'Vestiges' kwenye miili ya wanyama, ushahidi tosha kwamba hatukuumbwa, bali tuli-'evolve' kuwa tulivyo

Umesema kuwa Kama kiungo hakitumiki hupotea chenyewe.
Swali: Ni vipi Hawa masista na mapadre ambao hawajamiiani/hawazai. Je mfumo wao wa uzazi unapotea mwilini mwao? Yaani nyeti zao hubaki kwaajili ya kukojoa na kunya tu?
maswali haya ni mazuri sana ila akijibu uniite
 
Umesema kuwa Kama kiungo hakitumiki hupotea chenyewe.
Swali: Ni vipi Hawa masista na mapadre ambao hawajamiiani/hawazai. Je mfumo wao wa uzazi unapotea mwilini mwao? Yaani nyeti zao hubaki kwaajili ya kukojoa na kunya tu?
Mabadiliko ya kiwango cha vinasaba vinachukua millions of years, hao masista mapadre sio tu kwamba viungo vyao vitapotea, ni kwamba genetics zao hazitakuwa passed on kwa vizazi vijavyo, kwahiyo wanapokufa na wao na kizazi chao na vinasaba vyao vyote ndio vinakwenda na maji
 
Sasa hao wanyama walokuwepo mwanzo walitokana vipi?
Viumbe wote inavyoonekana tulikuwa na ancestor mmoja ambae alikuwa ni single celled organism, na aka-develop into more complex forms na viumbe vika branch out kutokea hapo. Itakuwa Mungu aliumba huyo kiumbe wa kwanza na akaacha evokution iendelee tokea hapo.
 
google helper Jibu hili hapa
 
Viungo vya uzazi kazi yake ni uzazi, ila kwakuwa hao mijusi wamegundua namna mpya ya kuzaliana (wame-evolve) kwa kuweza kujiclone naturally basi hizo zana za kuzaliana zikawa zimebaki kama 'vestiges', yaani kwao hazifanyi tena ile kazi ambayo kwa wengine walivyonavyo inafanya, na hawa mijusi wote wanakuwa ni majike sababu wote hutaga mayai yenye clone ya vinasaba vyao, sasa kwakuwa bado kuna conditioned reflex za kujamiiana ambazo bado hazijapotea moja kwa moja, kuna wakati jike mmoj anajifanya kama dume na wanajiburudisha kwa namna hiyo, ila haina any results kwamba anarutubisha mayai or anything else for that matter.
 
Hiyo simu au computer unayotumia kuandika kuna aliyeitengeneza au nayo imeibuka yenyewe?
Wapi nimesema kiumbe cha kwanza hakijaumbwa, ninachosema ni kwamba viumbe hai vilikuwa na ancestry moja (ambayo iliumbwa ofcourse), ila aka evolve na kubranch out kuwa viunbe vingi vilivyopo leo.
 
Hata wewe mwenyewe "as a whole" ni "vestige".
 
Mimi naamini viungo vyote niloumbwa navyo vina kazi na umuhimu, anayehisi ana viungo visivyokuwa na kazi avitoe tu, atapata practical evidence ya hoja zake.
Madaktari huwa wanakata appendix wagonjwa wa appendicitis kila siku
 
Niambie, mifupa ya miguu inafanya nini ndani ya mwili wa nyangumi asiye na miguu?
 
mkuu ww elimu inakupa uchizi maana hata kujiuliza swali dogo tu kwamba hiyo origin( mwanzo wa yote) kabla ya kuanza kubadilika ilitokea wapi ??. ukivuta bangi ujue kujicontroll utawehuka
Probably Mungu aliumba kiumbe cha kwanza ambacho kilikuwa single celled na kika-evolve na kubranch out kuwa viumbe vyote tunavyovijua leo.
 
mkuu ww elimu inakupa uchizi maana hata kujiuliza swali dogo tu kwamba hiyo origin( mwanzo wa yote) kabla ya kuanza kubadilika ilitokea wapi ??. ukivuta bangi ujue kujicontroll utawehuka
Probably Mungu aliumba kiumbe cha kwanza ambacho kilikuwa single celled na kika-evolve na kubranch out kuwa viumbe vyote tunavyovijua leo.
hata kama babu yake ni sokwe ajibu sokwe alitokea wapi ??? mbona leo sokwe hawageuki binadamu ?
Pia mabadiliko ya kiwango cha vinasaba huweza kuchukua mamiliini ya miaka, kwahiyo usitegemee kuona sokwe akibadilika ndani ya uhai wako, wanaweza kuja kuwa the next super species na wao wakatuona sisi ndio kama manyani..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…