'Vestiges' kwenye miili ya wanyama, ushahidi tosha kwamba hatukuumbwa, bali tuli-'evolve' kuwa tulivyo

'Vestiges' kwenye miili ya wanyama, ushahidi tosha kwamba hatukuumbwa, bali tuli-'evolve' kuwa tulivyo

Sasa uweke vishimo vya macho kwansamaki ambaye haba macho? Huo utakuwa ni utaahira. Ila kwa evolution it make perfect sense, kwamba hapo awali hao samaki walikuwa na macho, ila naada ya mazingira yao kubadilika ambapo walianza kuishi chini kabisa ambako hakuna mwanga, macho yakapoteza umuhimu wake na masikio yakaongezeka umuhimu, hivyo mutant aliyezaliwa kipofu akawa ana tumia nguvu nyingi zaidi kusikiliza badala ya kuona, na akawa ana mafanikio zaidi kusurvive, na kizazi chake cha vipofu kikastawi huko.., ila vile vishimo bado vipo..
Wakati mwingine elimu Ni kuifanya akili ichangamke isikae kwa kulala. Hakuna ushahidi wa kisayansi kuthibitisha madai yako bila imani.

Na vipi ndugu yangu wewe unachukuliaje dhana ya uumbaji kwa upande wako?
Unamchukuliaje Mungu?
 
binadamu wote tumetokea Afrika mashariki kwa mujibu wa ‘World genomic mapping’, na wote tulikuwa weusi…, sasa hivi tukoje? Wote ni weusi?
Hizo taarifa unazitoa wapi ? Ndio maana nakuambia umekariri , kwa sayansi yako ni kwamba binadamu walibadili mfumo wa kuja duniani sio ?
 
Wakati mwingine elimu Ni kuifanya akili ichangamke isikae kwa kulala. Hakuna ushahidi wa kisayansi kuthibitisha madai yako bila imani.

Na vipi ndugu yangu wewe unachukuliaje dhana ya uumbaji kwa upande wako?
Unamchukuliaje Mungu?
Ushahidi ni hao samaki wenye vishimo vya macho kwenye fuvu ilihali hawana macho, unataka ushahidi gani?
 
Hizo taarifa unazitoa wapi ? Ndio maana nakuambia umekariri , kwa sayansi yako ni kwamba binadamu walibadili mfumo wa kuja duniani sio ?
Genetic study imefanyika kwa kutumia vipimo vya DNA vya sample groups za makundi yote ya watu duniani, na inaonyesha watu wote duniani wana Genetic markers toka kwa watu wa Africa, specifically Eastern Africa, na binadamu wakasambaa kote dujiani tokea hapo..

TAFITI HUPINGWA KWA TAFITI TU


IMG_1941.jpeg
 
Acha miaka, wewe nenda gym kwa miezi miwili tu, mwili wako utabadilika kulingana na mazingira mapya ya mazoezi magumu, misuli ya mwili itaimarika, ila kuna changes za muda mrefu ambazo hutumia hata miaka milioni 200 na kuendelea, mfano kuna samaki wanaotembea ardhini kisha wanarudi majini, yaani yale mapezi yao wanayatumia kama miguu. Ina hata vijana wa 1980's na 2000's wanavyotofautiana kwa urefu, hii ni kwa sababu ya kubadilika kwa mazingira ya lishe, siku hizi blueband kwa wingi..
Kwa hiyo hao wa zamani kumbe kwa sababu ya Gym?
 
huyo mwanadamu existence yake hapa duniani wala haina miaka elfu 40 bado....hiyo elfu 25 yenyewe kuna walakini.....sasa hizi milioni 200 n.k sijui huwa mnazitoa wapi..
Kwani kabla ya kuwa binadamu si tulikuwa family nyingine ya viumbe au? Ambayo ilikuwepo hundreds of millions of years au?
 
Vestiges ni viungo katika miili ya wanyama ambavyo vinaweza visiwe na kazi katika baadhi ya wanyama lakini vinakuwa na muhimu na ni vya lazima katika miili ya wanyama wengine.

Mfano 'tail bone' / mfupa wa mkia hauna umuhimu wowote katika mwili wa binadamu maana hatuna mikia sisi, lakini tunao mfupa huo; mfupa huo ni lazima na ni muhimu sana kwa wanyama wenye mikia kama ngedere nk. Hii inashiria kwamba hapo awali binadamu tulikuwa ni kiumbe tofauti kabisa kilichokuwa na mkia ila kwa sasa kiungo hicho kimepotea sababu matumizi yake hayapo tena. (If you don't use it, loose it), hii ndio principle inayotumika katika evolution.

Vestiges zipo nyingi sana katika animal kingdom, mfano nyangumi ana mifupa ya miguu iliyojificha ndani japo hana miguu,hii inashiria kwamba hapo awali alikuwa ni mnyama wa ardhini aliyetembea, na tena bado anazaa na kunyonyesha kama wanyama wengine wa ardhini na sio kutaga mayai kama wafanyavyo samaki.
Vestiges ni nyingi sana, tusaidiane kuziorodhesha na kuzichambua vilivyo na kwa undani kabisa.

Sasa binadamu mwenye akili timamu anaweza weza vipi kuamini kwamba binadamu aliumbwa kama alivyo leo hii na mwonekano wake huu wa sasa, yaani hakubadilika kutoka aina moja ya muonekano hadi kufikia huu muonekano wa sasa. Huwa mnatumia mbinu gani kujitoa akili kwa kiwango hicho?! Mbona mi nashindwa kabisa??!!!

=============================
Mfano mwingine ni kifuko cha appendix kwenye utumbo wa binadamu, kwetu hakina kazi lakini kwa wanyama wanaokula mimea huwa wanakihitaji sana hicho kifuko na kinakuwa ni kikubwa sana kwao na huwasaidia kwenye kusaga chakula, hii inaashiria kwamba tulikuwa mnyama mmoja ila kila mmoja akabadilika kulingana na mazingira yake..
=============================

Mfano mwingine ni 'vitendea kazi' vya uzazi kwa mijusi wanaozaa kwa kuji-clone, yaani hawa mijusi huwa wanataga yai ambalo ni clone yao wenyewe na hivyo hawaitaji kujaamiiana ili kuzaa. Sasa kwakuwa bado wana hivi viungo ambavyo vimebaki huwa wanavitumia kama kujiburudisha tu, lakini havina kazi kwa sasa,japo hapo nyuma vilijuwa na kazi.
=============================

=================================
Update: 27/08/2021
Mifupa ya nyangumi mwenye miguu ‘dating millions of years ago’ yapatikana.

View attachment 1912340
_______________________________
WaChina ni WaAfrika waliohama na kubadilika kutokana na mazingira


Una tatizo kubwa sana, unahoji sana halafu ukipata majibu unayageuza geuza kabla hujawasilisha kwa watu wewe mwenyewe unakuwa umeshachanganyikiwa unajikuta unanena kwa lugha.
Upo serious kabisa hich unachokiita mkia uliokatika haujui kazi yake ni ipi wala umuhimu wake?
 
Una tatizo kubwa sana, unahoji sana halafu ukipata majibu unayageuza geuza kabla hujawasilisha kwa watu wewe mwenyewe unakuwa umeshachanganyikiwa unajikuta unanena kwa lugha.
Upo serious kabisa hich unachokiita mkia uliokatika haujui kazi yake ni ipi wala umuhimu wake?
Mjamaa anajichanganya sana.
 
Una tatizo kubwa sana, unahoji sana halafu ukipata majibu unayageuza geuza kabla hujawasilisha kwa watu wewe mwenyewe unakuwa umeshachanganyikiwa unajikuta unanena kwa lugha.
Upo serious kabisa hich unachokiita mkia uliokatika haujui kazi yake ni ipi wala umuhimu wake?
Binadamu ana mkia? Ofcourse hana, sasa kifupa cha kushika mkia cha kazi gani?

Tunajua kifupa cha kushika mkia kina matumizi ya kushika mkia kwa wanayama kama ngedere nk., ila kwa binadamu hakina tena kazi baada ya ‘mutation na natural selection’ kuondoa mkia kwa binadamu
 
Hiyo yote ili kufuta uhalisia kuwa viumbe vyote vina mwanzilishi wake, wanakwambia hapana vimetokea tu.
Mwanzilishi wake yupo, hakuna anaepinga, ila kinachojadiliwa ni namna viumbe mbali mbali vilivyotawiwika kutoka kwenye kiumbe kimoja cha kwanza (single celled organism)
 
Nani amekwambia maneno hayo?! mwanadamu ni mwanadamu kama ulikuwa fisi kabla ya sisi kuja duniani ni wewe.
Hayo si maneno yangu, ni uhalisia unaonekana kwa ushahidi unaotafitika…, mfano DNA ya Fisi na ya binadamu vinashabihiana kwa zaidi ya 98%, hiyo ni moja tu ya viashiria..

Mfano, Ukiangalia embryo ya fisi tumboni mwa mama yake na embryo ya binadamu ni sawa sawa, hiwezi kutofautisha katika zile wiki za mwanzo.

Ni kama baadae tembo wasiokuwa na pembe waje kuwa wengi na wale wenye pembe wamalizwe na majangili, kisha uje kusema hao tembo hawakubadilika kutoka kiwa wenye pembe hadi kutukuwa na pembe.., kwamba waliumbwa tu hivyo hivyo bila pembe toka siku ya kwanza. Huo si utakuwa utaahira?
 
Vestiges ni viungo katika miili ya wanyama ambavyo vinaweza visiwe na kazi katika baadhi ya wanyama lakini vinakuwa na muhimu na ni vya lazima katika miili ya wanyama wengine.

Mfano 'tail bone' / mfupa wa mkia hauna umuhimu wowote katika mwili wa binadamu maana hatuna mikia sisi, lakini tunao mfupa huo; mfupa huo ni lazima na ni muhimu sana kwa wanyama wenye mikia kama ngedere nk. Hii inashiria kwamba hapo awali binadamu tulikuwa ni kiumbe tofauti kabisa kilichokuwa na mkia ila kwa sasa kiungo hicho kimepotea sababu matumizi yake hayapo tena. (If you don't use it, loose it), hii ndio principle inayotumika katika evolution.

Vestiges zipo nyingi sana katika animal kingdom, mfano nyangumi ana mifupa ya miguu iliyojificha ndani japo hana miguu,hii inashiria kwamba hapo awali alikuwa ni mnyama wa ardhini aliyetembea, na tena bado anazaa na kunyonyesha kama wanyama wengine wa ardhini na sio kutaga mayai kama wafanyavyo samaki.
Vestiges ni nyingi sana, tusaidiane kuziorodhesha na kuzichambua vilivyo na kwa undani kabisa.

Sasa binadamu mwenye akili timamu anaweza weza vipi kuamini kwamba binadamu aliumbwa kama alivyo leo hii na mwonekano wake huu wa sasa, yaani hakubadilika kutoka aina moja ya muonekano hadi kufikia huu muonekano wa sasa. Huwa mnatumia mbinu gani kujitoa akili kwa kiwango hicho?! Mbona mi nashindwa kabisa??!!!

=============================
Mfano mwingine ni kifuko cha appendix kwenye utumbo wa binadamu, kwetu hakina kazi lakini kwa wanyama wanaokula mimea huwa wanakihitaji sana hicho kifuko na kinakuwa ni kikubwa sana kwao na huwasaidia kwenye kusaga chakula, hii inaashiria kwamba tulikuwa mnyama mmoja ila kila mmoja akabadilika kulingana na mazingira yake..
=============================

Mfano mwingine ni 'vitendea kazi' vya uzazi kwa mijusi wanaozaa kwa kuji-clone, yaani hawa mijusi huwa wanataga yai ambalo ni clone yao wenyewe na hivyo hawaitaji kujaamiiana ili kuzaa. Sasa kwakuwa bado wana hivi viungo ambavyo vimebaki huwa wanavitumia kama kujiburudisha tu, lakini havina kazi kwa sasa,japo hapo nyuma vilijuwa na kazi.
=============================

=================================
Update: 27/08/2021
Mifupa ya nyangumi mwenye miguu ‘dating millions of years ago’ yapatikana.

View attachment 1912340
_______________________________
WaChina ni WaAfrika waliohama na kubadilika kutokana na mazingira


Hoja yako ya kwanza kuhusu mkia.

Siku nikioneshwa skeleton ya binadamu na kuoneshwq mahali uti wa mgongo ulipoqnzia na kuishia, kisha nioneshwe huo mkia nitawqelewq sana wanasqyansi
 
Back
Top Bottom