Sasa kwa maana hiyo hii discussion ipo nullified, sababu Ni miaka mingapi tokea dunia imetokea? Kama Ni laki au million je Kuna kiumbe chochote kimetokea au kuonyesha dalili(practically) au Ndiyo hivi literally tunaamini kila kitu.Basis ya permanent phenotypic changes ni Genotypic adaption. Temporary phenotypic adaptions huwa haziwi included genome ndani ya muda mfupi, ili phenotypic adaptions ziweze kuwa included kwenye genes na hivyo kuwa permanent inahitaji muda mrefu ranging from malaki to millions of years
Evolution inaendelea, ila observable changes huchukua millions of years, binadamu gani ataishi hiyo miaka yote ili aweze ku-observe hizo changes?
hahahahahhaha mzee no vivid evidence kuhusu hizo theory.Haina kazi, ile mifupa ni vestige iliyobaki katika evolution yake ya kutoka kutembea ardhini hadi kuogelea baharini, imechukua millions of years, na bado after several milion years hata hiyo mifupa itakuja kupotea kabisa, if you don't use it, lose it, hiyo ndio guiding principle ya evolution.
Probably Mungu aliumba kiumbe cha kwanza ambacho kilikuwa single celled na kika-evolve na kubranch out kuwa viumbe vyote tunavyovijua leo.
Pia mabadiliko ya kiwango cha vinasaba huweza kuchukua mamiliini ya miaka, kwahiyo usitegemee kuona sokwe akibadilika ndani ya uhai wako, wanaweza kuja kuwa the next super species na wao wakatuona sisi ndio kama manyani..
Dah huyo kiumbe anafananajeViumbe wote inavyoonekana tulikuwa na ancestor mmoja ambae alikuwa ni single celled organism, na aka-develop into more complex forms na viumbe vika branch out kutokea hapo. Itakuwa Mungu aliumba huyo kiumbe wa kwanza na akaacha evokution iendelee tokea hapo.
Dunia ina miaka bilioni 4 plus, enough time for evolution to have taken placeSasa kwa maana hiyo hii discussion ipo nullified, sababu Ni miaka mingapi tokea dunia imetokea? Kama Ni laki au million je Kuna kiumbe chochote kimetokea au kuonyesha dalili(practically) au Ndiyo hivi literally tunaamini kila kitu.
Huo mfupa wa mkia ndio upo kwenye hatua za mwisho kupotea, a few million years and its gonesasa lini sisi hivyo vi mkia vilifanya kazi ? au ndo vinaota mdogo mdogo miaka ijayo vifanye kazi ?
Vivid evidence ipi unayotaka wakati nyangumi wapo na hiyo mifupa ipo na inakutwa?hahahahahhaha mzee no vivid evidence kuhusu hizo theory.
Angalia viumbe kama bacteria kwenye microscope, huo ndio mfananoDah huyo kiumbe anafananaje
Nimeshaeleza kwamba tulievolve toka kiumbe cha kwanza ambacho ni single celled hadi kuwa idadi na aina za viumbe vya sasa, nacho kiliumbwaUtumbo wa kiwango cha nya...
Evolution does not come from a vacuum..!
If we evolved, it means we were developed/changed from a certain type to what we are , this doesn’t debunk creation at all..
Angalia viumbe kama bacteria kwenye microscope, huo ndio mfanano
Kama ingekuwa ni kweli wanabadilika basi tungeona viumbe waliobadilika hata kwa25% na sokwe wengine wangeshaanza kuongea!hata kama babu yake ni sokwe ajibu sokwe alitokea wapi ??? mbona leo sokwe hawageuki binadamu ?
process za kibaolojia na supply ya materialbro kumbuka wewe ni shahawa za Baba yako.
ambayo ni majimaji Tu.
Haujiulizi ni Nani anayekubadilisha kutoka kwenye shahawa mpaka ukawa BINADAMU?
process za kibaolojia na supply ya material
Vivid evidence ipi unayotaka wakati nyangumi wapo na hiyo mifupa ipo na inakutwa?
majibu mepesi mnoo kama tissue paperHuo mfupa wa mkia ndio upo kwenye hatua za mwisho kupotea, a few million years and its gone
Permanent observable changes katika evolution huchukua malaki hadi millions of years, mfano wa hivi karibuni ni sub species ya binadamu weupe iliyotoka kwa binadamu mweusi, baada ya wao kuondoka Afrika kwenye jua kali na kwenda kwenye mabara ya baridi ile melanin nyeusi kwenye ngozi inayotukinga na jua ikaanza kupungua kwenye ngozi zao kwa sababu zilikuwa hazihitajiki sana kwenye nchi za baridi na jua hafifu, eventually imepungua kiasi wakawa weupe, na hii ni katika miaka elfu kadhaa tu.Kama ingekuwa ni kweli wanabadilika basi tungeona viumbe waliobadilika hata kwa25% na sokwe wengine wangeshaanza kuongea!
Zamani nyoka alikuwa na miguu kabla hajampa jongoo! Teehh...