Ndo wano tuburuza utafanya je, wewe huwexa kuanzisha mfumo wako kama huna dola, lazima tutii Ccm, ili tuendelee kuishi.Na wewe unawaamini ccm?
Nimekuuliza unawaamini ccm? Kiko wapi kilimo kwanza? Wako wapi vijana waliohaidiwa mashamba? Iko wapi big results now? Tanzania ya viwanda imeishia wapi?Ndo wano tuburuza utafanya je, wewe huwexa kuanzisha mfumo wako kama huna dola, lazima tutii Ccm, ili tuendelee kuishi.
TAALUMA MPYA TANZANIANa wewe unawaamini ccm?
Hilo ndo linapaswa kua acheni mzaha, ajira ni shida kwelikwaliTAALUMA MPYA TANZANIA
1. Bachelor of Accountancy and Welding?
2. Bachelor of Finance and Motor vehicle Wiring
3. Diploma of Finance and Tyre Check up
4. Certificate of Computer Science and Guta driving
5. Diploma of Accountancy and Oil changing
6. Certificate of Computer Science and Chips Preparation
7. Civil Eng, Hair Dressing & Beauty
Hata wale wa civil engineering waende? Au yeye alimaanisha wa sociology? . Mmuulize vizuri PM wetu mlio karibu nae.Kauli ya waziri mkuu sio ya kubeza au kuikejeri huyu ni wa pili baada ya Raisi na ni kiongozi wa government bussiness kwenye bunge ndo anae jibu chochote kinacho husiana na serekali bungeni.
kila analo ongea ni kutoka kwenye classified inner intelligence briefing za cabinet na serikali.
Kauli yake ya kusema wenye degree wasome veta kupata ujuzi zaidi huenda soon itakua government policy.
katika nchi ziliozo endelea mandalizi ya veta kujianda kupokea magraduate wengi ingekua zimesha anza ila Tanzania bado watendaji wa melala sijui kwanini.
@modorators plz acheni Uzi watu watowe maoni yao.
Jamaa bhana una utani sana halafu kozi ya 7 lecturer awe gigy money au hamisa maana ndio fani zaoTAALUMA MPYA TANZANIA
1. Bachelor of Accountancy and Welding?
2. Bachelor of Finance and Motor vehicle Wiring
3. Diploma of Finance and Tyre Check up
4. Certificate of Computer Science and Guta driving
5. Diploma of Accountancy and Oil changing
6. Certificate of Computer Science and Chips Preparation
7. Civil Eng, Hair Dressing & Beauty
Kwani hao civil engineering wanajua kila kitu? na cookery painting plumbing nkHata wale wa civil engineering waende? Au yeye alimaanisha wa sociology? . Mmuulize vizuri PM wetu mlio karibu nae.
Nyerere aliweka stadi za kaz , hawa wenye degree 2 wakaliondoa hilo somoKauli ya waziri mkuu sio ya kubeza au kuikejeri huyu ni wa pili baada ya Raisi na ni kiongozi wa government bussiness kwenye bunge ndo anae jibu chochote kinacho husiana na serekali bungeni.
kila analo ongea ni kutoka kwenye classified inner intelligence briefing za cabinet na serikali.
Kauli yake ya kusema wenye degree wasome veta kupata ujuzi zaidi huenda soon itakua government policy.
katika nchi ziliozo endelea mandalizi ya veta kujianda kupokea magraduate wengi ingekua zimesha anza ila Tanzania bado watendaji wa melala sijui kwanini.
@modorators plz acheni Uzi watu watowe maoni yao.
Hiyo imekaa vizuriTAALUMA MPYA TANZANIA
1. Bachelor of Accountancy and Welding?
2. Bachelor of Finance and Motor vehicle Wiring
3. Diploma of Finance and Tyre Check up
4. Certificate of Computer Science and Guta driving
5. Diploma of Accountancy and Oil changing
6. Certificate of Computer Science and Chips Preparation
7. Civil Eng, Hair Dressing & Beauty