozidi kuonekana hayawani. Hahah! Na jinsi unavyozidi kuitafuta hekima ndivyo unavyozidi kuwa nayo.Ujinga wenu usiwe kinga ya kutojua mambo.Watu wanahoji miaka milioni 200 juu ya sisi wanadamu kuijua mbona ni michache sana hiyo?Uranium-lead dating technique yawezapima umri wa miamba tangu big bang mpaka sasa.Sasa hako kamungu kenu ambako hakajulikani(atheotatous) si kujilisha upepo wa ujinga kwa kuzifunga fahamu zenu?