Habari za jioni wakuu,
Hii kitu inaudhi sanaaa, yaani wanafunzi wametengeneza project zao kwa gharama halafu mnakuja ghafla tu eti mwaka huu hakutakua na project . Hivi mlikuwa wapi muda woote huo mpaka wanafunzi wametumia gharama zao ndio mnakuja kusitisha hivyo
Hivi mnakurupukaga tu, Haya sasa wametumia muda mwingi kutengeneza project mngesema mapema muda ule wautumie kusoma haya mambo ya kukurupukaga mnafeli sana wizara ya elimu mno.
Hii kitu inaudhi sanaaa, yaani wanafunzi wametengeneza project zao kwa gharama halafu mnakuja ghafla tu eti mwaka huu hakutakua na project . Hivi mlikuwa wapi muda woote huo mpaka wanafunzi wametumia gharama zao ndio mnakuja kusitisha hivyo
Hivi mnakurupukaga tu, Haya sasa wametumia muda mwingi kutengeneza project mngesema mapema muda ule wautumie kusoma haya mambo ya kukurupukaga mnafeli sana wizara ya elimu mno.